xfactor
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,511
- 1,287
hapo nimeanisha gharama za kupima plot moja tu ambayo ipo katika standard za mgawanyiko wa aina ya viwanja lakini kwa ukubwa za hapo basi pia huwa kuna gharama zake tofauti na hizo kutegemeana utasmini wa gharama. kuhusu kupima mashamba ni lazima uhakikishe unapata kibali au uthibitisho kutoka kwenye serikali ya kijiji husika na kuhusu upatikanaji wa hati huwa hakuna muda maalumu uliowekwa isipokuwa inategemeana na ukubwa wa kazi na foleni za watu wanaofuatilia hati wizarani. nafikri nimekujibu maswali yako?
Awali ya yote naomba nifute kauli yangu ya hapo juu japo wewe ndio uliye sababisha.Tuyaache hayo,Nafikiri nitakuwa mteja wako hivi karibuni maana nimekuwa nazitafuta hizi details muda mrefu
Awali ya yote naomba kujua hili,Kwa wastani ekari moja inaweza kutoa viwanja vingapi vya Sqrm 1000?