KOKUTONA
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 8,651
- 6,110
Tatizo la wabongo hawapendi kusifia vya nyumbani, tayarisheni yenu tuone!
Vikiwa vizuri vinasifiwa tu wala haiitaji nguvu.
Tatizo la wabongo hawapendi kusifia vya nyumbani, tayarisheni yenu tuone!
mara ya kwanza walivyokuwa wakiadvertise i thought mwaka huu ungekuwa wa kirevolution zaidi kumbe.....pole zao zantel
utasifia uozo?
uliona walivyojitahidi kumburuza yule muhindi mpaka wakashindwa kumbeba?
Nsami Nkwabi anaimba na msanii Barnabas wimbo wake wa "Wrong Number" Wote kwa pamoja hawajaimba vizuri sana japokuwa Barnabas ni wimbo wake.
hii show haina viwango vya 5 years in the game....its like imeanza leo
sure! Maandalizi ni mabovu sana aisee! Miaka 5 they could do better than that!hii show haina viwango vya 5 years in the game....its like imeanza leo
hii show haina viwango vya 5 years in the game....its like imeanza leo
Mike imemwangusha huyu mdada wa Zanzibar! Ila ni mkali...
Nsami Nkwabi anaimba na msanii Barnabas wimbo wake wa "Wrong Number" Wote kwa pamoja hawajaimba vizuri sana japokuwa Barnabas ni wimbo wake.
Tatizo la wabongo hawapendi kusifia vya nyumbani, tayarisheni yenu tuone!
Tatizo lipo kwenye aina ya walimu wanaokuwa nao kambini. Sijui kama wana voice coach? Watalaam wa muziki? n.k. Wanapokuwa kambini uwa wanafanya nini sijui?
Kwa nini hawajifunzi kwa Tusker Project Fame? Jamaa uwa wanachukua watalaamu wa muziki na sauti toka vyuo vikuu kuwafundisha washiriki.