Gis expert
Member
- Jan 11, 2014
- 28
- 6
Habarini wana JF,
Napenda kumshukuru mungu kwa kunipatia uzima mpaka wakati huu ambao nimeamua kukaa na kuandika machache yanayohusu suala la faida za upimaji na usajiri wa ardhi au viwanja kwa ajili ya matumizi mbalimbali yakiwemo kama yale ya ufugaji, kilimo, makazi na biashara.
Kwa ujumla upimaji huu unafanyika kwa ajili ya kuhakikisha haki ya mmiliki wa ardhi husika inatambulika kisheria kwa kuangalia mipaka inayozunguka ardhi hiyo au kiwanja chake.
Leo nitasema machache juu ya faida za upimaji na usajiri wa ardhi. upimaji wa ardhi huwa unalenga mambo haya muhimu kwanza ni utambuzi kisheria kwa mmiliki husika wa ardhi hiyo, kuongeza thamani ya ardhi, kuongeza usalama katika kumiliki ardhi hiyo, pia kwa kiwanja ambacho kimepimwa mmiliki wake anaweza kutumia hatimiliki ya kiwanja katika uombaji wa mkopo benki au katika taasisi yeyote ya fedha hapa nchini.
Hivyo napenda kusema kwamba tupime ardhi tulizonazo kwa usalama na maendeleo yetu. kwa atakaye hitaji huduma hii ya upimaji basi naomba afanye consultation kwa kuniPM.
Napenda kumshukuru mungu kwa kunipatia uzima mpaka wakati huu ambao nimeamua kukaa na kuandika machache yanayohusu suala la faida za upimaji na usajiri wa ardhi au viwanja kwa ajili ya matumizi mbalimbali yakiwemo kama yale ya ufugaji, kilimo, makazi na biashara.
Kwa ujumla upimaji huu unafanyika kwa ajili ya kuhakikisha haki ya mmiliki wa ardhi husika inatambulika kisheria kwa kuangalia mipaka inayozunguka ardhi hiyo au kiwanja chake.
Leo nitasema machache juu ya faida za upimaji na usajiri wa ardhi. upimaji wa ardhi huwa unalenga mambo haya muhimu kwanza ni utambuzi kisheria kwa mmiliki husika wa ardhi hiyo, kuongeza thamani ya ardhi, kuongeza usalama katika kumiliki ardhi hiyo, pia kwa kiwanja ambacho kimepimwa mmiliki wake anaweza kutumia hatimiliki ya kiwanja katika uombaji wa mkopo benki au katika taasisi yeyote ya fedha hapa nchini.
Hivyo napenda kusema kwamba tupime ardhi tulizonazo kwa usalama na maendeleo yetu. kwa atakaye hitaji huduma hii ya upimaji basi naomba afanye consultation kwa kuniPM.