Kama unataka kuwekewa LIMBWATA nenda kaoe wanawake wa SINGIDA, wao hatua ya kwanza mara baada ya kukupata ni kukuwekea LIMBWATA, then utakuwa unatii na kutekeleza kila kitu atakacho kuambia ukifanye, sio utani, wanawake wa SINGIDA ni wataalamu sana wa LIMBWATA, hivyo wanaume tuchukue tahadhari kabla ya hatari!
Sinai taratibu aisee tukianza kutajana makabila hapa hatumaliza
niliwahi kuambiwa makabila haya, sasa sijui ni kweli au uongo au ni ujuzi wa mapenzi wa wanawake kutoka makabila haya-Nyiramba, rangi, coast from tanga-mtwara, nyamwezi.
Kuna jamaa yangu alipigwa limbwata la mjusi wa ndani huko Mtwara. Huyo jamaa alikuwa akiona tu jua anakimbila ndani. Yaani kwa ujumla alikuwa hatoki nje. Ndugu zake wakaenda kwa mtaalam wakaambiwa kuwa kuwa kwenye kizingiti cha mlango amafukiwa mjusi wa ndani. Mkifanikiwa kumtoa huyo mjusi jamaa atakuwa fresh. Ikabidi wafanye hivyo na mara jamaa akawa fresh na kutambua utu wake. Kweli limbwata lipo
Mbona sio issue, wanakata nyama ukubwa wa finyango ya mshkaki then inawekwa kunako uke kwa siku kadhaa hd iive. Na kipindi chote hcho utayeyushwa kula tunda. Baada ya kutoa hy nyama inachanganywa na nyama nyingine ukila tu umekwnda na maji. Utashikwa masikio na kupgwa masimbi kama katoto kadogo.
Kuna jamaa yangu alipigwa limbwata la mjusi wa ndani huko Mtwara. Huyo jamaa alikuwa akiona tu jua anakimbila ndani. Yaani kwa ujumla alikuwa hatoki nje. Ndugu zake wakaenda kwa mtaalam wakaambiwa kuwa kuwa kwenye kizingiti cha mlango amafukiwa mjusi wa ndani. Mkifanikiwa kumtoa huyo mjusi jamaa atakuwa fresh. Ikabidi wafanye hivyo na mara jamaa akawa fresh na kutambua utu wake. Kweli limbwata lipo
Mbona sio issue, wanakata nyama ukubwa wa finyango ya mshkaki then inawekwa kunako uke kwa siku kadhaa hd iive. Na kipindi chote hcho utayeyushwa kula tunda. Baada ya kutoa hy nyama inachanganywa na nyama nyingine ukila tu umekwnda na maji. Utashikwa masikio na kupgwa masimbi kama katoto kadogo.
......ahahhahahahhaahaha Mtwara,pwani na dar(baadhi ya maeneo)wanaendekeza sana.....yani limbwata ndio sehemu ya mapenzi yenyewe wanasemaga.Ha ha haaa! Mh, mambo mengine hatutakiwi kucheka, lakini hili mmmh. :noidea: