Kaka unaweza hisi ni mambo ya kusadikika ila ni mambo live!Dah sasa hapa kuna kitu nimekipata mkuu, kuna watu wanasafa sana na misukosuko kwenye mausiano pasipo kufahamu tatizo ni nini kumbe itakuwa hicho ukisemacho basi kipo mkuu kweli kuna mda ndoa inakuwa na mifarakano ya hapa na pale kumbe iyo mijini ishafanya yao
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Wachache sana tulioishi mitaa ya kiswahili tunaelewa hii habari. Ni hatari sana.
🤣🤣🤣my ribs mkuu unaikazia kabisaa.Mkuu upo sawa,, yaan huu uzi umenigusa mimi mzee wa naked yaani nimeusoma nimelaaa na nipo uchi wa mnyama.
Kila asibuhi nikiamka huwa najikuta ni mtu mwenye furaha na kujiamini sababu ya kulala uchi.
Wakuu anzeni kulala uchi mpate faida hizi .
Ni kweli mkuu kwenye kujiamini na unajisikia upo huru.Pia kulala bila nguo kunasaidia au kuongeza self-confidence. Uwezo mkubwa sana wa kujiamini
Msitufanye tuamini kwamba wanaojiamini ndo walewale walala uchiPia kulala bila nguo kunasaidia au kuongeza self-confidence. Uwezo mkubwa sana wa kujiamini



😅😅😅mkuu tuwasikilize kwanza .Msitufanye tuamini kwamba wanaojiamini ndo walewale walala uchi![]()
mkuu nawadere tu hapa hainingii bado.Na wewe kumbe Una support mgomo![]()
Tufundisheni na sisi wa Oyster Bay tuyajue ya huko kwenu Buza kwa Mpalage
😂😂😂😂😂Dah!!Nyie ndio mnapigwa pumbu na wachawi
Hiyo hatari sana kiongoziYani live nakwambia, mie nilianza poteza ufanisi baada ya kuanza lala uchi saingine unataka kupiga mambo hamu ipo ila mashine inanywea ukishika tako tu la mama uanze mipapaso kutafta unyevu kitu inalala ghafla.
Saingine bibie hataki kabisa yani unakuwa ugomvi mkubwa sana. Hamu inakata mood inakata unaamua kumpa mgongo pakuche usepe zako na mishe. Saingine anakubali ila anaumia tu ila still unafeel yuko wet. Ushawahi ambiwa na mkeo mdomo unanuka ikiwa unatumia sensodyne? Usiombe hio hali.
😂😂 Itabidi tu tuzisome..
We viache vipate upepo mkuunimecheka sana eti mlango wa nyuma unauma, mkuu hapana mlango wangu wala aunaga maumivu buana wee ngoja niendelee kulala uchi ya nn kuanza kuvuana chupi wakat wa gegedo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkuu samahani ina maana huyu muombeaje alikuambia sababu ya chemistry kuharibika ni kulala uchi?Ma story ya town eeh, unless otherwise utokee jamii za waswahili au vijijini utakuwa protected na hayo mavitu toka ukiwa mdogo!
Sie tuliozaliwa mitaa ya Salender ambao hatukufungwa hata vitambaa vyeusi mkononi sishauri mtu kuji expose namna hio usiku.
Vipi ikitokea kibaka kaeaingilia then mkatolewa wote na watoto unadhan watasubir uvae nguo
😂😂😂 Mkuu lala uchi mwenyewe..!Mkuu upo sawa,, yaan huu uzi umenigusa mimi mzee wa naked yaani nimeusoma nimelaaa na nipo uchi wa mnyama.
Kila asibuhi nikiamka huwa najikuta ni mtu mwenye furaha na kujiamini sababu ya kulala uchi.
Wakuu anzeni kulala uchi mpate faida hizi .
Ungekuwa nayo hiyo qyuuuma ...usingehata waza hiliMende akiingia huko kwenye quuma