Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Nimepata kusikia eti wanaume nao hutumia mizizi shamba kuwatuliza wake zao. Inasadikika kuwa
Njia hii ilitumika zaidi siku za nyuma (mababu) na ndio maana ndoa zilidumu. Wanasema mwanamke kwa asili hatulii (ni mtata).
Ndoa za sasa hazidumu kisa wanaume wa Leo mmepuuza mila hiyo. Tupeane mawazo jamani, yana ukweli wowote haya?
 
mhhhh..sio kwelijama libwata inahalibu akili ya mwezako pamoja na utashi hivyo kumfanya ashidwe kijitambua ..KUACHWA AU KUACHANA na mwanamke inategemea mazingira ambayo umeyatengeneza katika uhusiano wenu.mapenzi yenu na kuaminiana kwenu..pamoja na fikra za mtu binafsi....mwanaume umechukua nafasi yako kikamilifu katika mapenzi yenu??..hicho ndo kitakacho dertimine hatima yenu..sio libwata.
 
Waulize vizuri hao waliokuambia.

Unajua zamani mwanaume alikuwa anaoa wake wanne , anaeazalisha na kuwagawia ardhi wawatunze watoto wao
Baba alibaki kuzunguka kwenda sokoni na kuamua wapi alale
Hakuna aliyekohoa juu ya hilo. Iliwezekanaje hiyo? Watoto wa Leo mngeweza kuvumilia??
 
Mzizi uliwekwa kwenye jiko la kuni. Mama akija kuwasha moto tuu basi anapitiwa na moshi. Kwisha hbr yake
 
Nimepata kusikia eti wanaume nao hutumia mizizi shamba kuwatuliza wake zao. Inasadikika kuwa
Njia hii ilitumika zaidi siku za nyuma (mababu) na ndio maana ndoa zilidumu. Wanasema mwanamke kwa asili hatulii (ni mtata).
Ndoa za sasa hazidumu kisa wanaume wa Leo mmepuuza mila hiyo. Tupeane mawazo jamani, yana ukweli wowote haya?

I never heard of it
 
afu kwa nini wanawake ndio wanaongoza kwenda kwa waganga? yaani wao ndio wanaugua sana au?
 
Back
Top Bottom