Dickson Ng'hily
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 451
- 485
Mbona mie nilitembelea na sikulipa chochote!wameanza lini huu utaratibu!?
Lakini hata hivyo ni nani wa kulaumu!? Kwanini JK mdogo haitunzi hiyo familia mpaka inafikia hatua hiyo!
Ukweli ni aibu na ni aibu yetu sote kama taifa kuwa tumeshindwa kumsaidia mjana wa mmoja wa wasisi wa taifa hili ambaye pia ni waziri mkuu wa kwanza wa iliyokuwa tanganyika lakini vile vile rais wa kwanza wa jamuhuri ya muungano wa tanzania.
Mbona wenzetu zanzibar wanamjali mke wa Karume!? Tawala zote kama sikoesi ukiondoa ya komando, zote zimekuwa zikimjali yule mama.... Kwa nini tawala zetu hazifanyi hivyo! Na hasa hii ya mtani wangu JK?
Lakini hata hivyo ni nani wa kulaumu!? Kwanini JK mdogo haitunzi hiyo familia mpaka inafikia hatua hiyo!
Ukweli ni aibu na ni aibu yetu sote kama taifa kuwa tumeshindwa kumsaidia mjana wa mmoja wa wasisi wa taifa hili ambaye pia ni waziri mkuu wa kwanza wa iliyokuwa tanganyika lakini vile vile rais wa kwanza wa jamuhuri ya muungano wa tanzania.
Mbona wenzetu zanzibar wanamjali mke wa Karume!? Tawala zote kama sikoesi ukiondoa ya komando, zote zimekuwa zikimjali yule mama.... Kwa nini tawala zetu hazifanyi hivyo! Na hasa hii ya mtani wangu JK?