Yawezekana mazingira ya kufanya biashara ya safari za ndege nchini kwa wakati ule ilikuwa ngumu, ndio maana fastjet wakaondoka, lakini kwa sasa nchi imetulia, na nimekuwa nasikia wawekezaji wa nje wanakaribishwa nchini kuwekeza.
Basi na Fastjet wahakikishiwe usalama wa biashara yao ili warejee nchini.
Basi na Fastjet wahakikishiwe usalama wa biashara yao ili warejee nchini.