Ulitaka mpaka gharama ndogo ndogo zilipiwe na Serikali?...hivi jamani mipaka ya "ubwaba wa Taifa" inaishia wapi?!Pili tushukuru kwa sasa mama maria yuupo hai na baadhi ya gharama za ndogo ndogo anazitoa yeye...
Unafiki sio kitu kizuri! Joan Wickens aliripoti (nina hakika kuwa hili linajulikana wazi hapa jamvini) kuwa waliwahi yeye na Nyerere kuzuri nchi zaidi ya 30 katika muda usiozidi miezi sita! huku tukidanganywa kuwa Nyerere hatoki sana nje ya nchi!Edson said:jamaa yenu anakula bata Canada...subiri nae afe.....
Hivi karibuni nilitembelea Butiama kuzuru makazi, kaburi na Makumbusho ya Mwl. Nyerere.
Kitu kilichonisikitisha na kunishangaza ni kwamba mtu haruhusiwi kuona kaburi la Baba wa Taifa hadi alipie huduma hiyo! Nilipouliza utaratibu huu upo tangu zamani, muhudumu wa pale getini alinijibu kwamba FAMILIA YA MWL NYERERE IMEAMUA KUANZISHA UTARATIBU HUU ILI KUPATA FEDHA ZA KUTUNZA FAMILIA!
Baadaye nilitembelea Makumbusho nikauliza suala hili nikajibiwa na maofisa wa Makumbusho kwamba hapo awali Makumbusho ilikuwa na dhamana ya kuwatembeza wageni wote kwenye makazi, kaburi isipo kuwa baadhi ya maeneo. Hali hiyo ilibadilika baada ya baadhi ya wanafamiilia kuanzisha utaratibu huo ambao kwa kweli wageni wengi, na watanzania kwa ujumla wanaushangaa na ni aibu kwa taifa.
Maoni yangu ni kwamba serikali inapaswa kuchukua dhamana ya kutunza eneo hilo hii ikiwa ni pamoja na usalama wake.
Kadhalika familia ama kikundi cha watu kamwe kisipewe ruhusa ya kufanya biashara ya aina yoyote katika eneo hilo.
mamajack,
Haya uliyoandika hapa sio kweli.
Mjane wa Mwalimu analipwa 40% ya mshahara wa Rais wa sasa kama pensheni kila mwezi hadi atakapofariki. Wanae Mwalimu ni watu wazima na walianza kujitegemea siku nyingi kabla ya Mwalimu kufariki.
Kama wanatoza kiingilio pale ni masuala mengine kabisa. Mama Maria Nyerere anatunzwa vizuri tu sio na serikali hii bali hata Museveni wa Uganda.
hii laana itamkuta kikwete na familia yake yote.li riz litatembea likiokota makopo
mamajack,
Haya uliyoandika hapa sio kweli.
Mjane wa Mwalimu analipwa 40% ya mshahara wa Rais wa sasa kama pensheni kila mwezi hadi atakapofariki. Wanae Mwalimu ni watu wazima na walianza kujitegemea siku nyingi kabla ya Mwalimu kufariki.
Kama wanatoza kiingilio pale ni masuala mengine kabisa. Mama Maria Nyerere anatunzwa vizuri tu sio na serikali hii bali hata Museveni wa Uganda.
mkuu kwa aina ya viongozi tulionao sasa tz si ajabu kusikia familia ya hayati nyerere imetelekezwa.... kama hakuna wanachokivuna kutoka kwa familia hiyo unategemea nini?Nani ana uhakika kwamba hiyi familia haitunzwi tena?
Sidhani kama ni rahisi kiasi hicho kuiacha hiyo familia wanaweza kuwa wameweka hiyo fee kwa tamaa zao wenyewe.
Unahitaji kuwa kiongozi mwendawazimu kuitelekeza familia ya mwalimu
Ulitaka mpaka gharama ndogo ndogo zilipiwe na Serikali?...hivi jamani mipaka ya "ubwaba wa Taifa" inaishia wapi?!
Umefika wakati sasa familia ya Nyerere ijifunze kuwa Serikali (mimi si mshabiki wa serikali za Kisekula)ikikupa unatarajiwa kurudisha/kuchangia japo kidogo!
Ili kuukata huu mzizi wa fitina inabidi cheo cha Ubaba wa Taifa kifutwe! kuabudu kaburi nako kukomeshwe.Unafiki sio kitu kizuri! Joan Wickens aliripoti (nina hakika kuwa hili linajulikana wazi hapa jamvini) kuwa waliwahi yeye na Nyerere kuzuri nchi zaidi ya 30 katika muda usiozidi miezi sita! huku tukidanganywa kuwa Nyerere hatoki sana nje ya nchi!
Chuki binafsi itakuua. Nimemquote mswahili mwenzako humu.
Hapana,'He! museni anamtunza mama Maria, isije tu ikawa kama ya Mzee Mandela na Graca Machel!
Hivi karibuni nilitembelea Butiama kuzuru makazi, kaburi na Makumbusho ya Mwl. Nyerere.
Kitu kilichonisikitisha na kunishangaza ni kwamba mtu haruhusiwi kuona kaburi la Baba wa Taifa hadi alipie huduma hiyo! Nilipouliza utaratibu huu upo tangu zamani, muhudumu wa pale getini alinijibu kwamba FAMILIA YA MWL NYERERE IMEAMUA KUANZISHA UTARATIBU HUU ILI KUPATA FEDHA ZA KUTUNZA FAMILIA!
Baadaye nilitembelea Makumbusho nikauliza suala hili nikajibiwa na maofisa wa Makumbusho kwamba hapo awali Makumbusho ilikuwa na dhamana ya kuwatembeza wageni wote kwenye makazi, kaburi isipo kuwa baadhi ya maeneo. Hali hiyo ilibadilika baada ya baadhi ya wanafamiilia kuanzisha utaratibu huo ambao kwa kweli wageni wengi, na watanzania kwa ujumla wanaushangaa na ni aibu kwa taifa.
Maoni yangu ni kwamba serikali inapaswa kuchukua dhamana ya kutunza eneo hilo hii ikiwa ni pamoja na usalama wake.
Kadhalika familia ama kikundi cha watu kamwe kisipewe ruhusa ya kufanya biashara ya aina yoyote katika eneo hilo.
kwa hiyo wewe unashabikia sisimwewe bila kujua ilitoka wapi? Na nani waasisi?Naomba Mungu hata asinifikishe karibu ya hapo.
Nikalipie kuona kaburi la Nyerere ili iweje?
!??????????????????.jamani si baba yao? Waacheni? Sasa wanakuabisha nini? Kwani nyerere baba yako?