Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Nnavyojua mimi limbwata zipo zaina nyingi ila nnayoifahamu mm ni ile ambayo mwanamke anakata kipande cha nyama na kukiweka ndan ya uke 4 3days then anaitoa na kuichanganya na nyma nyinine ukiila 2 umenasaa ubanduki tena.Ila ukigundua haikupa2.
 
hii kitu hipo tena sana,nakumbuka kuna mtoto alizama kwenye dimbwi akafa,yale maji ya dimbwi yalisombwa usiku kucha eti wanaenda kutengenezea limbwata a.k.a shuntama..hii aina ya limbwata ukipewa unakua kama zuzu na upendo kwa mkeo unaongezeka mara 1000 zaidi.
 
Nnavyojua mimi limbwata zipo zaina nyingi ila nnayoifahamu mm ni ile ambayo mwanamke anakata kipande cha nyama na kukiweka ndan ya uke 4 3days then anaitoa na kuichanganya na nyma nyinine ukiila 2 umenasaa ubanduki tena.Ila ukigundua haikupa2.

Ulishawahi kujaribu?Au unaleta hadithi za kusimuliwa?
 
we wakigoma nini?mana limbwata kwa watu wakigoma huwa linadunda hata ukalichanganya na matapishi ya mjusi
 
Limbwata lipo tena sana,

Tatizo ni kwamba watu hawako tayari kufunguka,

Mie mwenyewe niliwahi kulifakamia enzi za ujana wangu (enzi zile za 1947), sema tu sasa hivi limesha expire!!!

Babu DC!!!
 
Limbwata lipo tena sana,

Tatizo ni kwamba watu hawako tayari kufunguka,

Mie mwenyewe niliwahi kulifakamia enzi za ujana wangu (enzi zile za 1947), sema tu sasa hivi limesha expire!!!

Babu DC!!!
umejuaje km limexpire?ulijuaje km ulifakamia?
 
umejuaje km limexpire?ulijuaje km ulifakamia?


Watu wameshasema kuwa hawaamini kama limbwata lipo. Unadhani nikifafanua watanielewa?

Haya mambo tuachie sie tuliomaliza chumvi yote kwenye maghala na kuvuka mito isiyo na hesabu!!

Babu DC!!
 
Watu wameshasema kuwa hawaamini kama limbwata lipo. Unadhani nikifafanua watanielewa?

Haya mambo tuachie sie tuliomaliza chumvi yote kwenye maghala na kuvuka mito isiyo na hesabu!!

Babu DC!!
hmm isije nawe uliadisiwa tu...haya DC
 
Unaona sasa Vaislay?

Kumbe hata wewe huwezi kuniamini. Ila kweli ndo huo kwamba mwenzenu nilishakula kitambo!!

Babu DC!!
kwahiyo ulishachizika sana sahizi umerud katika state uliyozaliwa nayo?pole sana bwana,ila naamini aliekulisha alikupenda zaidi
 
kwahiyo ulishachizika sana sahizi umerud katika state uliyozaliwa nayo?pole sana bwana,ila naamini aliekulisha alikupenda zaidi


Sasa mbona unapita mlango wa nyuma kusaka details ambazo nimeshaamua kutozitoa?

Wewe fahamu tu kwamba mwenzenu nilishakula. Haitoshi?

Babu DC!!
 
Sasa mbona unapita mlango wa nyuma kusaka details ambazo nimeshaamua kutozitoa?

Wewe fahamu tu kwamba mwenzenu nilishakula. Haitoshi?

Babu DC!!
hadithia kidogo tupate mwangaza...umefumba na kuziba sana mbona:rolleyez:
 
Babu DC bwana
Dark City yaani kama nakuona, ukiosha vyombo kwenye karo na mtoto mgongoni! LOL
 
Last edited by a moderator:
hadithia kidogo tupate mwangaza...umefumba na kuziba sana mbona:rolleyez:

Vaislay,

Limbwata ni uchawi/ushirikina kama ulivyo ulozi mwingine. Kama huamini, hata ungesimuliwa usiku kucha hutaelewa!!

Babu DC!!!
 
Babu mie mtu mzima mwenzio hahaha nimekuelewa. Hongera zake Bibi yule lol


Ahsante kwa kunielewa dada yangu,

Haya maisha tunayajua wenyewe. Hawa vijana wa dotcom tuwaache na maisha yao, ambayo pia hatuwezi kuyaelewa!!

Babu DC!!
 
Ukionyesha mapenzi kwa mkeo, wasiopenda ndo huanza uzushi eti umepewa limbwata.

Mimi wakati nimeoa nilikuwa napenda kuangali kipindi cha mapishi cha ITV kila jumamosi. Ikifika Jumapili naenda sokoni nanunua vitu / mahitaji kwa ajili ya kufanya mapishi niloona kwwenye TV, siku moja dada yangu alikuja nyumbani Jumapili akamkuta wifi yake amekaa - mimi nimefunga epron niko jikoni napika! Alilia na kumuuliza wifi yake hivi "Umemlisha nini mtoto wa Mama yangu? Aliondoka na kusambaza habari hizo kwa ndugu zangu hadi kwa mama yangu! Sikuwa nimelishwa chochote ulikuwa ni mpango wangu wa kila wiki. HAKUNA LIMBWATA WALA MTOTO WAKE!
 
Back
Top Bottom