Usinifokee
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,503
- 3,514
Kwahiyo na wewe mkuu alikugaragazaEeh mkuu, ina cost japo ukiwa hujui unaweza ona sawa tu. Mi yalishanifika! Nikaita mtumishi akatoka mbio siku ya kwanza tu ya maombi hakurudi tena.Kulikuwa na mdudu ameweka makazi mjengoni kabisa na alikuwa akimuingia beibe beibe wangu.


Mie hawez nigaragaza, mi ndio nilimgaragaza 🤣🤣🤣Kwahiyo na wewe mkuu alikugaragaza![]()
Mi sijaoa na sina demu lakini huwa nalala uchiNwaeza kulala na boksa Ila sio uchi bila sababu, ikitokea Basi ujue nimepiga shoo ya nguvu na wife kiasi kwamba baada ya hapo sijali kabisa kuhusu nguo..!
Uliweka wap sasa kwa popo bw?Mie hawez nigaragaza, mi ndio nilimgaragaza![]()
Ngoja na leo lala hivyo utatwambia...Mi sijaoa na sina demu lakini huwa nalala uchi



Hizo popobawa ni ngano tu mkuu, hamna kitu kama hichoUliweka wap sasa kwa popo bw?
Ni ngano kiaje?Hizo popobawa ni ngano tu mkuu, hamna kitu kama hicho
Hahahah sidhaniNi ngano kiaje?
Si mtu anajikuta kalowana kwny naniliii
Lete majibu sasaNiliposoma uzi wako ikabidi ...kini yangu tupa kule.. kuuelekea utafiti usiku huu
Ila kuna kipindi nikilala uchi huwa napata ndoto nyevu.Ngoja na leo lala hivyo utatwambia...
Maana keshakuotea na kusoma location ulivyosema kabsa![]()
Ona sasa na ww umekuja na mpyaIla kuna kipindi nikilala uchi huwa napata ndoto nyevu.


Kwa sasa nina 25 lakini ndoto hizo hinipata mara kwa mara mkuu.Ona sasa na ww umekuja na mpya
Hv ni umri gan mwanaume anakoma kujipga vibao usku?
Nauliza mfano wenye miaka kama 40 hivi huwa wanapatwa na hizo ndoto au teenagers na twenties ndo wanachafua viboxersKwa sasa nina 25 lakini ndoto hizo hinipata mara kwa mara mkuu.
Usilale na jinzi utachubuka