Magamba wamemtelekeza mjane wa mwasisi wao wewe unategemea itakuwaje, watoto wote waliwatema kwenye system mpaka juzi makongoro kaponea mikononi mwa wapinzani akapata africa mashariki,sasa unategemea mama nyerere afanyeje?
Auze vitumbua, banaogopa kukamwatwa na mgambo wa jiji, kila mtu anafaidi na kile anachoweza kutumia.
Kama huamini fatilia familia za wastaaf waliowahi kuwa na mchango wa kizalendo kwenye nchi hii uone walivyotelekezwa,na kwasababu makaburi ya waume zao hayatembelewi,hawana mbadala wa kupata pesa.
Safi sana familia ya Mwl. Aibu ni kwa serikali ya magamba.