Faida za kulala uchi wa mnyama

Faida za kulala uchi wa mnyama

Unahisi pajama au bukta zinazuia jini mahaba !?
Ukitaka jini mahaba asikusumbue usiku weww chukua kitunguu swuamu kisha weka tu ndani mwako iwe chumbani au sebuleni yaan hagusi.

Au chukua fimbo yoyote ile iweke ndani mwako jini mahaba hagusi.

Kuhusu kitendo cha kulala uchi afu mkasemea kuna jini mahaba linakuingilia sikubalianai nayo nadhani ni mila tu hizi.

Jini mahaba hata uvae nguo linafanya kazi tu na linaweza likakuambia uvue na ukavua vivyo hivyo na wachawi wakiingia kwako hata kama umevaa nguo wao wanakuvua tu au wanaweza wakakuambia uvue mwenyewe na ukavua bila kujua.
 
Ni vizuri kulala bila nguo ila labda uwe sehemu za joto mara nyingi hupata nemonia na magonjwa ya baridi sichagui kulala bila vyupi mi nalalaga na simple night dress ili kimuhamasisha muzee
 
Ni vizuri kulala bila nguo ila labda uwe sehemu za joto mara nyingi hupata nemonia na magonjwa ya baridi sichagui kulala bila vyupi mi nalalaga na simple night dress ili kimuhamasisha muzee
Jaribu siku moja ili umpe mrejesho mleta mada
 
Sijaisoma yote lakin hakuna kitu siwez kama kulala na soksi miguuni.Dah hii kitu sijui hata niifananishe na nini?
 
Nilikuwa nalala naked lakini kuna mtoto wa pharao mmoja akaniambia unawaita wachawi kulala bila nguo tangu siku hiyo nikaacha mpaka leo
 
Mkuu samahani ina maana huyu muombeaje alikuambia sababu ya chemistry kuharibika ni kulala uchi?
Sababu ni jinn mahaba! Jinsi anavyokuingia ni vidoleni ukiwa umelala utupu usiku bila dua wala chochote cha kukulinda
 
Nawewe huwezi, lala upate faida kinana
Nwaeza kulala na boksa Ila sio uchi bila sababu, ikitokea Basi ujue nimepiga shoo ya nguvu na wife kiasi kwamba baada ya hapo sijali kabisa kuhusu nguo..!
 
Back
Top Bottom