FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,881
- 109,192
- Thread starter
- #681
Kama huwezi kutongoza hadharani ina maana ni haramu kutongozana. KwaninI kitu cha halali kiwe siri?Hapo wajihami. Watu hawatongozi hadharani Bali huchumbia huchumbia na kuvisha Pete hadharani. Mengine yote siri! Mpaka tuone tena.nundu kubwa na baadaye MTU anachomoka ndiyo twajua kumbe!!!!! Sasa labda mwendawazimu atongoze hapa!au jaribu kutongoza wewe uoneshe mfano wengine waige. Kuna mambo ya faragha na hadharani. Kutongoza so hadharani!