Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 10,493
- 17,534
😁😁Wanaume msifate huu ushauri. Lala na nguo Ila iwe loose sana. Mwanaume ni mkuu wa ulinzi, ukisikia kishindo ni chap na silaha mkononi.
😁😁Wanaume msifate huu ushauri. Lala na nguo Ila iwe loose sana. Mwanaume ni mkuu wa ulinzi, ukisikia kishindo ni chap na silaha mkononi.
usisahau kuleta mrejeshoNitaumalizia jion...
Dah nakumbuka popobawa enzi zile tulikuwa washikaji hatulali tupo geto tunajisomea usiku kucha tunalala kwa zamu yani ilikuwa amsha amsha sasa kuna siku tumelala tukasikia mjomba mmoja amedibuliwa na popobawa atujakaa hata siku mbili jamaa mwingine nae kaliwa basi ikawa wazee wa kazi no kulala huku mikono umeziba msambwandaWapi popo bawa![]()





Umeziba niniDah nakumbuka popobawa enzi zile tulikuwa washikaji hatulali tupo geto tunajisomea usiku kucha tunalala kwa zamu yani ilikuwa amsha amsha sasa kuna siku tumelala tukasikia mjomba mmoja amedibuliwa na popobawa atujakaa hata siku mbili jamaa mwingine nae kaliwa basi ikawa wazee wa kazi no kulala huku mikono umeziba msambwanda
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app




Kwanza hizi hazitaki joto au ngoja niitoboe boksa yangu kwa chini iwe inaingiza hewa au vpWeee lala tu uchi pumbu zako ziwe imarawasikutishe





Thubutu...hapohapo utakapotoboaKwanza hizi hazitaki joto au ngoja niitoboe boksa yangu kwa chini iwe inaingiza hewa au vp
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Mkuu noma sana popobawa alikuwa pasua kichwa sana sijui aliendaga wapiUmeziba nini![]()
Eeh mkuu, ina cost japo ukiwa hujui unaweza ona sawa tu. Mi yalishanifika! Nikaita mtumishi akatoka mbio siku ya kwanza tu ya maombi hakurudi tena.Kulikuwa na mdudu ameweka makazi mjengoni kabisa na alikuwa akimuingia beibe beibe wangu.





kwa iyo mzimu alimkula bebi wako pole sana mkuu

Subiria hapo hapo mkuu usiondokeusisahau kuleta mrejesho
Hata yeye sema alitumia tiba likasepaaakwa iyo mzimu alimkula bebi wako pole sana mkuu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wewe tangu uanze kulala uchi kuna siku umeamka mlango wa nyuma unauma?
Kama sio amini basi hizo mambo hamna n ni mastori ya town







nimecheka sana eti mlango wa nyuma unauma, mkuu hapana mlango wangu wala aunaga maumivu buana wee ngoja niendelee kulala uchi ya nn kuanza kuvuana chupi wakat wa gegedo

Sio kumla tu, anavuruga chemistry mnakuwa hamuelewani, kitu kidogo mnagombana kila siku hata mwanamke anakuwa kiburi sana unaeza mpiga ukamuumiza vibaya..Lenyewe halitaki mshirikiane.kwa iyo mzimu alimkula bebi wako pole sana mkuu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Vipi ikitokea kibaka kaeaingilia then mkatolewa wote na watoto unadhan watasubir uvae nguoWaache wenzio walale uchi, kwani kuvaa kaptula inachukua dakika ngapi?
Na hayo matukio yanatokea mara ngapi kwa mwaka?
Miaka 5 hujawahi sikia fyoko za mwizi bado ukajilaze na nguo
Mende akiingia huko kwenye quuma
Nyie ndio mnapigwa pumbu na wachawi





Dah sasa hapa kuna kitu nimekipata mkuu, kuna watu wanasafa sana na misukosuko kwenye mausiano pasipo kufahamu tatizo ni nini kumbe itakuwa hicho ukisemacho basi kipo mkuu kweli kuna mda ndoa inakuwa na mifarakano ya hapa na pale kumbe iyo mijini ishafanya yaoSio kumla tu, anavuruga chemistry mnakuwa hamuelewani, kitu kidogo mnagombana kila siku hata mwanamke anakuwa kiburi sana unaeza mpiga ukamuumiza vibaya..Lenyewe halitaki mshirikiane.
Ndoa nyingi zinapitia huu msuko suko trust me. Mwanamke anakuwa hana hamu ya tendo ghafla kumbe ni spiritual husband.
Mkuu hii dunia ina mambo mengi sanaHata yeye sema alitumia tiba likasepaaa
Ni maoni yako au ni Biblical?
Ma story ya town eeh, unless otherwise utokee jamii za waswahili au vijijini utakuwa protected na hayo mavitu toka ukiwa mdogo!
Sie tuliozaliwa mitaa ya Salender ambao hatukufungwa hata vitambaa vyeusi mkononi sishauri mtu kuji expose namna hio usiku.
NomareeWachache sana tulioishi mitaa ya kiswahili tunaelewa hii habari. Ni hatari sana.