So what, ¡¡¡kwani Fastjet ndio shirika la kwanza la Binafsi kuwa na makao makuu yake nje ya Tanzania vipi kuhusu ITV, Vodacom,, nk...Kwa taarifa yako Fastjet walikuwa wababaishaji ila basi tu tulikuwa hatunajinsi ya kufanya kwa kuwa walikuwa hawana mshindani na nilishawaambie likija shirika la ndege jingine wajitayarishe kwa maumivu. Angalia Server zao ziko UK na hakuna admin TZ baada ya kuona sasa wanabanwa na sheria ya .co.tz wamekimbilia Msumbiji lakini wanajifanya wako TZ ofisi zao za TZ hazina maamuzi kabisa just operators.
Hawa hata wakibaki wenyewe wataishia kushindwa tu.
Sasa tunakwenda kukosa hata hiyo kodi waliokuwa wanalipa serikalini, hela (charges) walizokuwa wanalipa TAA na TCAA,n.k na pia watu wanakwenda kupoteza ajira na hivyo PAYE ya staff wao nayo tunaikosa pia.
Fastjet mkuu ilikuwa imeajiri si zaidi ya watu 10 mkuu!Hawa ATCL hata wakibaki wenyewe wataishia kushindwa tu.
Sasa tunakwenda kukosa hata hiyo kodi waliokuwa wanalipa serikalini, hela (charges) walizokuwa wanalipa TAA na TCAA,n.k na pia watu wanakwenda kupoteza ajira na hivyo PAYE ya staff wao nayo tunaikosa pia.
Bingwa wa Rivasi nakuona hebu soma tena ulicho andikaIt is not science rocket to know that 'CHARITY BEGINS AT HOME" JAPOKUWA UNATIMIZA WAJIBU WA CONTRACT YAKO, LAKINI KUNA KAZI NYINGI NI AIBU KUFANYA, HASA ZA KUWADI
Kama umeumia sana wafuate huko walikohamia!!So what, ¡¡¡kwani Fastjet ndio shirika la kwanza la Binafsi kuwa na makao makuu yake nje ya Tanzania vipi kuhusu ITV, Vodacom,, nk...
Biashara zisizo na ushindani shida na hasara wanatapata wananchi wa chini(end users) Monopoly ni mfumo unaomuangamiza mwananchi wa chini
Sure.....mbona saaizi wapinzani hawapo lkn bado hawa mbwa ni watu wa kushindwa tuuu...Hawa hata wakibaki wenyewe wataishia kushindwa tu.
Sasa tunakwenda kukosa hata hiyo kodi waliokuwa wanalipa serikalini, hela (charges) walizokuwa wanalipa TAA na TCAA,n.k na pia watu wanakwenda kupoteza ajira na hivyo PAYE ya staff wao nayo tunaikosa pia.
Umeishia darasa gani? Maana hata kuandika sentensi moja iliyo sawa ni tatizo.Ukiwa mjinga ni mjinga tu,mfano Ethiopia airline, Kenya airline, hawa waweze ila sisi tushindwe,ni upuuzi uliopitiliza,magu huko Sawa ila sisi wehu wa humu jf tunaponda tumechoka kusifia vya jirani,nilikua nikienda Kenya nakutana na fryover saizi wala sishangai treni ya umeme IPO,ndege zipo sasa naomba mungu asinichukue mapema mpaka nione tunavyolusha chombo mwezini,ni nyie mlietuambia lugemalila na mhindi wake wa pap hawakamatiki Leo,mnakodoa macho bira majibu.
Hoja ya kipuuzi. Ushindani katika biasharara ndiyo huleta huduma bora.Kipindi cha high season mf Serengeti kuna viwanja kama seronera,Kogatende,ndutu,Kirawira,Lobo Airstrips ndege zinazotua viwanja hivyo vya vumbi ni nyingi mno!!!Imagine hizo flights zingelikuwa ni mali ya nchi tungelikuwa wapi? Makampuni ya wajanja yamepiga pesa sana ktk sekta hii.
Hahaha hii ni ishara ya kushindwa hojaKama umeumia sana wafuate huko walikohamia!!
Bro sio hoja ya kipuuzi km unavodhani,Hoja ya kipuuzi. Ushindani katika biasharara ndiyo huleta huduma bora.
Utawala huu ni hasara kubwa kwa Taifa letu. Wajinga wanaona tunaenda vizuri lakini siku ujinga utakapotengana nao ndipo watajua namna utawala huu ulivyoturudisha nyuma
Hata Ethiopia wanaibeba Ethiopia Airlines. Mhe Rais kwenye suala la kulifufua shiriKa la Atcl shikilia hapohapo uliposhika usilegeze.Habari wadau!
Katika hali ya kuhuzunisha na kuondoa hali ya ushindani nchini wa usafiri wa anga. Shirika la ndege la fast jet limeanza kufunga virago Tanzania kwa mazingira magumu ya uwekezaji na serikali kuwanyima vibali vya baadhi ya rout na kuwanyima kibali cha kuingiza ndege mpya nchini.
Mkurugenzi wa shirika hilo kathibitisha kufunga virago kwa kushindwa kuwa na mazingira rafiki ya uwekezaji na kutotoa uwanja mpana wa ushindani
Hebu washauri basi wahamie Rwanda !Kwahiyo Atcl ndowasio wababaishaji.....mara 100 fastjet kuliko Atcl, fastjet kuhama nchi ni disori kubwa katika utawala hu, tena hao Atcl ata wakibaki wenyewe biashara itawashida tu asbuhi tu.
Bro sio hoja ya kipuuzi km unavodhani,
Shida hapa ni uthubutu Mwl JK alilinda sehemu zote zenye madini ili tukishapata elimu tuchimbe wenyewe na kuuza wenyewe but sisi wenyewe tukalishwa maneno na wazawa ambao tayari walishapewa chao kinono na wazungu na kuwakalilisha kuwa sisi hatuwezi kuchimba wenyewe hata kwa miaka miaka 500 ijayo ok.Tukawaruhusu wachimbe wao nasi tukapewa mrahaba kiduchu sana wao wakibeba zaidi ya 97%.Huo ndo Ushindani unaoutaka? WIZI MTUPU?
MF;Tunaambiwa China na Wachina walijifungia nchini mwao wao wenyewe kwa zaidi ya miaka 50 wakijijenga wao bila msaada kutoka nje leo hii wako na tuko wapi?
Bro acha mawazo hayo penda nchi yako jenga nchi yako.
Ushindani ni mzuri sana ila je ni washindani wapi tunashindana nao?Wezi au Wazalendo?
Kumbuka figisu la gesi na Mengi ambapo Waziri fulani alisema Mengi hana ubavu katika umiliki wa vitalu kisa waziri ana mawazo ya kijidharau na kuwadharau Watanzania wenzie kwa kuwa keshaonja za bepari
Unawezaje kuweka server/air operator katika nchi ambayo haimalizi wiki bila umeme kukatika. Hta kma ungekuwa wewe ndye mwekezaji ungeweza kurisk namna iyo???
Asante mkuuu,weka yako na utuelimishe wewe msomi, punguza ubinafsi bro Watanzania hatupaswi kuwa hivo utakuwa una elements za Kibafsi foolUmeandika maneno mengi, lakini 95% ni upuuzi wa hali ya juu. Kwa taarifa yako wachina walijifungia lakini mitaji na technology toka nje ndio iliyowainua. Umelazimisha kuweka mifano mingi ambayo ni irrelevant na hoja iliyopo mezani, hata na hivyo mifano yako ya kichovu bado haina mashiko.
Asante mkuuu,weka yako na utuelimishe wewe msomi, punguza ubinafsi bro Watanzania hatupaswi kuwa hivo utakuwa una elements za Kibafsi fool
Ujinga wangu hapo ni upi?Uelewa wako upo wapi,share elimu yako ili na sisi wajinga tuelimike kupitia kwako anaeelewa,wewe ni selfish wa kiwango cha kikuma kabisa!!!!Kuwa mtanzania sio kichaka cha kueleza watu ujinga wako.