- Thread starter
- #101
Miaka 37Una umri gani naweza kukupa Ramani upambanie
Miaka 37Una umri gani naweza kukupa Ramani upambanie
Mkuu mimi pia nahitaji ramani, ni mchakarikaji . Sijaomba ili kuziba rizki ya mwenzangu ila nimeomba incase wahitaji wakiwa wengi.Una umri gani naweza kukupa Ramani upambanie
Mkubwa sanaMiaka 37
Asante kwa ushauri,nachukua mawazo then nayafanyia kazi, ni kweli kuna Mikoa kama Mbeya na Morogoro,kutokana na Mazao ya Kilimo kuzalishwa kwa kwingi huko,upatikanaji wa chakula pia mzuri,lkn inatakiwa niwe na plan kama naenda huko nijue naenda fanya nini haswa!Ondoka dodoma boss ,maisha ya Dom ni magumu kuliko mkoa mwingine wowote ,mwombe mama watoto aende kwao kwa muda
Mkubwa sana
Acha kumjibu huyu jamaa unapoteza nguvu zako bure. Aliyeshiba hamjui mwenye njaaUmlete tu huyu Madame,naweza hata umconnect na wife akaongea naye kama wadhani mie ni tapeli,tena uzuri naishi karibu kabisa na kituo Kikuu cha Police Dom,kama anaijua shule ya Msingi amani au kanisa la Roma tuko maeneo hayo,na Asubuhi retired OCD alikuwa hapa kituoni kanipigia ameona hii post yangu na nimemuelekeza nilipo kasema anapajua vzuri kabisa,mlete huyo MadaeB kama wadhani mie ni Tapeli kaka!
Bahati mbaya wote washatangulia mbele ya hakiNilitazamia kusema kuwa peleka familia yako kwa mama ako kwa wazaz wako Kama wako kwa muda tu ili wee Kama wew upambane kisawasawa
Pole San kwa hayo unayoyapotia
Nilitazamia kusema kuwa peleka familia yako kwa mama ako kwa wazaz wako Kama wako kwa muda tu ili wee Kama wew upambane kisawasawa
Pole San kwa hayo unayoyapotia
Nashukuru ndugu!Acha kumjibu huyu jamaa unapoyeza nguvu zako bure. Aliyeshiba hamjui mwenye njaa
Wakala labda atoe akaunti Ila sio Ile namba ya wakala .akikubalia nitume hela kwa akaunti yake sawa.Asante ndugu kwa wazo hilo zuri,nitaenda kweli Mpunguzi,nina wadau niliwahi jaribu fanya nao biashara ya nyanya wapo kule,Jirani hapa ana account ya ya CRDB ila yupo kazini kwa sasa,na je mfano nikikupa namba ya wakala wa CRDB inafaa au?alafu kama unapeleka nchi jirani,jaribu pia kucheki na Rwanda,niliwahi kukaa kule wananunua sana matunda,mchele,karanga na bidhaa nyingi toka huku,japo issue ya Corona imeingilia kati,kesho asubuhi naomba niamkie Mpunguzi!
Sawa nitakujuza,samahani kama kuna uwezekano uka ni PM namba yako,tutawasiliana zaid hasa kuhusu hyo biashara!Wakala labda atoe akaunti Ila sio Ile namba ya wakala .akikubalia nitume hela kwa akaunti yake sawa.
Mana kwa nji ya kawaida iyk Kuna makato pia.
Mie hata sh kumi yangu huwa naithamini Sana.ikija kwako Bora utaitumia wewe.
Mwambie kuwa nitamtumia na buku lake Ila kwa njia ya kawaida ya namba ya wakala makato sio ya kitoto mkuu
Tuma nmba yako nikuwezeshe
Tuma nmba yako nikuwezeshe
0767 960 255 au 0629 531 358 yoyote sawa tu, Jina Samwel!Tuma nmba yako nikuwezeshe
asante nduguPole sana bro
mgeni wa wanawake wewe, subiri kabla ya dunia kukufunza watakufunza wanawake........Ataleta mabwana vipi wakati tayari alishapigwa mimba na kashazaa
Mara nyingi wasio na uwezo wa kusidia huwa na mdomo sana, kuna wakati mwingine msaidie mtu kwa kile unachoweza kama uwezo bora kukaa kimya, kumuta mtu tapeli bila kuwa na evidence ni kuchuma dhambi bure.Yametupata mengi hapa JF. Bado utetezi wako haujafua dafu. Huwezi kulala njaa na asubuhi ukawa unaendesha baiskeli kijana! Niendelee?
Wanifunze mara ngapi wakati mie sasa nikuwapelekea moto na kuwatupa kule huku nikisaka mbususu mupya. Siwezi weka mwanamke ndani mie....nikukaribisha stress tuu. Wee namgegede mara tatu yatosha uzuri wake utakuwa ulishafifia machoni mwangumgeni wa wanawake wewe, subiri kabla ya dunia kukufunza watakufunza wanawake........
Wait a minute, nadhani nilijaribu kumsaidia kwa kumtafutia kazi maana nilijua mtu anayehitaji mtaalam kama yeye anavyodai. Unajua what happened? Tusiwe watu wa kukurupuka na kutetea kama huyo aliyeniita mjingaMara nyingi wasio na uwezo wa kusidia huwa na mdomo sana, kuna wakati mwingine msaidie mtu kwa kile unachoweza kama uwezo bora kukaa kimya, kumuta mtu tapeli bila kuwa na evidence ni kuchuma dhambi bure.
Kama Umemsaidia kaa kimya kumsimanga sio busaraWait a minute, nadhani nilijaribu kumsaidia kwa kumtafutia kazi maana nilijua mtu anayehitaji mtaalam kama yeye anavyodai. Unajua what happened? Tusiwe watu wa kukurupuka na kutetea kama huyo aliyeniita mjinga