Fagia fagia ya Magufuli

Fagia fagia ya Magufuli

Makonda alieleweka kuanzia siku alipohutubia wazee wa mjini pale diamond
 
Its like installing new software in the old motherboard
Mecky Sadiki kaondoka Dar ni mtu wa Jakaya very loyal to him..huyu alikuwa jipu kubwa wachina walitamba hapa Dar kwa sababu ya huyu mtu...walitolewa mahabusu kwa memo yake....ni faraja kubwa sana
Kituko cha karne!
Jiji limepewa dogo mjuaji, Paul Makonda! Hatumii akili bali maguvu!ama kweli kujipendekeza kunalipa....!
Yaliyomo yamo Jiji la UKAWA (let it be) mkoa wa Makonda(ccm....) sawa na kufunga engine ya bajaj kwenye kilimo kwanza au software ya Samsung kwenye motherboard ya lenovo
Mfikishie habari Kubenea kuwa Makonda karudi njaa..
 
Its like installing new software in the old motherboard
Mecky Sadiki kaondoka Dar ni mtu wa Jakaya very loyal to him..huyu alikuwa jipu kubwa wachina walitamba hapa Dar kwa sababu ya huyu mtu...walitolewa mahabusu kwa memo yake....ni faraja kubwa sana
Kituko cha karne!
Jiji limepewa dogo mjuaji, Paul Makonda! Hatumii akili bali maguvu!ama kweli kujipendekeza kunalipa....!
Yaliyomo yamo Jiji la UKAWA (let it be) mkoa wa Makonda(ccm....) sawa na kufunga engine ya bajaj kwenye kilimo kwanza au software ya Samsung kwenye motherboard ya lenovo
Kuhusu Mecky Sadiki, Rais ana haki ya kupanga safu yake, hata JK alifanya hivyo.
Makonda lazima ata wa out shine UKAWA.
 
Its like installing new software in the old motherboard
Mecky Sadiki kaondoka Dar ni mtu wa Jakaya very loyal to him..huyu alikuwa jipu kubwa wachina walitamba hapa Dar kwa sababu ya huyu mtu...walitolewa mahabusu kwa memo yake....ni faraja kubwa sana
Kituko cha karne!
Jiji limepewa dogo mjuaji, Paul Makonda! Hatumii akili bali maguvu!ama kweli kujipendekeza kunalipa....!
Yaliyomo yamo Jiji la UKAWA (let it be) mkoa wa Makonda(ccm....) sawa na kufunga engine ya bajaj kwenye kilimo kwanza au software ya Samsung kwenye motherboard ya lenovo
Mkuu nakupa heshima zako ktk mambo mengi ya jumuiya.
Ila hili jambo la kumdharau RC Makonda nitalipinga mpaka kiama.
1) kaweza kutatuwa ubadhirifu ktk wilaya yake.
2) wafanyakazi wa Umma wameleta heshima kwa WATEJA wao sisi wananchi.
3) kawaajibisha majaji Na wanasheria MATAPELI
4)anawasaidia vijana wa Kinondoni kupata ajira Na kuongeza ubunifu ktk ajira zao.
5)huduma za afya kwa wanaKinondoni.
6)kujenga shule mpya kupitia kwa wa hisani Na wasamaria wema.
7) kusimamia ujenzi wa barabara za Kinondoni.
Na mengi tuuu
Na anajuwa kutumia vyombo vya habari
RC Makonda amekua Mfano bora kwa WaTanzania wanao taka maendeleo.
Wako wengi Kama wewe mnaompinga kwa sababu tu anafanya vizuri.
Tafadhali tuandikie mkuu au mtu yeyeto anaye fanya kazi nzuri ili tumpongeze.
 
RC MUHIMU KIMBUKA RC WK SLIVYOPANGUA ARDHI KINONDONI ....wengi walishindwa Karibu jembe Makonda
 
MOVIE PART 1: UKAWA WATAJUA NANI NI BOSS WA JIJI.
MOVIE PART 2: MAKONDA KAWAPELEKA UKAWA MAHAKAMANI
 
Its like installing new software in the old motherboard
Mecky Sadiki kaondoka Dar ni mtu wa Jakaya very loyal to him..huyu alikuwa jipu kubwa wachina walitamba hapa Dar kwa sababu ya huyu mtu...walitolewa mahabusu kwa memo yake....ni faraja kubwa sana
Kituko cha karne!
Jiji limepewa dogo mjuaji, Paul Makonda! Hatumii akili bali maguvu!ama kweli kujipendekeza kunalipa....!
Yaliyomo yamo Jiji la UKAWA (let it be) mkoa wa Makonda(ccm....) sawa na kufunga engine ya bajaj kwenye kilimo kwanza au software ya Samsung kwenye motherboard ya lenovo
Haha!! I agree with you bro!
 
Mkuu nakupa heshima zako ktk mambo mengi ya jumuiya.
Ila hili jambo la kumdharau RC Makonda nitalipinga mpaka kiama.
1) kaweza kutatuwa ubadhirifu ktk wilaya yake.
2) wafanyakazi wa Umma wameleta heshima kwa WATEJA wao sisi wananchi.
3) kawaajibisha majaji Na wanasheria MATAPELI
4)anawasaidia vijana wa Kinondoni kupata ajira Na kuongeza ubunifu ktk ajira zao.
5)huduma za afya kwa wanaKinondoni.
6)kujenga shule mpya kupitia kwa wa hisani Na wasamaria wema.
7) kusimamia ujenzi wa barabara za Kinondoni.
Na mengi tuuu
Na anajuwa kutumia vyombo vya habari
RC Makonda amekua Mfano bora kwa WaTanzania wanao taka maendeleo.
Wako wengi Kama wewe mnaompinga kwa sababu tu anafanya vizuri.
Tafadhali tuandikie mkuu au mtu yeyeto anaye fanya kazi nzuri ili tumpongeze.
Haya mambo yangekuwa na misingi na mwendelezo lingekuwa jambo bora sana..umetaja mengi yake mazuri lakini madhaifu yake hukuorodhesha hata moja, ni sahihi kwakuwa nia ilikuwa kumjenga
Utawala/uongozi wake utakuwa wa mabavu na utemi kwasababu hii ndio style aliyozoea lakini aende kwa kituo kwakuwa u RC ni tofauti kabisa na u DC. Anaweza kuja kujiweka kwenye mtanziko mmoja mkubwa sana(mark my words )
 
Haya mambo yangekuwa na misingi na mwendelezo lingekuwa jambo bora sana..umetaja mengi yake mazuri lakini madhaifu yake hukuorodhesha hata moja, ni sahihi kwakuwa nia ilikuwa kumjenga
Utawala/uongozi wake utakuwa wa mabavu na utemi kwasababu hii ndio style aliyozoea lakini aende kwa kituo kwakuwa u RC ni tofauti kabisa na u DC. Anaweza kuja kujiweka kwenye mtanziko mmoja mkubwa sana(mark my words )
Ndungu Mshana Jr nimekuelewa.
Katika Awamu zilizo pita sisi sote tulikuwa tunalelewa Na bibi Na babu zetu ambao ( wakubwa wa serekali yetu)walitudekeza sana tu.
Tukawa MATAPELI,WAVIVU NA MAJUNGU mengi sana.
Sasa tunaishi Na Mjomba ambaye anataka tuendelee. Kwa hiyo inabidi atumie kauli kali au vitisho ili tuwe kwenye mstari.Kwa sababu hatujazoe vitendo vya ukali Na vitisho tunasema Mjomba mkali.
Mimi siishi Kinondoni Ila nilitembelea ofice za halimashauri ili nijionee mabadiliko.Nidhamu,huduma za haraka Kwa kweli ninafuraha sanaaaaa tu.
 
binafsi makonda hell no,,waliokosa ubunge hell no,lakini mwisho wa siku ni vyeo vya makada sasa najiuliza hawa ma meja jenerali,brigedia na kaishna wa polisi nao ni makada????



bado inajenga picha mbaya kwa viongozi wetu wa majeshi na kufanya waonekane ni watu wa chama.
 
binafsi makonda hell no,,waliokosa ubunge hell no,lakini mwisho wa siku ni vyeo vya makada sasa najiuliza hawa ma meja jenerali,brigedia na kaishna wa polisi nao ni makada????



bado inajenga picha mbaya kwa viongozi wetu wa majeshi na kufanya waonekane ni watu wa chama.
Ndio maana Ngosha kabadili mazoea
Kawaweka makada Na wanajeshi ili walitumikie taifa vile vile hawa waastafu walikuwa wanapata 80% za mishahara wakiwa wameka vijiweni.
Ktk kusevu pesa wache wafanye kazi
Tena kwenye mipaka ya nchi.
 
Povu linawatoka,waacheni watu wafanye kazi,ccm ndio ipo madarakani itabidi muwe waangaliaji tu na kupiga kelele mitandaoni haisaidii
 
Povu linawatoka,waacheni watu wafanye kazi,ccm ndio ipo madarakani itabidi muwe waangaliaji tu na kupiga kelele mitandaoni haisaidii
Kutokwa povu ni dalili mbaya sana msaada tafadhali watakuwa wanaumwa hawa! La sivyo povu lao ni sabuni nzuri ya kutoa tongotongo za mpevuko wa kiakili na kifikra watu wa kaliba yako
 
Unadhani wewe ndio mwenye hekima saaanaaa na una analysis nzuri hata useme Rais kakosea kumteua Makonda??? Ulitaka amteue nani hata uridhike wewe Mtanzania???????? Hivi huyu Makonda amewakosea nini??????
Mtu akiwa public figure ni halali ya public kumjadili. Na si lazima mtu akukosee umkubali, mengine ni machale, au the way he talks etc.

Nakubaliana na wewe kwamba bila shaka Rais hakukosea katika uteuzi hasa ukiangalia anataka huyu mtu akafanye nini. Tumeona mikoa yenye crime rate kubwa na inayoingiliwa na wakimbizi kaweka wanajeshi, Kigoma, kagera na geita. Mara amemweka anayesemekana Ni aggressive. Tabora kwa vile inahitaji maendeleo ya haraka kamuweka anayefaa na dsm huu mkoa una changamoto za ujuaji na kushikiliwa na wapinzani kamuweka huyu makonda.

Natamani wapinzani wajifunze diplomacy. Wana hoja nzuri tena pengine zinazidi za chama tawala, lakini wana react vibaya na hapo ndio wanapochezewa. Watapelekeshwa mahakamani kila leo washindwe kuhudumia wananchi. Hiyo ndiyo agenda ya Siri ya CCM. Hata sielewi inakuwaje mtu akiwa nje anaona zaidi kuliko wa ndani.
 
Its like installing new software in the old motherboard
Mecky Sadiki kaondoka Dar ni mtu wa Jakaya very loyal to him..huyu alikuwa jipu kubwa wachina walitamba hapa Dar kwa sababu ya huyu mtu...walitolewa mahabusu kwa memo yake....ni faraja kubwa sana
Kituko cha karne!
Jiji limepewa dogo mjuaji, Paul Makonda! Hatumii akili bali maguvu!ama kweli kujipendekeza kunalipa....!
Yaliyomo yamo Jiji la UKAWA (let it be) mkoa wa Makonda(ccm....) sawa na kufunga engine ya bajaj kwenye kilimo kwanza au software ya Samsung kwenye motherboard ya lenovo
interesting ...... sarakasi za kila aina zitakuwepo hivi hii serkali nawaza tu inautulivu wanaelewa wanalofanya maana muda wote watu wanapanguliwa kazi zitafanyika kweli
 
Its like installing new software in the old motherboard
Mecky Sadiki kaondoka Dar ni mtu wa Jakaya very loyal to him..huyu alikuwa jipu kubwa wachina walitamba hapa Dar kwa sababu ya huyu mtu...walitolewa mahabusu kwa memo yake....ni faraja kubwa sana
Kituko cha karne!
Jiji limepewa dogo mjuaji, Paul Makonda! Hatumii akili bali maguvu!ama kweli kujipendekeza kunalipa....!
Yaliyomo yamo Jiji la UKAWA (let it be) mkoa wa Makonda(ccm....) sawa na kufunga engine ya bajaj kwenye kilimo kwanza au software ya Samsung kwenye motherboard ya lenovo

Haaa haaa sawa na kufnunga engine ya VDJ 201 kwenye paso haaa haaa kheeee kheee Nchi ya mwalimu Nyerere inazidi kudhihirisha kweli uRC hata marehemu Matonya angeuweza ipo sababu ya kufuta hivi vyeo vinavyotafuna kodi zetu bila sababu za msingi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom