Fastjet PLC inatarajia kuuza hisa zake katika shirika la Fastjet Tanzania

Habari wadau!

Katika hali ya kuhuzunisha na kuondoa hali ya ushindani nchini wa usafiri wa anga. Shirika la ndege la fast jet limeanza kufunga virago Tanzania kwa mazingira magumu ya uwekezaji na serikali kuwanyima vibali vya baadhi ya rout na kuwanyima kibali cha kuingiza ndege mpya nchini.

Mkurugenzi wa shirika hilo kathibitisha kufunga virago kwa kushindwa kuwa na mazingira rafiki ya uwekezaji na kutotoa uwanja mpana wa ushindani
Hata hizo ndege za ATCL zitaishia kuwa mapanki mda sii mrefu, hatuwezi ku run biashara ya anga, akibisha mtu basi mwendawazimu
 
Ujinga wangu hapo ni upi?Uelewa wako upo wapi,share elimu yako ili na sisi wajinga tuelimike kupitia kwako anaeelewa,wewe ni selfish wa kiwango cha kikuma kabisa!!!!


Hoja huna na hayo matusi unayorukia wala huyawezi. Nisije kukumwagia matusi na ukahama jf jumla. Kaa kushoto shoga mjane ww.
 
Nawapenda Fast jet nimepanda mala tano kutoka dar Johannesburg kwa garama ndogo sana 350,000 Tsh wakati SouthAfrican airline na mashirika mengine bei zao ziko juu sana Ethiopia pia bei zao sio mbaya sana tatizo awana ndege ya Dar Johannesburg mpaka uende Ethiopia ulale ADbaba kesho yake mchana upande ndege ya Dar, Baadae wakawanyima vibali vya kuingia South wakaomba Zimbabwe tukawa tunapanda Dar Zimbabwe ukishuka mabasi mpaka South hawa jamaa na wapenda sana wemetenganisha huduma za vyakula kwenye ndege na garama za usafiri ukiingia kwenye ndege umegonga ugali wako na dondo unachapa usingizi masaa manne uko dar habari za vyakula saa ngapi kawa rahagani nawapenda sana FAST JET wakionda utarudi kwenye mabasi
Dar joberg masaa manne? Kweli umepata Mara (mala) tano
 
Habari wadau!

Katika hali ya kuhuzunisha na kuondoa hali ya ushindani nchini wa usafiri wa anga. Shirika la ndege la fast jet limeanza kufunga virago Tanzania kwa mazingira magumu ya uwekezaji na serikali kuwanyima vibali vya baadhi ya rout na kuwanyima kibali cha kuingiza ndege mpya nchini.

Mkurugenzi wa shirika hilo kathibitisha kufunga virago kwa kushindwa kuwa na mazingira rafiki ya uwekezaji na kutotoa uwanja mpana wa ushindani

ndo ndege ambayo hata maskini alikuwa anapanda fastjet.tusubili kupangiwa bei na ATCL kama tanesco wanavo jisikia
 
Hoja huna na hayo matusi unayorukia wala huyawezi. Nisije kukumwagia matusi na ukahama jf jumla. Kaa kushoto shoga mjane ww.
Niamishe kama unaweza wewe kenge, nenda kalale muda umefika kusudi kesho asubuhi uwahi kwenye kazi yako ya KUPARA MIWA hapo Kagera sugar make nakujua sana bro wewe ni mwenyeji wa Misenyi Kagera na kazi ya KUPARA MIWA ndo inakuweka mjini,na sitaki mazoea na wewe kunguru mkubwa
 
Niamishe kama unaweza wewe kenge, nenda kalale muda umefika kusudi kesho asubuhi uwahi kwenye kazi yako ya KUPARA MIWA hapo Kagera sugar make nakujua sana bro wewe ni mwenyeji wa Misenyi Kagera na kazi ya KUPARA MIWA ndo inakuweka mjini,na sitaki mazoea na wewe kunguru mkubwa

Hapa umejichanganya vibaya leo. Kama mabasha wameisha mtaani kwenu usilazimishe mabasha kwa nguvu hapa jukwaani.
 
Kwa taarifa yako Fastjet walikuwa wababaishaji ila basi tu tulikuwa hatunajinsi ya kufanya kwa kuwa walikuwa hawana mshindani na nilishawaambie likija shirika la ndege jingine wajitayarishe kwa maumivu. Angalia Server zao ziko UK na hakuna admin TZ baada ya kuona sasa wanabanwa na sheria ya .co.tz wamekimbilia Msumbiji lakini wanajifanya wako TZ ofisi zao za TZ hazina maamuzi kabisa just operators.
Kwani kuna uhusiano kuwa na server nje na kua domain ya .co.tz ? Mbona watu wengi wanahost kutumia hostgator na server nyingine na wanadomain ya .co.tz . Server inaitaji umeme, usalama wa uhakika. Ndio maana wanaweka huko nje
 
Kwa taarifa yako Fastjet walikuwa wababaishaji ila basi tu tulikuwa hatunajinsi ya kufanya kwa kuwa walikuwa hawana mshindani na nilishawaambie likija shirika la ndege jingine wajitayarishe kwa maumivu. Angalia Server zao ziko UK na hakuna admin TZ baada ya kuona sasa wanabanwa na sheria ya .co.tz wamekimbilia Msumbiji lakini wanajifanya wako TZ ofisi zao za TZ hazina maamuzi kabisa just operators.
Sure, hata kama kuna mapungufu kwa upande wa Serikali yetu, hawa jamaa nao walikuwa wanazingua sana ktk upande wa huduma zao, hawakuwa rafiki sana kwa mteja, waliangalia zaidi maslahi yao. Ni dhahiri waliitumia vibaya nafasi ya kutokuwa na mpinzani wa nguvu.
Mimi pia nilikuwa na mashaka na hatma yao pindi akipatikana mshindani.
 
Kwenye route ya dar - mwanza naona jiwe ameamua kuturudisha kwenye usafiri wa mabasi, kweli atcl walivyo wababaishaji hivyo siwatakuwa wanatulaza airport week nzima?
 
Bro sio hoja ya kipuuzi km unavodhani,
Shida hapa ni uthubutu Mwl JK alilinda sehemu zote zenye madini ili tukishapata elimu tuchimbe wenyewe na kuuza wenyewe but sisi wenyewe tukalishwa maneno na wazawa ambao tayari walishapewa chao kinono na wazungu na kuwakalilisha kuwa sisi hatuwezi kuchimba wenyewe hata kwa miaka miaka 500 ijayo ok.Tukawaruhusu wachimbe wao nasi tukapewa mrahaba kiduchu sana wao wakibeba zaidi ya 97%.Huo ndo Ushindani unaoutaka? WIZI MTUPU?
MF;Tunaambiwa China na Wachina walijifungia nchini mwao wao wenyewe kwa zaidi ya miaka 50 wakijijenga wao bila msaada kutoka nje leo hii wako na tuko wapi?
Bro acha mawazo hayo penda nchi yako jenga nchi yako.
Ushindani ni mzuri sana ila je ni washindani wapi tunashindana nao?Wezi au Wazalendo?
Kumbuka figisu la gesi na Mengi ambapo Waziri fulani alisema Mengi hana ubavu katika umiliki wa vitalu kisa waziri ana mawazo ya kijidharau na kuwadharau Watanzania wenzie kwa kuwa keshaonja za bepari
Hujui kitu. Usimezeshwe ujinga.

Kwenye madini corporate tax ni 30%. Unayoongelea 3% ni mrabaha na wala siyo kodi. Na hiyo 3% ni on production siyo on profit.

Katika Dunia yote ni Zimbabwe pekee hutoza mrabaha wa juu kuliko mataifa yote. Wanatoza 7%. Canada na Australia ni 0%. Baadhi ya mataifa wanatoza 1 na 2%.

Tatizo la Watanzania wengi ni ujinga. Ni wajinga katika mambo mengi lakini wanajua sana kubwabwaja wakiamini kuongea sana hata kama hujui unachoongelea, ni uelewa.

Wachina katika Ulimwengu wa kujifungia hawakufika popote. Waliendelea kuwa maskini wa kutupwa. China ya leo ni matokeo ya mabadiliko makubwa waliyoyafanya miaka kama 17 iliyopita. Walibadilisha sera zao za uchumi ambapo waliruhusu uwekezaji mkubwa toka nchi za Magharibi. Na makampuni ya Magharibi yamewekeza heavily in China.

Vitu vingi ambavyo ni high tech toka China vinatengenezwa na makampuni ya Ulaya na America

Hata train ziendaso kasi, ni mradi wa Wajerumani ambao mpaka leo China inailipa Ujerumani ambayo ndiyo yenye tekinolojia hiyo.

China bila uwekezaji mkubwa uliofanywa na makampuni ya Ulaya, America na South Korea, ni tupu.

Kwa hiyo usidanganywe kwamba China imefanikiwa kutokana na kujifungia. China ya kujifungia waliishia wote kuvaa nguo zenye viraka matakoni na magotini na mwisho hawakutoka na chochote cha maana.

Kihistoria China ilikuwa juu kimaendeleo kupita Japan lakini kutokana na mifumo yao mibaya ya kusimamia uchumi, China iliachwa mbali na Japan beyond comparison. Hali hiyo ni sawa pia kwa South Korea na North Korea
 
Hii ipo sana tu kwaajiri ya kulinda mashirika ya ndani, mkumbuke Fastjet mpaka leo wamenyimwa route ya kwenda Nairobi kulinda soko la Kenya airways ila Kenya airways ina route 73 kwa wiki kuja Dar
Habari wadau!

Katika hali ya kuhuzunisha na kuondoa hali ya ushindani nchini wa usafiri wa anga. Shirika la ndege la fast jet limeanza kufunga virago Tanzania kwa mazingira magumu ya uwekezaji na serikali kuwanyima vibali vya baadhi ya rout na kuwanyima kibali cha kuingiza ndege mpya nchini.

Mkurugenzi wa shirika hilo kathibitisha kufunga virago kwa kushindwa kuwa na mazingira rafiki ya uwekezaji na kutotoa uwanja mpana wa ushindani
 
Hujui kitu. Usimezeshwe ujinga.

Kwenye madini corporate tax ni 30%. Unayoongelea 3% ni mrabaha na wala siyo kodi. Na hiyo 3% ni on production siyo on profit.

Katika Dunia yote ni Zimbabwe pekee hutoza mrabaha wa juu kuliko mataifa yote. Wanatoza 7%. Canada na Australia ni 0%. Baadhi ya mataifa wanatoza 1 na 2%.

Tatizo la Watanzania wengi ni ujinga. Ni wajinga katika mambo mengi lakini wanajua sana kubwabwaja wakiamini kuongea sana hata kama hujui unachoongelea, ni uelewa.

Wachina katika Ulimwengu wa kujifungia hawakufika popote. Waliendelea kuwa maskini wa kutupwa. China ya leo ni matokeo ya mabadiliko makubwa waliyoyafanya miaka kama 17 iliyopita. Walibadilisha sera zao za uchumi ambapo waliruhusu uwekezaji mkubwa toka nchi za Magharibi. Na makampuni ya Magharibi yamewekeza heavily in China.

Vitu vingi ambavyo ni high tech toka China vinatengenezwa na makampuni ya Ulaya na America

Hata train ziendaso kasi, ni mradi wa Wajerumani ambao mpaka leo China inailipa Ujerumani ambayo ndiyo yenye tekinolojia hiyo.

China bila uwekezaji mkubwa uliofanywa na makampuni ya Ulaya, America na South Korea, ni tupu.

Kwa hiyo usidanganywe kwamba China imefanikiwa kutokana na kujifungia. China ya kujifungia waliishia wote kuvaa nguo zenye viraka matakoni na magotini na mwisho hawakutoka na chochote cha maana.

Kihistoria China ilikuwa juu kimaendeleo kupita Japan lakini kutokana na mifumo yao mibaya ya kusimamia uchumi, China iliachwa mbali na China beyond comparison. Hali hiyo ni sawa pia kwa South Korea na North Korea
Hii ndo elimu inayotakiwa kwa binadamu mwenzako,asante, nami nimejifunza zaidi kutoka kwako lkn ni baada ya mimi kukosea endapo ningelikaa kimya nisingelijifunza Hilo.
Sio kenge mmoja badala ya kushare alichonacho anaanza kuponda, sio fresh
 
Unawezaje kuweka server/air operator katika nchi ambayo haimalizi wiki bila umeme kukatika. Hta kma ungekuwa wewe ndye mwekezaji ungeweza kurisk namna iyo???

Mkuu,
Una hoja nzito na imara, wachangiaji wa mtaa wa Lumumba wanadhani sekta ya usafirishaji wa anga iliyo na ushindani mkubwa kimataifa ni kama biashara ya daladala jijini Dsm ya route : Gongo la Mboto - Posta .

Kuna sababu nyingi wawekezaji makini kuangalia wapi waweke base yao. Hata Azam TV kitengo cha AzamPayTv baadhi ya shughuli zao zipo kisiwani Mauritius lakini inaendesha biashara Tanzania na nchi kadhaa.
TV company, Azam Pay TV Mauritius Ltd, initiates a legal battle against media houses citing abuse and infringement of the league sponsor’s intellectual property rights in the coverage of the football league – officially known as Azam Uganda Premier League (AUPL).

Hivyo Fastjet kuwa na baadhi ya miundo-mbinu ya kufanya kazi kwa ufanisi nje ya nchi ni sababu mojawapo ya kupunguza gharama za uendeshaji ikiwemo umeme wa uhakika , kodi, nguvu ya sarafu ya fedha, weledi wa staffs kutoa huduma za customer care kimataifa na vivutio vya uwekezaji ambavyo havipo Tanzania n.k

Habari za Nyongeza hapa chini kwa faida ya wote na ili wana JamiiForums kuongeza ufahamu wa biashara zisizo na 'mipaka' kuona kwa kufuata sheria unaweza kuendesha baadhi ya shughuli za kampuni yako nje ya Tanzania bila kuvunja sheria za kodi n.k:

TAARIFA KWA UMMA
Azam PayTV Ltd ya Mauritius ndiyo mmiliki wa Azam Tv inayoonekana katika nchi zote za Afrika Mashariki na Kati pamoja na nchi nyingi za kusini mwa jangwa Ia Sahara kwa njia ya Satelite. Kampuni hii inawakilishwa na Azam Media Limited hapa nchini Tanzania.

Azam Media Limited inapenda kuufahamisha Umma kuwa;

Taarifa zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii kuwa AZAM TV inakwepa kulipa kodi ya Ongozeko la thamani (VAT) si kweli na zinakusudia kuupotosha umma kwa ujumla.
  1. Tozo ya huduma za Azam tv inalipiwa kodi ya Ongezeko Ia Thamani (VAT) kwani mmiliki wake arnbaye ni Azam Paytv Ltd ya Mauritius amesajiliwa hapa nchini kwa madhumuni ya ulipaji wa kodi ya Ongozeko Ia Thamani (VAT) kwa usajili nambari VRN 40-023191-C
  2. ldadi ya wateja Milioni 3 waliofungiwa ving'amuzi vya Azam TV iliyoripotiwa katika mitandao ya kijamii si ya kweli.
  3. Azam TV inatoa rai kwa weteja wake na wananchi kwa ujumla kupuuza taarifa za uzushi na uongo zenye lengo Ia kuchafua jina Ia Azam TV na kurudisha nyuma juhudi za Kampuni kutoa huduma bora ya Runinga kwa wateja wake.
Pia Umma unatahadharishwa kuwa makini na taarifa mbalimbali zinazosambazwa zisizo sahihi namna biashara zinavyoendeshwa ktk nchi kadhaa chini ya mwamvuli wa Azam TV.
 
Ukiwa mjinga ni mjinga tu,mfano Ethiopia airline, Kenya airline, hawa waweze ila sisi tushindwe,ni upuuzi uliopitiliza,magu huko Sawa ila sisi wehu wa humu jf tunaponda tumechoka kusifia vya jirani,nilikua nikienda Kenya nakutana na fryover saizi wala sishangai treni ya umeme IPO,ndege zipo sasa naomba mungu asinichukue mapema mpaka nione tunavyolusha chombo mwezini,ni nyie mlietuambia lugemalila na mhindi wake wa pap hawakamatiki Leo,mnakodoa macho bira majibu.

Kenya airways wana ushirika wa kibiashara na KLM ya Uholanzi na Air France ya Ufaransa. Dhumuni la Kenya Airways kuingia ktk ushirika huu ni kufaidi miundo-mbinu ya kieletroniki, kufaidi uzoefu wa mashirika hayo makubwa ya ulaya n.k ili kuhimili changamoto kubwa ya kibiashara ktk usafiri wa anga kimataifa.
Air France joins the KLM - Kenya Airways joint venture | Air France KLM
https://www.airfranceklm.com › air-franc...

26 Mar 2018 · Air France joins the KLM - Kenya Airways joint venture. As from March 25th Air France will be part of the joint venture that has been in existence since 1995 between KLM Royal Dutch Airlines and the Kenya Airways, a Skyteam partner. This move will consolidate the Air France-KLM group's capacity in East

Hapa mtandaoni JamiiForums walipendekeza serikali iwekeze ndani ya Fastjet (kampuni tanzu ya shirika la kimataifa la EasyJet Home ). Lakini serikali ikaamua badala yake kujaribu kuifufua ATCL na sasa hili la Fastjet kuwekewa vikwanzo ni dalili ATCL inayumba ingawa ina mbeleko ya kiserikali.

Habari hii kama ni kweli Fastjet wanafunga virago ina maana pia si muda mrefu ATCL itaingizwa Intensive Care Unit / ICU / Wodi ya wagonjwa mahututi ya kibiashara kuingia coma na hatimaye kufa maana serikali itakata mbeleko ya ruzuku ambayo inaleta hasara isiyo na ukomo.
 
Hakuna kuwa kubwa kama nchi tutafanya kama kurudisha monopoly ya ATC(L) kwenye sekta ya usafiri wa anga wa ndani. Wananchi wananufaika zaidi kukiwa na ushindani.

Kama hii ni mojawapo ya strategy yetu katika kile tunachoita "vita ya kiuchumi" basi hapana shaka tutashindwa vita hiyo.

ATC= Any Time Cancellation
 
Habari wadau!

Katika hali ya kuhuzunisha na kuondoa hali ya ushindani nchini wa usafiri wa anga. Shirika la ndege la fast jet limeanza kufunga virago Tanzania kwa mazingira magumu ya uwekezaji na serikali kuwanyima vibali vya baadhi ya rout na kuwanyima kibali cha kuingiza ndege mpya nchini.

Mkurugenzi wa shirika hilo kathibitisha kufunga virago kwa kushindwa kuwa na mazingira rafiki ya uwekezaji na kutotoa uwanja mpana wa ushindani
Tupatie chanzo na siyo maneno maneno tu.
 
Back
Top Bottom