Fagia fagia ya Magufuli

Fagia fagia ya Magufuli

There is no doubt kwani Mh. Makonda ni:
1. Mchapa kazi
2. Anajua kuthubutu
3. Mbunifu sikutegemea nikiwa hai nishuhudie wamiliki wa daladala wakubali wlimu wasafiri bure! sikutegemea! kwani maasakari walikwishaanza poiga kelle walipe nauli!!!
4. Ni kijana hivyo ana nguvu
5. Ana ushawishi
6. Ni impartial- tulishuhudia issue ya Sumaye!
7. Ni shupavu
8. Anatumia hoja kumonga mtu na siyo nguvu walakashfa
9. Ni msomi
10. Ni mzalendo- hayuko kwa ajili ya msalahi yake
11. Ana uwezo wa kwenda na kasi ya Mh. Magufuli
12. ....
13.....
14.......

Sasa kwa nini wanaDar-Es-Salaam tusifurahi kumpata mtu kama huyu?

Tatizo kwa watanzania ukifanya jema utaambiwa unajipendeka au unajiona au unajionyesha na ukikaa kando ukavita mambo kivyako utaambiwa hufai, mwizi mara fisadi
 
Kwahiyo Na wakuu wa wilaya itabidi wabadilishwe na kuwekwa wapya? mana kuna nafasi ya Makonda itakuwa wazi, Naomba apewe Le mutuz Wilaya ya Kinondoni.
 
Wewe umefanya nini cha maana

Suali zuri sana. Wengi wetu tunajua kutoa ubovu wa wenzetu lakini hatujiulizi sisi wenyewe tumelifanyia nini taifa? Tukikamatwa na askari ndio kwanza tunakimbilia kutoa rushwa
 
Ndugu Mshana naona topic umeanza vizuri lakini kwa jibu kama hili naona kama umepotea jia. Yaani inaontesha mada yako si ya kimaendeleo bali ni kisiasa tu.
Brown73 kuna wakati kuna replies zinahitaji majibu yanayoendana nazo
 
Wewe hujaliona?

Wabongo wengine ndo #viazi kweli

Aki' miss-spell Magufuli watu kamasi znawatoka mithili ya kondoo jike

Ila kwa mshana jr "ni LUGHA YA WENYEWE"

kaaaz kwerkwer!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kuwakuwa mshana jr sio Magufuli
 
Its like installing new software in the old motherboard
Mecky Sadiki kaondoka Dar ni mtu wa Jakaya very loyal to him..huyu alikuwa jipu kubwa wachina walitamba hapa Dar kwa sababu ya huyu mtu...walitolewa mahabusu kwa memo yake....ni faraja kubwa sana
Kituko cha karne!
Jiji limepewa dogo mjuaji, Paul Makonda! Hatumii akili bali maguvu!ama kweli kujipendekeza kunalipa....!
Yaliyomo yamo Jiji la UKAWA (let it be) mkoa wa Makonda(ccm....) sawa na kufunga engine ya bajaj kwenye kilimo kwanza au software ya Samsung kwenye motherboard ya lenovo
Magufuli atamwachajeMsukuma mwenzie. kachunguze wakuu wa mikoa 14 wametokea kanda ya ziwa. sasa ni UKABILA na UDINI
 
Its like installing new software in the old motherboard
Mecky Sadiki kaondoka Dar ni mtu wa Jakaya very loyal to him..huyu alikuwa jipu kubwa wachina walitamba hapa Dar kwa sababu ya huyu mtu...walitolewa mahabusu kwa memo yake....ni faraja kubwa sana
Kituko cha karne!
Jiji limepewa dogo mjuaji, Paul Makonda! Hatumii akili bali maguvu!ama kweli kujipendekeza kunalipa....!
Yaliyomo yamo Jiji la UKAWA (let it be) mkoa wa Makonda(ccm....) sawa na kufunga engine ya bajaj kwenye kilimo kwanza au software ya Samsung kwenye motherboard ya lenovo
Aisee hapo kwenye Lenovo una maana gani mkuu!!??
 
Tatizo kwa watanzania ukifanya jema utaambiwa unajipendeka au unajiona au unajionyesha na ukikaa kando ukavita mambo kivyako utaambiwa hufai, mwizi mara fisadi
Jamani hebu sema na wewe Brown73. Basi kama kuchapa kazi ndio kujipendekeza wacha iwe hivyo kwa hii miaka 5 ili nchi yetu itoke hapa ilipokwama! Maana Hamna namna!
 
Mimi ni mmoja wapo niliekuwa namsifia sana Magu, Na naamini tupo wengi lkn sasa naaza kuvuta Hisia nyingine sijui Ukifika wakati wa wenyekiti wa Chama itakuaje?

Tumeona Utashi wa Teuzi hizi zinavokwenda zikiwa zitaingia kwenye mambo ya chama ni hatari zaidi.
 
Itabidi siku moja utuletee habari ya kijiji cha Mlingotini....Nasikia mafanikio ya Mtibwa Sugar yalikuwa yanamtegemea mzee pandu wa pale Pande....huyu mzee kasaidia wachimbaji wengi sana wa Migodi ya Tanzanite...kateketeza sana Majogoo weusi
Hahahahaha mkuu upo
 
Ni kampuni inayotengeneza electronics zikiwemo computer
Hilo nalitambua mkuu....moja ya kifaa changu cha mawasiliano ni Lenovo Vibe Shot. Umenishtua ulivyoanza kufananisha Bajaj kupachikwa injini ya Kilimo Kwanza...then ukaja na Samsung na Lenovo, nikaelewa labda hii Lenovo hapa ndio hiyo Bajaj na Samsung ndio Kilimo Kwanza mkuu. Niwie radhi kwa mahaba niliyo nayo kwa Lenovo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom