Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Limbwata personality yako tu, kuna wanawake hawajawahi sikia na hawaamini katika imani za kishirikina na madawa ya kienyeji lakini wanapendwa (tena na wanaume zaidi ya mmoja) hadi wanakereka.

Girls be yourselves and work hard, mtapendwa zaidi ya huyo anayesemekana kumpa mtu limbwata.
 
unataka kusema kwa vile namjali mke wangu , namsaisia kupika , kufua , kufagia uwanja ndo nimelishwa limbwata?
ina maana kufanya kazi za nyumbani kwangu kwa sababu tu ni mwanaume ndo umekula limbwata?
i seeee...
ndo maana wanaume wa kiafrica vitambi kama pipa la komoni(samahanini ila ukweli mchungu) hakuna kujishughulisha kabisaaa ni ofisini, bar, unywe beer zako kadhaa na manyama choma, urudi nyumbani ule miwali/ugali ulale..........
 
limbwataaaaa....ukiwaaa na mkeo au mpenzii wako,mmelalaa mkajifunikee ngubii ngubiii na shukaaa,akaishutaaaa[ku ja mbaa]unakuwaa mwanaume zobaa ukishavutaa ilee hewaaa utakuwaa unafataa kilaa anachosemaa
 
limbwataaaaa....ukiwaaa na mkeo au mpenzii wako,mmelalaa mkajifunikee ngubii ngubiii na shukaaa,akaishutaaaa[ku ja mbaa]unakuwaa mwanaume zobaa ukishavutaa ilee hewaaa utakuwaa unafataa kilaa anachosemaa
duuuu hii kali ya kujamba bora ya nyama aisee
 
tungepata mwanamanadilko kama wewe na sisi tungekuwa na vitambi
unataka kusema kwa vile namjali mke wangu , namsaisia kupika , kufua , kufagia uwanja ndo nimelishwa limbwata?
ina maana kufanya kazi za nyumbani kwangu kwa sababu tu ni mwanaume ndo umekula limbwata?
i seeee...
ndo maana wanaume wa kiafrica vitambi kama pipa la komoni(samahanini ila ukweli mchungu) hakuna kujishughulisha kabisaaa ni ofisini, bar, unywe beer zako kadhaa na manyama choma, urudi nyumbani ule miwali/ugali ulale..........
 
Mi nadhani kweli iyo kitu ipo, na kwa ushahidi zaidi angaliaa mabango ya waganga wa kienyeji, 'mganga toka Nigeria, anatibu xxx, kumwita mpenzi aliyembali, kufunga ndoa mapema, mvuto kwa mpenzi, n.k. Nina mfano halisi from a friend of mine, yeye ni mtu mzima kidogo. In short yeye ni mtu wa Bukoba (mhaya) and kwa kweli tabia ya umalaya anayo sana tu. Anatembea na marafiki wa karibu wa mumewake na kwa kweli mwanzo nilikuwa nashangaa kwa nini huyu mumewe hachukui action yeyote ile kwa mkewe coz mtaani hata watoto wadogo wanaujua uchafu wake. Alipokuja kuniambia ndo nilielewa sababu. Anadai kuna mganga ambae anakupa dawa na ukifanikiwa kutimiza masharti mumewako atakuwa na atafanya vile upendavyo. Jamani LIMBWATA LIPO NA LINAFANYA KAZI! NIMEONA KABISA MWANAUME ANAKUWA ZOBA KABISAAAA!Its impossible mume anawaogesha watoto na kuchota maji wakati mke anaoshwa miguu na wale wapaka rangi tena nyumbani hapo hapo! Anayebisha ani PM nikamwonyeshe how limbwata works.
 
Baada ya kusoma this story nikawa najiuliza Kuna ukweli gani kuhusu limbwata? Kuna mtu akanambia " weee unaona jinsi wanaume wa Kihaya walivyo wakorofi na wagumu lakini kwa wake zao kimya! Unajua sababu?" Mie kimya!!! Eti ni kweli?
Naambiwa kuna aina nyingi za limbwata - kuna Kaligoligo ambayo eti hii inavuka hadi bahari!! Hahhaahha! Mutaniua kwa kucheka!
Tuanze kwa kujiuliza - Limbwata ni nini? Limbwata ni dawa ya kumfanya mtu akupende zaidi - unakuwa husikii wala huelewi...
ya kihaya inaitwa SHUNTAMA. noumer sana ile, ikizit mtu anakuwa zezeta..
 
Kwa ufahamu wangu limbwata ni dawa ambayo mtu(hasa mwanamke,sijasikia mwanaume akihusika na jambo hili)anamwekea mwenzi wake ili ampende,napenda niwe mkweli sijawahi kuona limbwata au kushuhudia likifanya kazi,je kuna dawa hizi kweli au ni maneno tu?Je kuna mwenye ushahidi na hii kitu au ni maneno tu?
 
Hata nami nasikiaga! By the way, unafikiri kuna mtu anaweza akasema mimi nilishamuwekea mume wangu ikawork? I doubt; tusubiri labda wapo wanao DARE to speak!
 
Limbwata hata mimi nasikia lakini naamini lipo kwa maana lisemwalo.
 
Hata nami nasikiaga! By the way, unafikiri kuna mtu anaweza akasema mimi nilishamuwekea mume wangu ikawork? I doubt; tusubiri labda wapo wanao DARE to speak!

Sasa jambo gani la mashaka na linalofichwa?
 
Mbona mie nimejiwekea limbwata? Najipeenda kila weekend najita out.

Limbwata ni dhana kama jini mahaba, iko kichwani mwa mhusika tu.
 
Back
Top Bottom