Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,501
Kaunga,usiusemee moyo wa mwenzako wanaweza wakaja!Sio kila jambo wengine wanaliona kama unavyoliona wewe!
I hope so, ndio maana nikasema tusibiri waje!
Kwa mtazamo wangu, limbwata iwepo isiwepo, ifanye kazi isifanye; ninaamini kupendana jinsi mlivyo na si kwasababu ya kitu fulani. So kupendwa kwaajili ya limbwata sounds fake to me!
Last edited by a moderator: