Habari Jf,
Naandika hapa mpaka nasikia kufa.
Nimezaliwa katika familia ya watoto watatu kwa mama yangu ingawa baba ana familia nyingine so my mom ni kama mke mdogo.
Toka nakua familia yangu haikua katika maelewano mazuri ( matatizo ya mitara).
Baba yangu alikua mtu anayejiweza (ameshastaafu).
Alikua Muhandisi wa mkoa enzi hizo kwa hiyo tulikua tunaishi kawaida mama yangu pia ni mtumishi wa Serikali.
Lakini katika makuzi yetu baba yetu hakua responsible kabisa kuhusu sisi.
Mama yetu yeye ndo alijua kula yeti,vaa yetu,na elimu pia alijitahid kadri ya uwezo wake tusome mpaka tukafika chuo.
Dada yetu mkubwa kamaliza chuo mimi ndo namalizia mwaka wa tatu.
Baba yangu toka nianze kusoma hajawai kunilipia even a single sent japo uwezo alikua nao na anao.
Kwasababu amepata mafao yake (story ni ndefu nikiandika maisha na vimbwanga vya familia yetu ni kitabu kabisa).
To cut the story hivi mimi nipo mwaka wa mwisho chuoni najiandaa na University exams.
Jumatatu sasa katika kuclear nikajikuta nadaiwa basi nikampigia mama yangu simu kumuelezea hali halisi kasema hana pesa.
Basi katika kuhangaika ikabidi nimpigie baba yangu yani kanikatalia katakata.
Nimejikuta nalia sijui cha kufanya mpaka najiuliza kama tulizaliwa kimakosa au vip.
Eeeh mungu nisaidie uniondolee roho ya kisasi dhidi ya mzee wangu.
NB: Nashindwa cha kufanya kuhusu huyu mzazi wangu.
Naandika hapa mpaka nasikia kufa.
Nimezaliwa katika familia ya watoto watatu kwa mama yangu ingawa baba ana familia nyingine so my mom ni kama mke mdogo.
Toka nakua familia yangu haikua katika maelewano mazuri ( matatizo ya mitara).
Baba yangu alikua mtu anayejiweza (ameshastaafu).
Alikua Muhandisi wa mkoa enzi hizo kwa hiyo tulikua tunaishi kawaida mama yangu pia ni mtumishi wa Serikali.
Lakini katika makuzi yetu baba yetu hakua responsible kabisa kuhusu sisi.
Mama yetu yeye ndo alijua kula yeti,vaa yetu,na elimu pia alijitahid kadri ya uwezo wake tusome mpaka tukafika chuo.
Dada yetu mkubwa kamaliza chuo mimi ndo namalizia mwaka wa tatu.
Baba yangu toka nianze kusoma hajawai kunilipia even a single sent japo uwezo alikua nao na anao.
Kwasababu amepata mafao yake (story ni ndefu nikiandika maisha na vimbwanga vya familia yetu ni kitabu kabisa).
To cut the story hivi mimi nipo mwaka wa mwisho chuoni najiandaa na University exams.
Jumatatu sasa katika kuclear nikajikuta nadaiwa basi nikampigia mama yangu simu kumuelezea hali halisi kasema hana pesa.
Basi katika kuhangaika ikabidi nimpigie baba yangu yani kanikatalia katakata.
Nimejikuta nalia sijui cha kufanya mpaka najiuliza kama tulizaliwa kimakosa au vip.
Eeeh mungu nisaidie uniondolee roho ya kisasi dhidi ya mzee wangu.
NB: Nashindwa cha kufanya kuhusu huyu mzazi wangu.