Hamna mkuu ni Africa na Asia pekee wanapatikanaIna maana Ulaya hamna simba hata wa kusingiziwa?
Kariakoo kuna nyau au kuna SIMBA? Twende ukanionyeshe SIMBA wa Kariakoo alipoSasa mbona simba hawa wa msimbazi wako kimdebwedo sana. Hawa ni simba wa wapi?
wapo walopanda ndegeIna maana Ulaya hamna simba hata wa kusingiziwa?
Wakiwa kwenye makundi kwa kwaida hulala kwa saa 16 ila wakiwa honey moon hutumia mda mwingi kutafuta watotoMkuu mbona unatuchanganya? Unasema Simba hulala saa 16 na kuwinda kwa saa 8 halafu hapo hapo unasema akiwa honeymoon hugegeda kila baada ya dakika 7
Sasa vipi atagegeda kila baada ya dakika 7 na yeye 16 hrs huwa amelala tuu? Au kwenye honeymoon huwa halali kwa 16 hrs?
PamojaAsante kwa elimu murua mkuu
Shukrani mkuuthanks mkuu kwa somo zuri
tatizo hagegedi kwa starehe.... najiuliza hizo mara zote sasa za nini?Sasa hapo kwenye kugegeda ndio amenimaliza........yaani anagegeda kila baada ya dakika saba duuuuuh
Ni kweli mkuu hawa white lion wana undugu na hawa simba wa kawaida isipokuwa wao wanakuwa weupe kutokana na huzaliwa na gene nyingi sinazosababisha albinism na hawa white lion hawana uwezo wa kuishi porini kama hawa simba wa kawaida wao huhifadhiwa kwenye vigala vya kuhifadhia wanyama pori (zoo ) na hasa hasa wanapatikana kwenye zoo katika nchi za Africa kusini, Austria na nchini Serbia kwa hiyo ukibahatika kutembelea moja kati ya hizi nchi hao White lion utawaona. Picha ninazo ila bado sijafahamu namna ya kuziweka kwenye sehemu commentkuna simba flani ni weupe. mwili mzima wanaitwa white lion.hawa wanapatikana wapi ndugu mtoa mada
Bila shaka atakuwa simba wa dar...Diamond ni simba wa wapi.,mbona analea watoto sio wake?
Sasa umeshasema wa msimbazi, untaka jibu gani tens?, ukiona hivyo ujue hats wewe ni mdebweeeeeeSasa mbona simba hawa wa msimbazi wako kimdebwedo sana. Hawa ni simba wa wapi?