Fahamu undani wa mnyama simba

Fahamu undani wa mnyama simba

Daaah!! Umenikumbusha mbali sana. Kutembelea hifadhi ya tarangire na manyara inahitaji kuchukua tahadhari kubwa. Tulimpima kila aina ya ugonjwa,tukidhani labda huu ugonjwa Wa kisasa. Na Hosp nyingi hawakuwa wakimpima huo ugonjwa nahisi kwasababu ya mazoea ya kutoku uexprience kabla.
Kweli mkuu hawa wadudu ni wadogo lakini ni balaa. Kuna guide mmoja juzi kati alikuwa na wageni Tarangire kwa bahati mbaya walipoingia hifadhini hawakufunga vioo aisee wale wageni waliumwa hadi wakawa wekundu ka nyanya
 
Mushi umenena vema ila ngoja nikusahihishe kidogo.kwanini simba dume hawapendi kuwinda kwakua kazi yao kubwa nikulinda mipaka ya familia yao kumbuka simba huwa awaingiliana katika kaya zoa zozote zile.simba dume huwa awakai na watoto wao kuwalea au wazazi wao majike yanapokwenda kuwinda wao majike wanapokwenda kuwinda kama mbali na familia zao wanabaki baadhi ya majike ili kulinda watoto wao.pia sio kweli kbsa kuwa kusema Tiger wanapatikana Asia tuu.Tiger wakubwa kushinda wote wanapatikana Russia sehemu inayoitwa Siberia.pia simba majike watoto wao kwanini wanakuwa na nguvu kwasababu kama yapo majike manne yanayonyonyesha watoto wanaruhusiwa kunyonya kwa simba yoyote yule
 
Simba dume wanawinda kwa tukio muhimu tuu kwa mfano wakijisikia kula buffalo dume kubwa lazima nguvu ya mwanaume iwepo.pia kwanini hawapendi kuwinda madume ni mmoja ambayo nikubwa sana wanajiepusha nakuwinda wasijekuumi na kushindwa kulinda familia zao maana ukiumia na maadui wanaotafuta kaya wakijua inakuwa sana simple kukuangamiza.pili masimba jike wapo katika umbo zuri sana lakuwinda Bila kuonekana na adui kwa ukaribu.je unajua simba usiku anaona Mara nane ya binadamu anavyoona na anaona wanyama anawaowinda mfano Wa skleton.je wajua simba jike wakiwa na watoto wadogo kuna Siku maalumu ya baba simba kutambulishwa kuwa wale watoto ndio Hawa?je unajua kuwa simba ndio paka wanaosocialize kuliko wote
 
Je wajua kuwa simba jike wakiwa wanne na fisi wakiwa wanane katika kupigana simba jike wanapigwa nakukimbia?ila wajua kuwa simba Dume mmoja kubwa lililokomaa vema na Fisi Ata 30.fisi wote wanakimbia.wajua hili kuwa ule mlio mkubwa wasimba anapolia unasikika umbali Wa maili 8
 
naipenda simba mimi mshabiki wa damu,ukimaliza tuletee na story za chura churani,eti nasikia huko dar chura wanaishi jangwani
 
Je wajua kuwa simba dume mmoja akiwa anavamia na wenzake madume mfano matatu kabla ya kukutana nakupigana wanapeana vitisho vya mngurumo na endapo yule mmoja anayevamia akatoa mkali zaidi ya wale wanaokuja watatu wale watatu wanaghairi kuja wanajua mwezao ni mkali na ananguvu kubwa kuliko wao.pia simba dume anapovamia na wenzake na mfano wawili na kuendelea simba jike wale Wa yule anayevamia wanaweza kuamua kumsaidia dume au kutomsaidia.kwanini wanamsaidia kupigana.kama kuna watoto wadogo ambao wameshakua na wanajua akishindwa dume basi watoto wao watauliwa pia wanamsaidia kama yule dume ameishi kwa upendo mkubwa na wale wanaweke na kwanini simba majike yanpoamua kutomsaidia mwanaume pindi wanapovamia kwasababu dume limezeeka kwao kuna kuwa hakuna ulinzi wakuaminika kwa ajili ya watoto wao na mji wao pia simba jike wanapenda kupandwa na simba mwenye uwezo bora na nguvu ili kutoa watoto bora.pia je mnajua kuwa kila simba wanakaya zao ambazo daima zinatengenishwa na kwa kuweka alama ya mikojo ya simba dume ambao ndio walinzi wakuu wafamilia.je wajua kuwa ikitokea kwa simba majike yakavuka mpaka Wa kwenda kuwinda na watoto zao na wakakumbana na masimba jike wakaya nyingine ambao ndio eneo lao wale waliovamia atakama wako wengi wanakimbiasana na ikitokea walikwenda na watoto wao wanawaacha nyuma na wale waliowafumania kama wale watoto wakiwa wadogo sana hawahui na watawaacha mpaka mama yao atakapowaita kwa mlio maalumu.
 
Hivi hawa wanyama tofauti zao ni nini Jaguar,chittah,leopard na Tiger ?? (itakuwa vizuri kama mtatuambatanishia na picha)
Awa wote ni jamii yapaka na wanatofautiana kwa mazingira yao
Tiger ndio paka wakubwa kuliko wote asa Wa siberian Tiger.wao wanamadoa makubwa makubwa sana kuliko Wa chui na cheeter.ndio wananguvu kubwa za mwili mzima kuliko paka wote.pia anauwezo mkubwa sana wakuogelea tofauti na paka wengine angalau jaguar nae anauwezo sio mkubwa kama Wa Tiger wakuogelea.Tiger wanawinda kwa ambush kali sana kama radi linavyopiga wanalingana na chui katika uindaji Wa ambush.Tiger ni mnyama anayeishi pekee kama chui juguar puma

Chui.aina yapaka yeye anamadoa doa madogo kama yacheeter ila wanatofautiana na cheeter kwa kuwa chui sio mrefu na mwembamba kama Cheeter na hiyo ndio tofauti yao kubwa sana.piachui anaishi mwenye ila kama anamtoto atamlea Bila ya baba tofauti na simba wao wanalea watoto wao kwa ukoo.chui ndio mnyama anayewinda kwa utulivu mkubwa kuliko wote mfano anaweza akawa anawinda mahali simba walipolala na akafanikiwa windo lake Bila ya kelele yoyote na simba wakajajua kama chui amaefanya yake baadaya ya windo kupandishwa juu ya mti na ile harufu ya damu ndio uwafanya simba kujua.chui ndio mnyama paka mwenye kubwa sana nguvu za miguu ya mbele kuliko wote kwani anauwezo wakupandisha Mara mbili juu ya mti uzito Wa windo lake.pia chui uwinda kama solo hunter kama tiger puma
Cheeter naongezea nilishamgusia juu.ndio paka mwenye speed kuliko paka wote na wanyama wote Wa nchi kavu cheteer ndie paka dhaifu kuliko wote.anapokuwa anakimbiza windo lake analikimbiza kwa muda maalumu kwani asipofanya hivyo anapata madhara yafuatayo 1.moyo kupasuka.2.calories zake kila anapofanya windo na kulikosa windo zinapongua sasa akizimaliza ndio mwisho Wa maisha yake.cheeter ndie mnyama ambaye anapofanikiwa kulipata windo anakula haraka ndani ya dakika 20 ili anapovamiwa na fisi.simba awe amekula angalau kumbuka fisi mmoja anauwezo mkubwa wakpambana na kumfukuza cheeter au chui kwenye mawindo yao.

Juguar ni chui Mweusi Wa amerika ya kusini sifa zake kama za chui wakawaida sema yeye anauwezo wakuogelea.

Puma ni simba Wa amerika ya kusini anayepatikana katika milima ya Andes sifa zake tofauti na simba Wa Afrika kwani ni solo hunter yeye.pia mdogo kiumbo kwa kuwa anapatikana kwenye baridi na anakaa milimani tuu.pia kuonekana kwake ni nadra sana sana inaweza kukuchukua muda mrefu kumuona na ndio maana wataalamu wanategesha kamare tuuu ili kujua kama yupo.
 
Je wajua kuwa simba dume mmoja akiwa anavamia na wenzake madume mfano matatu kabla ya kukutana nakupigana wanapeana vitisho vya mngurumo na endapo yule mmoja anayevamia akatoa mkali zaidi ya wale wanaokuja watatu wale watatu wanaghairi kuja wanajua mwezao ni mkali na ananguvu kubwa kuliko wao.pia simba dume anapovamia na wenzake na mfano wawili na kuendelea simba jike wale Wa yule anayevamia wanaweza kuamua kumsaidia dume au kutomsaidia.kwanini wanamsaidia kupigana.kama kuna watoto wadogo ambao wameshakua na wanajua akishindwa dume basi watoto wao watauliwa pia wanamsaidia kama yule dume ameishi kwa upendo mkubwa na wale wanaweke na kwanini simba majike yanpoamua kutomsaidia mwanaume pindi wanapovamia kwasababu dume limezeeka kwao kuna kuwa hakuna ulinzi wakuaminika kwa ajili ya watoto wao na mji wao pia simba jike wanapenda kupandwa na simba mwenye uwezo bora na nguvu ili kutoa watoto bora.pia je mnajua kuwa kila simba wanakaya zao ambazo daima zinatengenishwa na kwa kuweka alama ya mikojo ya simba dume ambao ndio walinzi wakuu wafamilia.je wajua kuwa ikitokea kwa simba majike yakavuka mpaka Wa kwenda kuwinda na watoto zao na wakakumbana na masimba jike wakaya nyingine ambao ndio eneo lao wale waliovamia atakama wako wengi wanakimbiasana na ikitokea walikwenda na watoto wao wanawaacha nyuma na wale waliowafumania kama wale watoto wakiwa wadogo sana hawahui na watawaacha mpaka mama yao atakapowaita kwa mlio maalumu.
Umekwiva mkuu hongera kwa ubuyu murua
 
Mkuu:
Je simba jike alie koma kuzaa anaishije.
Simba jike aliyekomaa kuzaa anaishi katika familia yao kumbuka madume yanakuja nakuondoka ila majike daima wanabaki na koo yao daima wao wanaishi kama mabibi.mama.shangazi.mabinamu katika kaya yao pia kukumbusha tena ikitokea mwezao mmoja anakaribia kufa wanajua kuwa mwezao haponi na wale Wa umri wake wanamsindikiza safari yake ya mwisho na wanamuacha wanaondoka zao
 
Back
Top Bottom