Familia ya Nyerere mnaaibisha taifa

Status
Not open for further replies.
Nani ana uhakika kwamba hiyi familia haitunzwi tena?

Sidhani kama ni rahisi kiasi hicho kuiacha hiyo familia wanaweza kuwa wameweka hiyo fee kwa tamaa zao wenyewe.

Unahitaji kuwa kiongozi mwendawazimu kuitelekeza familia ya mwalimu

Wewe unaishi wapi? Hukumbuki familia ya Mwl iliwahi kukatiwa hata umeme? Pita pale Wami Dakawa eneo walipoitoa roho ya Sokoine, pametelekezwa! Ilipaswa hata kuweka something big kwa kumbukumbu yake lakini hakuna kitu! Maisha ya familia ya Nyerere ni ya kubangaiza. Ndio maana kaka yake Mwanaasha yupo busy kukumba resources za Wadanganyika, ujinga wa akina Makongoro, Madaraka kuozea Butiama hautaki! This is Bongo bana...!
 
Usiwe mzembe kujua literal and figurative meanings za maneno.Muasisi hawezi kuwa mmoja.Huu ndipo ujinga hata wale wana CCM walidhani kuwa mtei ndio kaanzisha chama hadi mbowe alipowatoa matongotongo kwa kuwaabisha.

nikundolee nini kama hujaelewa mpaka sasa hivi.Ulitaka awape amani kwa mtutu kama saadam?yeye alitumia brain tuu kuwaweka sawa,kila mkileta hoja dhaifu aliwapa maswali na majibu mnakula kona ndio maana hadi nakufa mlikuwa mkiongelea uchochoroni tuu.Aliwapa kavu JK hajakomaa mkasubiri katoka mkaanza vurugu zenu,sasa leo kila anaona kuwa JK hajakomaa.Baada ya kufa ndio mkafungulia dog.
Teh! teh kwa hiyo aliikuta amani ikiwepo Tanzania kabla yake!

...alijiona mjanja wakati wazee wetu walipokuwa kimya na kumuacha afanye anavyotaka, alichokuwa hakijui ni kuwa wazee walikuwa bize kukitayarisha kizazi kinachofuata, sasa watoto wamekuwa mnamlaumu JK!
 
Teh! teh kwa hiyo aliikuta amani ikiwepo Tanzania kabla yake!

...alijiona mjanja wakati wazee wetu walipokuwa kimya na kumuacha afanye anavyotaka, alichokuwa hakijui ni kuwa wazee walikuwa bize kukitayarisha kizazi kinachofuata, sasa watoto wamekuwa mnamlaumu JK!
Sideeq,
Tunachokataa baadhi yetu ni juhudi za makusudi kabisa za baadhi yenu kutaka kuiandika UPYA HISTORIA ya Tanganyika na baadae Tanzania. Historia haiko hivo. Historia inataka uongezee yale yaliyosahaulika tu. Rais wa KWANZA wa TANU ni Mwalimu. Wewe unasema sio muasisi. Inahitaji akili kubwa hapa kuelewa unachokitaka kiandikwe?

Ni mzee gani alimtayarisha JK kuliko Mwalimu aliyemchukua chuo kikuu na kumpeleka TANU miaka hiyo ya 70? Pindisheni historia mnavyotaka lakini hamtaweza kuibadili wala kuiandika upya. Chuki, husda, wivu, ujinga,jazba, hazitatusaidia sana kuubadili ukweli kuhusu Mwalimu. Sote hatuwezi kuwa Waislaam, sote hatuwezi kuwa wakristo na wala sote hatuwezi kuwa kabila moja.
 
Sideeq,
Tunachokataa baadhi yetu ni juhudi za makusudi kabisa za baadhi yenu kutaka kuiandika UPYA HISTORIA ya Tanganyika na baadae Tanzania. Historia haiko hivo. Historia inataka uongezee yale yaliyosahaulika tu. Rais wa KWANZA wa TANU ni Mwalimu. Wewe unasema sio muasisi. Inahitaji akili kubwa hapa kuelewa unachokitaka kiandikwe?

Ni mzee gani alimtayarisha JK kuliko Mwalimu aliyemchukua chuo kikuu na kumpeleka TANU miaka hiyo ya 70? Pindisheni historia mnavyotaka lakini hamtaweza kuibadili wala kuiandika upya. Chuki, husda, wivu, ujinga,jazba, hazitatusaidia sana kuubadili ukweli kuhusu Mwalimu. Sote hatuwezi kuwa Waislaam, sote hatuwezi kuwa wakristo na wala sote hatuwezi kuwa kabila moja.
Hayo ya JK na Nyerere ni ya JK na Nyerere!
Tuliloliona hapa ni kuwa Nyerere si muasisi wa TANU! suala la kuwa ameleta amani Tanganyika na baadaye Tanzania nalo limedhihiri kuwa ni uwongo.
Sasa tunatataka kujuwa ni udini upi ambao Nyerere ameuondoa Tanzania?
 
Teh! teh kwa hiyo aliikuta amani ikiwepo Tanzania kabla yake!

...alijiona mjanja wakati wazee wetu walipokuwa kimya na kumuacha afanye anavyotaka, alichokuwa hakijui ni kuwa wazee walikuwa bize kukitayarisha kizazi kinachofuata, sasa watoto wamekuwa mnamlaumu JK!

Sijui kama ulichoandika ulikuwa unakielewa hapa
 
Hayo ya JK na Nyerere ni ya JK na Nyerere!
Tuliloliona hapa ni kuwa Nyerere si muasisi wa TANU! suala la kuwa ameleta amani Tanganyika na baadaye Tanzania nalo limedhihiri kuwa ni uwongo.
Sasa tunatataka kujuwa ni udini upi ambao Nyerere ameuondoa Tanzania?

Huwezi jiongelesha blah blah..halafu ukajiridhisha wewe mwenyewe kwa mambo ya kitaifa kisha ukataka watu wajidhihiishie kuwa ni uongo.Ingekuwa hivyo waarabu na hadith zao alfu lela ulela wangefanikiwa badili historia ya maendeleo ya kisayansi ya Ulaya.Nao wapo kwenye propafanda kuwa mafanikio ya sayansi na gunduzi zote za ulaya zimetoakana na ugunduzi wa Kiislam.Cha kushangaza wao wanadanganya na elimu ya kuibiana nyota wakati wenzao wanakwenda space, wanatupa satelite za mawasiliano ambayo bado waarabu wanayabuse kwa kupitishia hizi hadith za abunuasi.

Nyerere ni muasisi km walivyo wengine.Na watu wakiend ambali yeye ndiye Master Planner wengine walikuwa watu wa ndio mzee hadi akawa akichukia.Watu wasemao ndio mzee huwa wao ni wa kufuata tuu.

Udini aliupinga sana na kam si akili waislam wangekuwa wamefanikiwa mtega na kuanzisha uasi.Ila mara zote alifanya kazi na waislam wenye nia njema.Hata hivyo pia alihitaji mara zote wabana wafuate maadili ya chama,Nyerere alichofanikiwa ni kuweza ingiza sheria zote za msingi ktk Katiba na Taratibu za TANU ambazo alizitumia sana wabana wanafiki,bila hivyo angehukumiwa kwa kuwapiga vita waislam.
 
Nyerere ni muasisi km walivyo wengine.Na watu wakiend ambali yeye ndiye Master Planner wengine walikuwa watu wa ndio mzee hadi akawa akichukia
Hapana shaka yoyote! yeye peke yake ndiye aliyeplan azimio la Arusha, siasa za Ujamaa na Kujitegemea, uhujumu uchumi, kukimbiza mwenge wa uhuru, vijiji vya ujamaa n.k ambavyo sote tumeona faida zake.
Nicholas said:
Udini aliupinga sana na kam si akili waislam wangekuwa wamefanikiwa mtega na kuanzisha uasi.Ila mara zote alifanya kazi na waislam wenye nia njema.Hata hivyo pia alihitaji mara zote wabana wafuate maadili ya chama,Nyerere alichofanikiwa ni kuweza ingiza sheria zote za msingi ktk Katiba na Taratibu za TANU ambazo alizitumia sana wabana wanafiki,bila hivyo angehukumiwa kwa kuwapiga vita waislam
Huu ndio udini ambao tunatangaziwa kila siku kuwa Nyerere aliupiga vita?
 
Hayo ya JK na Nyerere ni ya JK na Nyerere!
Tuliloliona hapa ni kuwa Nyerere si muasisi wa TANU! suala la kuwa ameleta amani Tanganyika na baadaye Tanzania nalo limedhihiri kuwa ni uwongo.
Sasa tunatataka kujuwa ni udini upi ambao Nyerere ameuondoa Tanzania?
Labda kama neno "uasisi" lina maana nyingine tofauti na ninayoifahamu mimi! Aliwezaje kuwa RAIS wa KWANZA wa TANU bila kuwa muasisi wake? Waasisi walimwokota barabarani tu wakampa Urais?

AMANI ya Tanzania imeletwa na kudumishwa sana utawala wa Mwalimu. Mchango wa Mwalimu kwa amani ya nchi hii hauwezi kuuona kama umejigubika CHUKI dhidi ya Mwalimu. Linganisha tu na nchi nyingine hasa za Africa utaling'amua hilo.

Mwalimu alijitahidi sana kuuondoa UDINI:
-Alitaifisha shule zote za madhehebu ya DINI ili sote tupate fursa ya kusoma kwenye shule hizi;
-Alivifuta vyama vyote vya SIASA vilivyokuwa na muelekeo wa kidini;
-Alihakikisha KATIBA yetu inatamka wazi kuwa SERIKALI yetu haina DINI;
-Alifanyakazi serikalini na kwenye TANU/CCM na watu wa DINI zote;
-Alituhakikishia uhuru wa kuabudu DINI yoyote atakayo Mtanzania;
-etc.,
UDINI unarudi tena kwa kasi ya ajabu sana. Unamkumba hata yeye ambaye tayari yuko kaburini miaka zaidi ya 10 iliyopita!
 
Hapana shaka yoyote! yeye peke yake ndiye aliyeplan azimio la Arusha, siasa za Ujamaa na Kujitegemea, uhujumu uchumi, kukimbiza mwenge wa uhuru, vijiji vya ujamaa n.k ambavyo sote tumeona faida zake.
Sioni sababu ya kukuambia mafanikio au mapungufu ya haya yote.Ila kukumbusha ni kwamba Mwl alishasema Ujamaa umeshindwa,sasa umenshendwa vipi ni kitu kiingine.Sasa ni akina JK na wengine wasme nchi ipo wapi sasa na inakwenda wapi.

Huu ndio udini ambao tunatangaziwa kila siku kuwa Nyerere aliupiga vita?
Kwa vile huwezi soma na kuelewa vitu vilivyo juu ya obvious ni ngumu kuelewa kwanini kwanini, akina tatu mohamed waliadabishwa na mwl.Hawa walikuwa wakipokea maelekezo toka kwa viongozi wao wa kiroho km akina ponda,ili kuingilia serikali na Chama.Hizi kelele hukuanza wewe,wameanza wenzako kabla ya uhuru.Bila "common understanding hakuna amani wala uhuru" kwa vile hampiganii kufikia lengo moja,pia muda wa kufanya mapambano unapotezwa kwa kuingiliwa na vitu visivyo vya msingi.Ni kama ilivyo kwa CDM na Zitto.Zitto hana tofauti akina Bibi Titi walikuwa illusioned na dini zao na tabia za makabila yao na ku jeopardize harakati nzima za ukombozi.Na kwa vile hawajui wakifanyacho bado hurudi na kudai kuwa walipigania uhuru na wanahitaji kuoata rewards tena extra reward.Inahitaji extraordinary person with extraordinary mind and skills kuweza beba matatizo ya hwa salvage huku akifanya juhudi zitakazoleta matokeo makubwa kuliko uharibifu wa hawa jamaa ambao naweza waita salavages.

Hizi tabia zilikuwa kikwazo sana kufikia uhuru.Hii ndio tofauti ya nchi kama Ghana na nchi nyingine za Kiafrica.Limiting udini si lazima uwe mdini.Ni watu wasio waadilifu tuu ndio huzuia udini kwa udini.Nyerere was a brilliant leader na alifany akazi na watu walioshindwa vuka mikapa ya kidini, kielimu, kikabila na hata kwa rangi.alimanage jiweka sehemu stahiki na kufanya kazi stahiki na kuleta uhuru kabla hawa watu hawajaleta madhara na kuharibu move.

Ni wewe tuu uthibitishe hayo.Ila bado nasimama palepale kuwa mwl alikuwa very smart ku deal na waislam.Ikiwa Leo hata sheikh simba na waislam wengine hawajaweza kaa chungu kimoja na kuelewana ili mambo ya msingi yaende mbele,iweje mwl asipongezwe kwa hilo.Kila mwaka tunaona jinsi gani Sikuku za Idd na Maulid zinavyoambatana na fujo kama haikutokea zikalengana.
 
Mwalimu alijitahidi sana kuuondoa UDINI:
-Alitaifisha shule zote za madhehebu ya DINI ili sote tupate fursa ya kusoma kwenye shule hizi
Kiini macho! baadaye shule za Makanisa zilirudi mikononi mwao!
Wildcard said:
-Alivifuta vyama vyote vya SIASA vilivyokuwa na muelekeo wa kidini
vyama gani vilivyokuwa havina muelekeo wa kidini alivyoviacha?
Wildcard said:
-Alihakikisha KATIBA yetu inatamka wazi kuwa SERIKALI yetu haina DINI
Matatizo ya udini yaliyopo nchini ni ya Kikatiba?
Wildcard said:
-Alifanyakazi serikalini na kwenye TANU/CCM na watu wa DINI zote
Hata Pengo pia alishirikiana na BAKWATA kuhakikisha kuwa uchaguzi wao unafanikiwa katika miaka ya tisini.
Wildcard said:
Alituhakikishia uhuru wa kuabudu DINI yoyote atakayo Mtanzania
Ndipo alipoivunja EAMWS na kuwawekea Waislamu Bakwata!
Wildcard said:
UDINI unarudi tena kwa kasi ya ajabu sana. Unamkumba hata yeye ambaye tayari yuko kaburini miaka zaidi ya 10 iliyopita!
Haurudi! isipokuwa ni matunda ya Udini ulioasisiwa na Nyerere pale alipoliambia Kanisa Katoliki kuwa atalipa better chance!
 
Kiini macho! baadaye shule za Makanisa zilirudi mikononi mwao!vyama gani vilivyokuwa havina muelekeo wa kidini alivyoviacha?Matatizo ya udini yaliyopo nchini ni ya Kikatiba?Hata Pengo pia alishirikiana na BAKWATA kuhakikisha kuwa uchaguzi wao unafanikiwa katika miaka ya tisini.Ndipo alipoivunja EAMWS na kuwawekea Waislamu Bakwata!Haurudi! isipokuwa ni matunda ya Udini ulioasisiwa na Nyerere pale alipoliambia Kanisa Katoliki kuwa atalipa better chance!
Unabisha tu ili kunogesha mjadala! Nami sitachoka kukusaidia kuelewa:
-Zilirudi ngapi? Zilirudi wakati wa Mwalimu? Shule zimerudishwa na watawala wa baada ya Mwalimu.
-Aliiacha TANU na ANC ya Zuberi Mtemvu.
-Bila ya KATIBA kulitamka hili bayana ipo siku tungetawaliwa kidini.
-Hilo la Pengo nakuachia wewe. Wengine wanasema ni Mrema aliyefanikisha.
-Kulikuwa na UDINI wa nguvu EAMWS. BAKWATA ni ya WAISLAAM. INaongozwa na Waislaam.
-Rais wa sasa wa JMT sio Mkatoliki. Ni Muislaam safi kuliko wewe Sideeq!
Hivi una habari kwamba Mwalimu alipostaafu Urais alimwachia Mwislamu mwingine safi kabisa awe Rais wetu? Kwa nini hakumwachia Mkatoliki?
 
Inawewezekana ni kwa ajili ya kuwasaidia maskini. Nasikia Mwl alikuwa na utaratibu wa kuwasaidia maskini. Any way, kimfaacho mtu chake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom