Fahamu undani wa mnyama simba

Fahamu undani wa mnyama simba

mm bado nahitaji kujua elimu zaidi ya simba inakuwaje simba wa buga za selegeti anapanda kwenye miti huku wale wa poli la akiba selou awapandi juu ebu nijuze mkuu
Kwa kawaida simba hukwea miti kutokana na mazingira wanayoishi mfano simba wa manyara hukwea miti ili waweze kuona vizuri wanyama Wakuwawinda kutokana na ile hifadhi kuwa na maeneo mengi ambayo ni forest. Kwa hiyo kwa namna moja au nyingine mazingira husababisha baadhi ya simba kukwea miti
 
Ndio dume ndilo linawajibikaatakama majike yatakuwa kumi yeye ndio atakayewabebesha mimba tuu.kwanini awe yeye dume atawauwa wale watoto ambaosio wake na ndio maana baada ya miezi mitatu simba anakuja kuwatambulisha watoto aliojifungua kwa baba yao halisi sasa dume ajua kbsa kama niwake au sio nakama sio wake anawauwa.
Anawatambulishaje??
 
hivi Jaguar ndio yule anaitwa Dubu kwa kiswahili?
Jaguar kbsa hawezi kupanda ata na simba jike.kumbuka jaguar ni chui Mweusi anayepatikana south amerika.dubu ni bear wanapatika sana US Canada na Russia pia dubu wapo wahaina mbili kuna white bear na brown bear black beat wapo wachache sana na white bear ndio dubu wakubwa sana
 
Lakini mbona Tembo wana ushirikiano sana na wanatembea kwenye makundi - hivi Simba wanaweza kuwa na ujasiri wa kumshambulia Tembo kweli?
Mnapaswa kujua simba ndio paka wanaoishi kwa ushirikiana wana akili za ziada sana sana kuliko unavifikiri.wanapokwenda kumtafuna tembo wanajipanga sana na inakuwa usiku wanawatenganisha mama zao na watoto wao ndipo wanafanikiwa kumchukua mtoto.tembo night vision yao ni dhaifu sana kuliko simba anayeona zaidi ya Mara nane ya tembo usiku sasa pata picha wewe binadamu unatembea kwa msaada Wa mwanga Wa torch yeye simba hana tatizo hilo kbsa
 
Ila binafsi kutokana navyofuatilia sana NAT GEO...simba ana akili sana kuliko hata binadamu...manake binadamu anatombana tu, mwishowe anapata ukimwi anakufa ndo starehe yake...while simba ni for purposely ( kuongeza uzao)
 
Wakuu inakuwaje simba hamli fisi?maana huwa wanafatana kwenye mawindo,maana fisi wanaliwa hata na binadam,kuna kabila moja kanda ya kati inasemekana zamani fisi ilikuwa ni kitoweo kama mbuzi,sasa inakuwaje simba hali fisi?naomba kujua hii imekaaje wakuu.
 
Nashukuru mkuu kwa kunifahamisha vizuri sana na umeniongezea mnyama Puma asante, lakini nina swali,mimi nilivyokuwa najua mnyama Cheetah (duma) ndio mwenye spidi sana kuliko wote kumbe sio hivyo au sijakuelewa vizuri ??
Soma vizur huyo ndo mweny speed zaid
 
Back
Top Bottom