Kwa nchi yetu ilivyo, who cares?Its like installing new software in the old motherboard
Mecky Sadiki kaondoka Dar ni mtu wa Jakaya very royal to him..huyu alikuwa jipu kubwa wachina walitamba hapa Dar kwa sababu ya huyu mtu...walitolewa mahabusu kwa memo yake....ni faraja kubwa sana
Kituko cha karne!
Jiji limepewa dogo mjuaji, Paul Makonda! Hatumii akili bali maguvu!ama kweli kujipendekeza kunalipa....!
Yaliyomo yamo Jiji la UKAWA (let it be) mkoa wa Makonda(ccm....) sawa na kufunga engine ya bajaj kwenye kilimo kwanza au software ya Samsung kwenye motherboard ya lenovo
Naogopa chuma ulete mkuu!Fanya mwekundu basi mwana nikasherehekee uteuzi
Ngoja nipate ushauri kutoka kwa vibwengo wa bahari ya mlingotini![]()
kwako sifanyi asilani
Hata hueleweki.Its like installing new software in the old motherboard
Mecky Sadiki kaondoka Dar ni mtu wa Jakaya very royal to him..huyu alikuwa jipu kubwa wachina walitamba hapa Dar kwa sababu ya huyu mtu...walitolewa mahabusu kwa memo yake....ni faraja kubwa sana
Kituko cha karne!
Jiji limepewa dogo mjuaji, Paul Makonda! Hatumii akili bali maguvu!ama kweli kujipendekeza kunalipa....!
Yaliyomo yamo Jiji la UKAWA (let it be) mkoa wa Makonda(ccm....) sawa na kufunga engine ya bajaj kwenye kilimo kwanza au software ya Samsung kwenye motherboard ya lenovo
Hujui unacho "kinena"Magufuli angetakiwa atafute watu makini sana wa kufanya nao kazi.
Asingekua mtu wa kukurupuka na ku controliwa na chama, tatizo kubwa la Magufuli hakuwahi kufikiri kuwa atakuwa president one day, kwa hiyo hata timu ya kazi hakuwa nayo zaidi ya kuwafahamu kina Charles Kitwanga na kina Katibu kiongozo wake yule mpya.
Hiki kinachomgharimu sana
Ooooh ni ile ileee CCM ni ile ilee...Ooh ni ile ileeee
Itabidi siku moja utuletee habari ya kijiji cha Mlingotini....Nasikia mafanikio ya Mtibwa Sugar yalikuwa yanamtegemea mzee pandu wa pale Pande....huyu mzee kasaidia wachimbaji wengi sana wa Migodi ya Tanzanite...kateketeza sana Majogoo weusiUsisahau na wa kicheba tasavali
Its like installing new software in the old motherboard
Mecky Sadiki kaondoka Dar ni mtu wa Jakaya very royal to him..huyu alikuwa jipu kubwa wachina walitamba hapa Dar kwa sababu ya huyu mtu...walitolewa mahabusu kwa memo yake....ni faraja kubwa sana
Kituko cha karne!
Jiji limepewa dogo mjuaji, Paul Makonda! Hatumii akili bali maguvu!ama kweli kujipendekeza kunalipa....!
Yaliyomo yamo Jiji la UKAWA (let it be) mkoa wa Makonda(ccm....) sawa na kufunga engine ya bajaj kwenye kilimo kwanza au software ya Samsung kwenye motherboard ya lenovo
ndioKatika maneno yoooote umeona hilo tu???
Mwekundu atoe wapi huyo gamba,wakati yeye anapewa buku7 na lumumbaFanya mwekundu basi mwana nikasherehekee uteuzi