Sniper
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,915
- 709
Limbwata hata mimi nasikia lakini naamini lipo kwa maana lisemwalo.
Lipo wakuu, kule kwetu tunaita Shuntama.
Limbwata hata mimi nasikia lakini naamini lipo kwa maana lisemwalo.
Linafananaje?Hebu tuambie!
Lipo wakuu, kule kwetu tunaita Shuntama.
Unajua ingredients za shuntama??
Ni sawa na ingredients za rubisi tu, sasa rubisi itafanyaje mtu akupende?
Lipo wakuu, kule kwetu tunaita Shuntama.
rubisi ndio nini jaman?@kongosho
Inaonekana ulidanganya kuhusu shuntama kama hujui rubisi!
Sasa jambo gani la mashaka na linalofichwa?
sio mie niliyesema kuhusu shuntama,ndo maana nauliza sifahamu shuntama wala rubisi naomba mnijuze..
Linafananaje?
sio mie niliyesema kuhusu shuntama,ndo maana nauliza sifahamu shuntama wala rubisi naomba mnijuze..
Subiri niwafanyie limbwata wanaume wa JF ambao hamliamini kama lipo,then likiisha mtaambiwa na jirani zenu.
Ni ngunu sana kujua Limbwata.Sasa kama mtu mwenyewe ni zezeta tu, utasema limbwata