Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,432
- Thread starter
- #21
Jiachie kwa raha zako, moyo unaoInaitaji moyo sn
Jiachie kwa raha zako, moyo unaoInaitaji moyo sn
Watafanya ile style yao, missionary positionMende watakuja kufanya yao ooooh![]()
Maybe niwe na mtoto mzuri pembeni ila alone ni mtiani huoJiachie kwa raha zako, moyo unao
Unakaa Mbagala? Huko wilaya ya Temeke ndio kuna popobawa, tereza etc huku kwetu Masaki hamna Mambo hayoMaybe niwe na mtoto mzuri pembeni ila alone ni mtiani huo
😃😃 Mkuu umepajuaje ninapo kaa asee mbna tunatishana?Unakaa Mbagala? Huko wilaya ya Temeke ndio kuna popobawa, tereza etc huku kwetu Masaki hamna Mambo hayo
Huko ukilala uchi yatakukuta yaliyompata @Nalimison kisandu😃😃 Mkuu umepajuaje ninapo kaa asee mbna tunatishana?
Umejuaje kama naishi mbagala mkuu?Huko ukilala uchi yatakukuta yaliyompata @Nalimison kisandu
Humu si ndio tunapata umbea wa kumpa mkuu, tunasoma IP address locationUmejuaje kama naishi mbagala mkuu?
Duuuh kumbe JF huwezi kumficha mtu location asee ,mi mgeni humu uwa napendelea zaidi kusoma threadsHumu si ndio tunapata umbea wa kumpa mkuu, tunasoma IP address location
Nakuzingua, huko Mbagala ndio story zao nyingi za popobawa, Mara mtoto kalawitiwa na Mwalimu wake wa dini, Mara watoto wamekojolea kitabu Cha dini... Basi ni raha tupuDuuuh kumbe JF huwezi kumficha mtu location asee ,mi mgeni humu uwa napendelea zaidi kusoma threads
Popo bawa ni hatari sana kwa walala uchiMkuu upo sawa,, yaan huu uzi umenigusa mimi mzee wa naked yaani nimeusoma nimelaaa na nipo uchi wa mnyama.
Kila asibuhi nikiamka huwa najikuta ni mtu mwenye furaha na kujiamini sababu ya kulala uchi.
Wakuu anzeni kulala uchi mpate faida hizi .
Hivi kinafanyagaje hicho kipopo bawaPopo bawa ni hatari sana kwa walala uchi

Hajui cha mwanaume wala mwanamke yeye ni kujipigia tu.Hivi kinafanyagaje hicho kipopo bawa![]()
AhahahahahahaHajui cha mwanaume wala mwanamke yeye ni kujipigia tu.
Natamani ningekuwa huo mto hapo 😌Niliposoma uzi wako ikabidi ...kini yangu tupa kule.. kuuelekea utafiti usiku huu
AhahahahahahaNdio mana pumbu zangu zipo fiti zinakuwa ngumu ngumu labda kwa sababu zinakuwa wazi usiku kucha kuanzia leo silali na boksa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app