Steven mushi mushi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2016
- 533
- 741
- Thread starter
- #241
Hawa wanaitwa jaguar wanapatikana katika bara la AmericaView attachment 380765 Mkuu chui kama huyu anapatikana nchi gan??
Hawa wanaitwa jaguar wanapatikana katika bara la AmericaView attachment 380765 Mkuu chui kama huyu anapatikana nchi gan??
ahaa vizur sana mkuu.Hawa wanaitwa jaguar wanapatikana katika bara la America
Kundi Lao Linaitwa Simba wadadisi!!Mnapaswa kujua simba ndio paka wanaoishi kwa ushirikiana wana akili za ziada sana sana kuliko unavifikiri.wanapokwenda kumtafuna tembo wanajipanga sana na inakuwa usiku wanawatenganisha mama zao na watoto wao ndipo wanafanikiwa kumchukua mtoto.tembo night vision yao ni dhaifu sana kuliko simba anayeona zaidi ya Mara nane ya tembo usiku sasa pata picha wewe binadamu unatembea kwa msaada Wa mwanga Wa torch yeye simba hana tatizo hilo kbsa
Wakati unaonekana kabisa kua ww ni slow learnerKaka nimemwelewa sana kulingana na uwezo wangu pamoja na kutumia nguvu zangu binafsi, hofu zangu zilikuwa kwa watu kama wewe,
Lakin simba hua anaua fisi nasijui anampeleka wapNdugu wanyama wanaokula nyama daima hawali nyama ya wanaokula nyama huwezi mkuta simba anamla chui.ndege wale wanaokula mizoga ndio wanaokula wanyama wanaokula nyama tuuu.
Sio wenye kende tu mkuu hata wale wengine wanaandikaHivi mtu mzima na mapumbu yake kwenye huu Uzi wenye kuelimisha eti analeta story za ooh hao watakuwa simba wa Lumumba Mara simba diamond mbona analea watoto sio wake?! ...like seriously unatype uharo kama huu, na ndio maana mnaoandika upuuzi huu hampati hata like![]()
![]()
, coz ni vichwa box...nawasilisha
Mmh mkuu... Wenye K huwa hawakurupuki, hebu pitia comment zao ( nikiwemo na mimi)Sio wenye kende tu mkuu hata wale wengine wanaandika
Daaa we jamaa nimejikuta nacheka tuu .....kipimo cha simba kumzidi binadamu akili ni hicho ....hahahahaIla binafsi kutokana navyofuatilia sana NAT GEO...simba ana akili sana kuliko hata binadamu...manake binadamu anatombana tu, mwishowe anapata ukimwi anakufa ndo starehe yake...while simba ni for purposely ( kuongeza uzao)

Mbona binadamu tunakula nyama ila simba ,chui akikukuta anakukula(sorry) ....au kwakuwa binadamu tunapika kwanzaNdugu wanyama wanaokula nyama daima hawali nyama ya wanaokula nyama huwezi mkuta simba anamla chui.ndege wale wanaokula mizoga ndio wanaokula wanyama wanaokula nyama tuuu.
Mi nijuavyo hoa simba wapo manyara national park .....tarangire naona ni tembo,wale ndege Kwenye miti na nyumbuTarangire sio serengeti
Hata moi et .. I need 2 kno this ...tupeni tips jinsi ya kukabiliana na simba ana kwa ana..Nipe mbinu za kukabiliana na Simba Ana kwa Ana!,maana shughili zangu Ni msituni?,Ni mbio,kupanda juu ya mti au kupigana nae?...