Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Ngoja tupange siku tukamwone huyo babu, shemeji Dinazerde asijue lkn!
 
Ngoja tupange siku tukamwone huyo babu, shemeji Dinazerde asijue lkn!

Hshhhhhhahhhhshhhs limbwata nzuriu tengeneza mwenyewee kwa mikono yako sio kwenda kwa mgangaa
 
Dawa ipo we mkoleze ktandan mpaka aongee kichina kama ni jimama,na kwa vibinti vidogo saizi ya mie we tunisha wallet,toa hela kama huna akili nzur,hyo itakua libwata tosha
 
Kwa wale wanaotokea/waliopo mji mkuu wa limbwata (TANGA), na miji mingine midogo (upare, unyirambani,uzaramoni) naombeni majibu ya chapchapa sehemu ya kupata limbwata la kumlisha mwanamke (jimama) kama ipo...kama haipo niambie ''HAIPO'' ili nisihangaike

Limbwata la kumpa mwanamke ni pesa. Fulustop....!!!! hakuna lingine:
 
Dawa ipo we mkoleze ktandan mpaka aongee kichina kama ni jimama,na kwa vibinti vidogo saizi ya mie we tunisha wallet,toa hela kama huna akili nzur,hyo itakua libwata tosha

Niruhusu niprint hii nipeleke kunakohusika.
 
aisee kumbe upare ni noma kweli ndugu zangu nilikua sijui ila umenifumbua macho mimi nilikua naishi na mwanamke mpare kuna kipindi nilipata ruhusa kazini na kwenda chuo kusoma kwa kipindi cha miaka miwili hivi bibie ni mwalimu wa shule ya msingi mkoa ambao mm nafanyia kazi nilianza nae mahusiano tangu mwaka 2007 mwaka 2009 binti alipata ujauzito lakini ikawa bahati mbaya lakini kwa kipindi hiki tulikua tumewajulisha wazazi kienyeji kuwa tupo wote kwavile wazazi wetu wapo mbali walitupa hongera kwani wanashukuru mimi wazazi wangu wapo dar wa bibi upareni. baada ya ujauzito kufikisha miezi sita iliharibika . maisha ya kaenda ilipofika mwaka 2010 mm nilipata chuo na kwenda kusoma lakini tayari binti alikua mjamzito mm nilipoenda chuo nilipo maliza mwaka wa kwanza niliamua kumtuma baba yangu mzazi akajitambulishe ukweni lakini baada ya mwezi mmoja nami nikaenda hapo ndio tatizo likaanza bwana daaaah niishie tu hapa jamani.
 
aisee kumbe upare ni noma kweli ndugu zangu nilikua sijui ila umenifumbua macho mimi nilikua naishi na mwanamke mpare kuna kipindi nilipata ruhusa kazini na kwenda chuo kusoma kwa kipindi cha miaka miwili hivi bibie ni mwalimu wa shule ya msingi mkoa ambao mm nafanyia kazi nilianza nae mahusiano tangu mwaka 2007 mwaka 2009 binti alipata ujauzito lakini ikawa bahati mbaya lakini kwa kipindi hiki tulikua tumewajulisha wazazi kienyeji kuwa tupo wote kwavile wazazi wetu wapo mbali walitupa hongera kwani wanashukuru mimi wazazi wangu wapo dar wa bibi upareni. baada ya ujauzito kufikisha miezi sita iliharibika . maisha ya kaenda ilipofika mwaka 2010 mm nilipata chuo na kwenda kusoma lakini tayari binti alikua mjamzito mm nilipoenda chuo nilipo maliza mwaka wa kwanza niliamua kumtuma baba yangu mzazi akajitambulishe ukweni lakini baada ya mwezi mmoja nami nikaenda hapo ndio tatizo likaanza bwana daaaah niishie tu hapa jamani.

Sasa pablojunior ukiishia hapo so tutaelewaje?
 
Last edited by a moderator:
nnaushahidi tosha jamani limbwata lipo tafadhali msikatae kama hayajakukuta unaweza usimini hayo makabila mawili nmejionea mnyiramba na mpare.
 
nnaushahidi tosha jamani limbwata lipo tafadhali msikatae kama hayajakukuta unaweza usimini hayo makabila mawili nmejionea mnyiramba na mpare.

Hahahahaa kweli ulitendwa.
Toa ufafanuzi tuelewe bhana.
 
Kwa wale wanaotokea/waliopo mji mkuu wa limbwata (TANGA), na miji mingine midogo (upare, unyirambani,uzaramoni) naombeni majibu ya chapchapa sehemu ya kupata limbwata la kumlisha mwanamke (jimama) kama ipo...kama haipo niambie ''HAIPO'' ili nisihangaike

limbwata ya kumpa mwanamke ni pesa tu hamna cha ziada
 
Yani mtoto wakiume baada ya kutafuta pesa unatafuta dawa ya limbwata eti na wewe unaitwa mwanamme wa taifa la kesho! puka chake..........
 
Back
Top Bottom