- Thread starter
- #61
Pole sana nadhani bado hujanielewa! Hawezi kuwaambia mjenge chuki lkn lazima kuna mambo anayofanya ili aonekane yeye ni mama mwenye upendo zaidi kuliko baba yenu. Natamani ungekuwa karibu tuongee nikupe na baadhi ya vitabu usome ili ujue nnachokueleza ni ndicho kilichopo ktk familia yenu.soma mfano kidogo hapo nilipom-quote Senior Boss
Haya asante kwa ushaur mkuu ubarikiwe
Last edited by a moderator: