Fagia fagia ya Magufuli

Fagia fagia ya Magufuli

Its like installing new software in the old motherboard
Mecky Sadiki kaondoka Dar ni mtu wa Jakaya very loyal to him..huyu alikuwa jipu kubwa wachina walitamba hapa Dar kwa sababu ya huyu mtu...walitolewa mahabusu kwa memo yake....ni faraja kubwa sana
Kituko cha karne!
Jiji limepewa dogo mjuaji, Paul Makonda! Hatumii akili bali maguvu!ama kweli kujipendekeza kunalipa....!
Yaliyomo yamo Jiji la UKAWA (let it be) mkoa wa Makonda(ccm....) sawa na kufunga engine ya bajaj kwenye kilimo kwanza au software ya Samsung kwenye motherboard ya lenovo
There is no doubt kwani Mh. Makonda ni:
1. Mchapa kazi
2. Anajua kuthubutu
3. Mbunifu sikutegemea nikiwa hai nishuhudie wamiliki wa daladala wakubali wlimu wasafiri bure! sikutegemea! kwani maasakari walikwishaanza poiga kelle walipe nauli!!!
4. Ni kijana hivyo ana nguvu
5. Ana ushawishi
6. Ni impartial- tulishuhudia issue ya Sumaye!
7. Ni shupavu
8. Anatumia hoja kumonga mtu na siyo nguvu walakashfa
9. Ni msomi
10. Ni mzalendo- hayuko kwa ajili ya msalahi yake
11. Ana uwezo wa kwenda na kasi ya Mh. Magufuli
12. ....
13.....
14.......

Sasa kwa nini wanaDar-Es-Salaam tusifurahi kumpata mtu kama huyu?
 
Hivi wewe una hoja gani hapa?? Nimesoma mara 5 sijaona hoja yako. Au una chuki binafs dhidi ya Makonda??? Binafsi sifahamiani na Makonda kwa maana ya kuwa karibu nae ila najiuliza kwanini unamsakama, amekosea nini?? Au Ukuu wa Mkoa Dar lazima apewe Mzee mwenye mvi???? Naomba ufafanue, why unasema Makonda anajipendekeza na kwanini unasema ni mjuaji?????
Kuna watu humu wana chuki na |Makonda nadhani ni Wivu tu. Wanamwonea wivu sana kijana wa watu!
 
There is no doubt kwani Mh. Makonda ni:
1. Mchapa kazi
2. Anajua kuthubutu
3. Mbunifu sikutegemea nikiwa hai nishuhudie wamiliki wa daladala wakubali wlimu wasafiri bure! sikutegemea! kwani maasakari walikwishaanza poiga kelle walipe nauli!!!
4. Ni kijana hivyo ana nguvu
5. Ana ushawishi
6. Ni impartial- tulishuhudia issue ya Sumaye!
7. Ni shupavu
8. Anatumia hoja kumonga mtu na siyo nguvu walakashfa
9. Ni msomi
10. Ni mzalendo- hayuko kwa ajili ya msalahi yake
11. Ana uwezo wa kwenda na kasi ya Mh. Magufuli
12. ....
13.....
14.......

Sasa kwa nini wanaDar-Es-Salaam tusifurahi kumpata mtu kama huyu?
Mwana ukumbi ni wako punguza haraka ya kupost, ifanyie marekebisho post yako isomeke vema
 
Kuna kitu hakiko sawa mahali na niseme bila ya kumumunya maneno kuwa bwana mkubwa sio kiongozi Bali ni mtawala.
Mabadiliko ya utawala wa halnashauri za jiji kutoka mikononi mwa chama tawala kwenda upinzani kwa kiongozi making alioaswa kuweka RC anayetumia hekima na uzoefu na sio MTU wa mihemko na misifa kama huyu.
Akiwa DC tuu Alisha onyesha kuishindwa halnashauri ya KINONDONI na kuishia mivutano kwa kutojua mipaka ya kazi yake sasa itakuwa mkoa?
Migogoro hata isha Dar kwa mtindo wake, ajawe katika uendeshaji wa halmashauri Meya na madiwani wake ndio engine ya maendeleo hivyo RC anahitaji sana kufanya nayo kazi huku yeye ajisimamia ulinzi na usalama.
Jee bwana mkubwa hakuliona hilo?
Unadhani wewe ndio mwenye hekima saaanaaa na una analysis nzuri hata useme Rais kakosea kumteua Makonda??? Ulitaka amteue nani hata uridhike wewe Mtanzania???????? Hivi huyu Makonda amewakosea nini??????
 
Unadhani wewe ndio mwenye hekima saaanaaa na una analysis nzuri hata useme Rais kakosea kumteua Makonda??? Ulitaka amteue nani hata uridhike wewe Mtanzania???????? Hivi huyu Makonda amewakosea nini??????
Umejiunga JF November 4 2011 ni mkongwe hapa jukwaani kuliko mimi...usitake kuniambia mpaka leo hujui nini maana ya hii forum
 
Its like installing new software in the old motherboard
Mecky Sadiki kaondoka Dar ni mtu wa Jakaya very loyal to him..huyu alikuwa jipu kubwa wachina walitamba hapa Dar kwa sababu ya huyu mtu...walitolewa mahabusu kwa memo yake....ni faraja kubwa sana
Kituko cha karne!
Jiji limepewa dogo mjuaji, Paul Makonda! Hatumii akili bali maguvu!ama kweli kujipendekeza kunalipa....!
Yaliyomo yamo Jiji la UKAWA (let it be) mkoa wa Makonda(ccm....) sawa na kufunga engine ya bajaj kwenye kilimo kwanza au software ya Samsung kwenye motherboard ya lenovo
Kubwa jinga ktk ubora wako..... bora mm nisiepost uzi
 
Nashukuru umeielewa! Na wengine wameelewa pia. sasa hiyo namba moja na kuendelea ni uwongo au ukweli?
Hayo tuliachie jukwaa ili kila mmoja apime mwenyewe
 
Huyo makonda mnasema mbunifu Ana ubunifu gani?ni kitu gani kufanya au kuwapandisha bure kwenye daladala..
Wakuu wrote wa mikoa waliyopita chino ya ccm hawa kufanya lolote.....jiji chafu,barabara mbovu @#$@@ke hakuna jipyaaa na hiyo makondakta itakuwa hivyo hvyo tu.....tusitegemee jipyaaa kutoka kwake
 
ha ha ha ha ha ha ha ha salute kwako Jr Mshana
c6fa54670d05ac52e59f8f96f046cef5.jpg
0a61227cea16bde8bd1009b11410628a.jpg
 
Yeyote anayemlaumu Raisi kwa uteuzi wake wa Makonda atakuwa hamtendeu haki kwani kikubwa ni resource aliyonayo ndani ya ccm.

Inawezekana huyo makonda akawa ndiyo nafuu kwa ubora na uwezo ndio maana akamteuwa.

Tumwachie Mungu tuone yajayoo
 
Huyo makonda mnasema mbunifu Ana ubunifu gani?ni kitu gani kufanya au kuwapandisha bure kwenye daladala..
Wakuu wrote wa mikoa waliyopita chino ya ccm hawa kufanya lolote.....jiji chafu,barabara mbovu @#$@@ke hakuna jipyaaa na hiyo makondakta itakuwa hivyo hvyo tu.....tusitegemee jipyaaa kutoka kwake
Wewe umefanya nini cha maana
 
We kilaza young blood....yes nishafanya Vitu vingi vya maana kwa niaba yangu na kwa baadhi ya watu waliyokaribu yangu....
Sasa we mkoa wa dar umeona kuna jipya gani lililofanywa na hawa ma rc...
 
Chama ndo kinaendelea kushusha graph ya magufuli, watu walioanza kuwa na iman nae mwanzoni saiv washaanza kuona kumbe nae mule mule tu. Shida inaweza isiwe makonda shida ikawa watu ambao wako kwenye system miaka nenda rudi ndio hao hao wapo leo, halafu unaimba ngonjera za mabadiliko.
Kwa hiyo Lowassa ambaye ni mpya kwenye system ndio anafaa UKAWA sio!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom