Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aah ndugu yangu bado napumulia machine,hapa nimekaliwa kooni issue ya kodi yani acha tu ndugu!Sasa mkuu na sie wenye account za Crdb hatuwezeshani maana account zipo 0.00 , mpaka ya kufungulia ten haimo😅tuwezeshane
Wewe lazima ni mimba yako ilipatikana kwenye pagaleHapa JF ni mengi yametupata. Unampeleka mtu kwa mnaoheshimiana unakuta ni mbabaishaji au ni tapeli. Kabla ya kukubali kirahisi ukatapeliwa ni bora kujiridhisha. Unajua ukimuudhi mtu ndipo unamjua. Mfano akina kibatala wakiwa mahakamani utasiki, wewe si ni kikojozi, unahamaki - hapo ndipo ukweli unautoa. Tunafaa kuwa waangalifu maana unaambiwa kosa si kosa ila kurudia kosa. Nadhani angalau wenye akili za kiutu uzima wamenipata.
we nae ka fala, umemtuhumu kua ni tapeli, na kakujibu ili kuweka record sawa, then now you are telling him this?!! are you fckng serious dude? ulitaka akwambie maneno mawili? nyie ndo watu wenye roho mbaya sana, mtu akiomba msaada mnahisi wote ni wezi ama matapeli. Hiyo ni roho ya kwanini, roho chafu sana, and ut always hunt you and your family usipojitahidi kuiondoa, God says upendo ndio nguzo,.ni sawa kujiuliza maswali na kujiridhisha, but you sound soooo ridicurious kwa jinsi unavomjudge mtoa mada. Jirekebishe mkuu, ni hayo tu.Mh! Maneno mengi huwa yanapotosha kijana! Endelea tu
Here another one, eeeh God help some people, watu mnaonaga mambo ni rahisi saaana yani, ukipitia thread za.nyuma za mtoa mada, utaona alishajaribu mambo mengi mpaka hiyo idea yako ya tution, hivi huwa madhani ni rahisi kupata students? tena Dodoma?Mkuu uko very lazy kufikiria out of the box. Laptop yako ndio silaha yako, anyways atleast ungejishikiza kufundisha tuitions, ukafanya freelancing e.t.c.
You're to blame for whatever your going through na before you start backlashes nmepitia worse situation than you ila i used my head more efficiently.
Eeeh kuna watu mnamatatizo sana. Hebu jaribu kupitia comment zako unazojibizana na mtoa mada then ujione ulivo mpuuzi.Acha lugha ya jeuri kama unatafuta kweli, ndo maana naona uwalakini na maneno yako. Nikitoa data utakimbia hapa
Naona umemuandalia mtoa mada position huko SGR, hivi una habari watu wengi wanataka hata nafasi ya kubeba zege tu kwenye huo mradi na nafasi zimejaa wanakosa? hivi huwa mnafikilia kwanza before mtoe ushauri au huwa mnalopoka tu? kuna kazi zamani zilionekana mtu akienda tu anapata faster but let me remind you, those days zimepita, thats why hata kupata nafasi kuuza chini vitu kaliakoo ilikua hadi connection tena unapangishwa. Bila pesa hupati. Wacha kumwambia analalamika kama binti, hujakutana na msoto wewe, utalia mbona, omba yasikukute cas sometimes Mungu hukuletea the same challenge ili aone kama utaapply ushauri wako. Be carefulNenda sgr kule Acha kulalamika hapa kama bint
wew jamaa bhn 🤣🤣🤣Hukuongea na mimi bali jamaa yangu na nasikia na kazi umepata au siyo?
Hukuongea na mimi bali jamaa yangu na nasikia na kazi umepata au siyo?
Achana na kazi ya huyu jamaa, kazi ya kumpigiapigia magoti, Nigga anapenda kupigiwa magoti piga Brock yeye na jamaa yake.Sijasema nimeongea na wewe,nimesema tushaliongea limeisha!kuhusu kazi kasema ataongea nawe then atanijulisha,ila details za kazi husika yes tushaziongea!
leta mrejesho...Habarini ndugu,nashukuru sana kwa sapoti zenu,kiukweli siwez kumtaja mmoja mmoja,wengine mnanisaidia hata sijui ni nina,ila kiujumla nasema asantee,samahani sikuwa hewani huku kwetu tangu asubuhi hatukuwa na umeme,ndio umerudi sasa!
Asante kwa ushirikiano wenu wana JF hasa kipindi hiki kigumu cha January , kiukweli kuna utofauti mkubwa kati ya juzi,jana na leo!kuhusu kazi naomba tuliweke pending kdogo hadi jmosi nitakuja kutoa mrejesho kamili!na kuhusu mtaji kilichopatikana kdogo kesho naanza kulangua tena maziwa,jana na leo nilikuwa nafuatilia upatikanaji wa maziwa sehem nilizokuwa nachukua awali!supplier wapo wengi lkn wengi wanaweka sana maji,mie wateja wangu niliwazoesha mazuri ya kienyeji na hayana maji kabisaa yan full cream.Nikianza kazi hii business ya maziwa atasimamia wife na supplier washakubali kuyafikisha had gengeni kwetu.leta mrejesho...
Umepata kazi au umepata huo mtaji kidogo uliokuwa unahita?
je kuna tofauti gani kati ya juzi, jana na leo
safi kijana hayo ndio mambo...Asante kwa ushirikiano wenu wana JF hasa kipindi hiki kigumu cha January , kiukweli kuna utofauti mkubwa kati ya juzi,jana na leo!kuhusu kazi naomba tuliweke pending kdogo hadi jmosi nitakuja kutoa mrejesho kamili!na kuhusu mtaji kilichopatikana kdogo kesho naanza kulangua tena maziwa,jana na leo nilikuwa nafuatilia upatikanaji wa maziwa sehem nilizokuwa nachukua awali!supplier wapo wengi lkn wengi wanaweka sana maji,mie wateja wangu niliwazoesha mazuri ya kienyeji na hayana maji kabisaa yan full cream.Nikianza kazi hii business ya maziwa atasimamia wife na supplier washakubali kuyafikisha had gengeni kwetu.
Kweli kabisaa binadamu wapo na mie nitabaki kuwa shahidi wa hili!Nina ndugu, ambao nimejaribu kuomba sapoti bila mafanikio,lkn kuna watu hata hatujuani wamenisapoti chochote,huo ndio ubinadamu/utu!naamini siku moja nami nitasimama vzuri na mie nije nisaidie wenye uhitaji!!safi kijana hayo ndio mambo...
binadamu bado wapo duniani but tupo pamoja mkuu anytime usiogope kutushirikisha mdogomdogo,
mungu akutangulie
Na boda boda si ni mpaka upate kituo/kijiwe...ukienda kichwa kichwa wanakukimbiza...usidhani fitina zipo huko maofisini tu.Swali muhimu, mimi nimejiwekea ka akiba kangu mambo ya kiharibika ninaenda nunua boda naingia road
Kasema alikuwa na ajira akapunguzwa akiwa tayari ana Mke na Mtoto.Kama huna uhakika wa milo 3 kwa siku na kibaruaau kazi ya uhakika please USIOE
Unatesa watu bure
Msikimbilie kuoa wakati wewe mwe mwenyewe maisha una unga unga .
Pole mleta mada utapata kazi
Dah!...mkuu acha kebehi, maisha yana mengi sana mkuu....kuna raia wengi sana wametafuta hizo nafasi wamezikosa.Nenda sgr kule Acha kulalamika hapa kama bint