Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Kwa wale wanaotokea/waliopo mji mkuu wa limbwata (TANGA), na miji mingine midogo (upare, unyirambani,uzaramoni) naombeni majibu ya chapchapa sehemu ya kupata limbwata la kumlisha mwanamke (jimama) kama ipo...kama haipo niambie ''HAIPO'' ili nisihangaike

Ya mwanamke hamna ila ipo dawa ya kumfanya anase akichepuka tu ile kitu inangangania ndani haitoki
 
Limbwata ya mwanamke ni kumnanihii vizuri ukamridhisha kisawasawa,mpende hadi ajione amezaliwa kwa ajili yako nawe umezaliwa kwa ajili yake.
Hapo utamfanyia utakavyo
 
I swear this world is coming to an end.

Hivi hivi tukionaga.

Yaani hawa watoto wangekujaga na warranty tungewarudisha kiwandani.
 
TATIANA twenzetu kwa babu maana humu jf kuna mdada namzimikia sana!

Twende zetu mwaya... mi mwenyewe kuna mzee wangu aliniumiza moyo kweli humu nikaenda kwa babuu sasa mambo bien
 
Paka pilipili kwenye kichwa cha dushe kabla ya kuingiza kwenye k ya mkusudiwa
 
Kwa wale wanaotokea/waliopo mji mkuu wa limbwata (TANGA), na miji mingine midogo (upare, unyirambani,uzaramoni) naombeni majibu ya chapchapa sehemu ya kupata limbwata la kumlisha mwanamke (jimama) kama ipo...kama haipo niambie ''HAIPO'' ili nisihangaike

Wallet isome , na piga pumbu vizuri.....
 
Limbwata kubwa ni kuzama uvinza tu. wanaume acheni kuona kinyaa. Ukizama uvinza umemmaliza keisha kazi.
 
Hakuna limbwataa unataka umfanye zezetaa au kondoooo
 
Back
Top Bottom