Fahamu undani wa mnyama simba

Fahamu undani wa mnyama simba

Asante wakuu tumejifunza mengi,swali langu ni kuwa,inakuwaje wanyama pori wengine tunakula na wengine hatuli?mfano simba,je pengine umeshafanyika utafiti kuwa aina fulani za wanyama zinafaa kuliwa na zingine hazifai au tunabahatisha tu?
Wanyama wanaokula nyama na mimea wakiwepo binadamu wengi wao wakiwemo simba hawala wanyama wanaokula nyama nadhani nature ndivyo ilivyo
 
Wajua kuwa simba wengi wanauwa na Buffalo. Je wajua kuwa pembe ya Buffalo pigo lake nikali kuliko sumu ya nyoka na simba wanajua hilo na ndio maana wanapominda buffalo wanakuwa makini sana kutopigwa pembe.je wajua kuwa simba anapowinda buffalo wanapomkamata lazima wamfunge mdomo ili asitoe mlio kwani akilia tuu wanakuja wenzake kumuokoa.pia wajua kwanini simba anatoa mlio mkubwa sana kwa sababu koromeo lake limeundwa kwa mfumo Wa duara na kuna ngozi yenye mafuta laini ndani yakoromeo inayomsaidia kutoa sauti kubwa
 
Kumbuka wanyama awafanya ngono kwa starehe kama sisi.wao mpaka wanawake wapate joto la kushika mimba na dume anapewa taarifa na jike kwa ishara zao maalumu

Mkuu
Hilo nakubaliana na wewe,
Swali langu ni kuwa; Kwenye pride moja kuna uwezekano wa majike wengi je hili dume litakutana nao wote katika muda tofauti wakiwa kwenye joto?
 
Mkuu
Hilo nakubaliana na wewe,
Swali langu ni kuwa; Kwenye pride moja kuna uwezekano wa majike wengi je hili dume litakutana nao wote katika muda tofauti wakiwa kwenye joto?
Ndio dume ndilo linawajibikaatakama majike yatakuwa kumi yeye ndio atakayewabebesha mimba tuu.kwanini awe yeye dume atawauwa wale watoto ambaosio wake na ndio maana baada ya miezi mitatu simba anakuja kuwatambulisha watoto aliojifungua kwa baba yao halisi sasa dume ajua kbsa kama niwake au sio nakama sio wake anawauwa.
 
Back
Top Bottom