Fastjet PLC inatarajia kuuza hisa zake katika shirika la Fastjet Tanzania

Habari wadau!

Katika hali ya kuhuzunisha na kuondoa hali ya ushindani nchini wa usafiri wa anga. Shirika la ndege la fast jet limeanza kufunga virago Tanzania kwa mazingira magumu ya uwekezaji na serikali kuwanyima vibali vya baadhi ya rout na kuwanyima kibali cha kuingiza ndege mpya nchini.

Mkurugenzi wa shirika hilo kathibitisha kufunga virago kwa kushindwa kuwa na mazingira rafiki ya uwekezaji na kutotoa uwanja mpana wa ushindani
POleni Fast jet. CCM ni msalaba wa jumuia sasa ni zamu yenu ibada kufanyikia kwenu. Hata sisi wengine tumepitia huko na tumezoea. Karibuni uraiani. Kilimo cha ngogwe kinalipa sana huku mtaani. Tenga ni elf 2500 bei nzuri mno.
 
Biashara kufa si jambo geni wala jambo la ajabu au hata kubadilisha aina ya biashara au huduma unayotoa si jambo la ajabu ktk ulimwengu huu, ISSUE HAPA NI KWA NINI BIASHARA HIYO INAKUFA/IMEKUFA AU KWA NINI UNABADILI AINA YA BIASHARA AU HUDUMA UNAYOTOA?

Maana kama issue iko kama habari hii ilivyoletwa hapa ni kwamba hata uwekezaji mpya wa sekta binafsi ktk usafiri wa anga utakua mgumu just imagine hivi kama shirika la TTCL ndio wangekua pekee wanatoa huduma ya mawasiliano na data humu ndani hali ingekuaje? Unadhani ni sahihi kurudi kwenye monopoly ya shirika moja la ndege linalotoa huduma humu ndani? Hili ni tatizo.
Wachache watakuelewa mkuu!
 
Kwa taarifa yako Fastjet walikuwa wababaishaji ila basi tu tulikuwa hatunajinsi ya kufanya kwa kuwa walikuwa hawana mshindani na nilishawaambie likija shirika la ndege jingine wajitayarishe kwa maumivu. Angalia Server zao ziko UK na hakuna admin TZ baada ya kuona sasa wanabanwa na sheria ya .co.tz wamekimbilia Msumbiji lakini wanajifanya wako TZ ofisi zao za TZ hazina maamuzi kabisa just operators.
hii ni sehemu ya janga kubwa kwa wasifiri wanaotumia anga ya TZ. siku zote ushindani unafaidisha mtumiaji na kubakia kwake kulikuwa ni changamoto ya ATCL kufanye vizuri. Tuna imani na vya kwetu, yes, lakini tuna uhakika gani kwamba tukiachiwa ndo tutakuwa salama. What if, what if kesho ATCL wakiwa na issue ambayo inapelekea ground ya ndege zao mbili tutakuwa na mbadala upi.. unaweza kushabikia anguko la mshindani lakini likaja kukuvua nguo
 
hii ni sehemu ya janga kubwa kwa wasifiri wanaotumia anga ya TZ. siku zote ushindani unafaidisha mtumiaji na kubakia kwake kulikuwa ni changamoto ya ATCL kufanye vizuri. Tuna imani na vya kwetu, yes, lakini tuna uhakika gani kwamba tukiachiwa ndo tutakuwa salama. What if, what if kesho ATCL wakiwa na issue ambayo inapelekea ground ya ndege zao mbili tutakuwa na mbadala upi.. unaweza kushabikia anguko la mshindani lakini likaja kukuvua nguo
Ipo precision air mkuu nayo ni ya mzawa tupende vya kwetu kama hao mabeberu wanavyopenda vya kwao!
 
Ulicho nishauli nimekipokea,ni ujinga ulitukuka kudhani kwamba darasa lina kufanya uwe mjuzi wa kirakitu ,ninavyofahamu Mimi hatakusoma tu vitabu inatosha kuwezesha mtu kuelewa ,sasa sijaelewa ushauliwako ulilenga nini,ama nimekosea kusema ninachofahamu ,au nini,nikukumbushe tu nilichokua nasisitiza ni kwamba tunao uwezo wa kufanya mamboyetu mwenyewe bira kutegemea hisani ya MTU mwingine sasa nakushangaa wewe ulie pita darasani na kujielimisha hujui haya pengine ni wivu unakusumbua nikusaidie tu baada ya ujio wa ndege zetu nauli ya milioni moja haipo tena ndiyo maana wewe na wapiga dili wenzako lazima mtuone sisi hatukuhudhulia darasani.
Umeishia darasa gani? Maana hata kuandika sentensi moja iliyo sawa ni tatizo.

Nashauri ujiendeleze kwanza katika kujua kusoma, kuandika na kuhesabu kabla ya kuanza kuchambua hoja zinazohitaji uelewa mkubwa.
 
Mjinga ni mjinga tu ila ni afadhali kuliko mpum*bavu. Unaweza kulinganisha Kenya airways au Ethiopian Airline na ATCL? Magu anatafuta namna ya kuibeba ATCL lakini jitihada hizo ni hapahapa kwa 'wadanganyika'!
wengine nichukizenu binafsi hatuwezi kuwashawishi ,mjinga ni mjinga tu,wenyewe hawa wlianza na ndege 100,ili hoja yako iwe na mashiko ,nijuavyo Mimi walianza na ndege 3,7,10,70 walizonazo sasa wewe kwa ujinga wako unataka tusifanye lolote kwakua hatuwezi kujilinganisha nao ebooo huu ni ujinga mamba ngapi?
 
Back
Top Bottom