Fagia fagia ya Magufuli

Fagia fagia ya Magufuli

Nyota njema huonekana asubuhi. Pongezi kwake Paul Makonda.
Naona ile wizara ya ma-nguvu nguvu iko peupe..
 
Its like installing new software in the old motherboard
Mecky Sadiki kaondoka Dar ni mtu wa Jakaya very loyal to him..huyu alikuwa jipu kubwa wachina walitamba hapa Dar kwa sababu ya huyu mtu...walitolewa mahabusu kwa memo yake....ni faraja kubwa sana
Kituko cha karne!
Jiji limepewa dogo mjuaji, Paul Makonda! Hatumii akili bali maguvu!ama kweli kujipendekeza kunalipa....!
Yaliyomo yamo Jiji la UKAWA (let it be) mkoa wa Makonda(ccm....) sawa na kufunga engine ya bajaj kwenye kilimo kwanza au software ya Samsung kwenye motherboard ya lenovo

Makonda kada mwaminifu kwa chama chake yuko tayari hata kuzaba vibao wazee wanaoheshimika nchini pale wanapoonekana kwenda tofauti na chama ili mradi aonekanane mfia chama na hatimaye kupewa vyeo vya upendeleo. Wampe vyeo vyote watakavyo lakini ile laana ya kumzaba kibao Mzee Warioba haitamwacha kamwe. Pia uteuzi huu umedhihirisha kuwa Magufuli bado anadhibitiwa na chama na ndicho kinamwamulia nani ateuliwe na nani atoswe.

CCM ni ilele huku wakisomeshana namba wao kwa wao.
 
Kuropoka, kujipendeka +Siasa za Majitaka kunalipa sana Dogo anaendelea kupongezwa kwa kazi zake za hovyo alizowahi kuzifanya ili kusaka MADARAKA.
 
Nyie hamko Golden Crest naona haha ...subilini sana mrateua wenu tuache tuchape kazi
 
Makonda inasemekana ni mchapakazi labda ni kweli siwezi kubisha ila ili kutuaminisha ana uwezo na creative angetolewa kwenye hili jiji la camera na waandishi mkanjanja apelekwe labda rukwa,songea,kigoma huko ili tuone ubunifu wake kuwakwamua raia huko na umasikini na si kuachwa hapa hapa kwenye jiji la kitu ni habari maana hata akiuhdhuria mazishi tunampublisize pia so kinondoni tumeona ulivyofanikiwa kupata media coverage ingependeza zaidi kama ungekuwa sehemu isyo na na camera nyingi kama za dar ili tujue kama uchapakazi wako ungekutangaza kama si hawa waandishi njaa kila kona unaambtana no
 
Itabidi siku moja utuletee habari ya kijiji cha Mlingotini....Nasikia mafanikio ya Mtibwa Sugar yalikuwa yanamtegemea mzee pandu wa pale Pande....huyu mzee kasaidia wachimbaji wengi sana wa Migodi ya Tanzanite...kateketeza sana Majogoo weusi
Tafuta story ya kuku mwenye hirizi utajua kila kitu kuhusu hayo maeneo
 
Wa tz bhana!! ulitaka amuweke nani kwa mfano? hebu tuacheni kujua kila kitu apa.
 
Its like installing new software in the old motherboard
Mecky Sadiki kaondoka Dar ni mtu wa Jakaya very loyal to him..huyu alikuwa jipu kubwa wachina walitamba hapa Dar kwa sababu ya huyu mtu...walitolewa mahabusu kwa memo yake....ni faraja kubwa sana
Kituko cha karne!
Jiji limepewa dogo mjuaji, Paul Makonda! Hatumii akili bali maguvu!ama kweli kujipendekeza kunalipa....!
Yaliyomo yamo Jiji la UKAWA (let it be) mkoa wa Makonda(ccm....) sawa na kufunga engine ya bajaj kwenye kilimo kwanza au software ya Samsung kwenye motherboard ya lenovo
Katika wanasiasa wa nchi hii siwapendi wa kwanza ni Makonda.
Ngoja nitafute mkoa wa kuhamia kwani kuwa chini yake siwezi kabisa. Kwaheri Dar akitumbuliwa nitarudi japo bado nakupenda Dar es Salaam
 
Its like installing new software in the old motherboard
Mecky Sadiki kaondoka Dar ni mtu wa Jakaya very loyal to him..huyu alikuwa jipu kubwa wachina walitamba hapa Dar kwa sababu ya huyu mtu...walitolewa mahabusu kwa memo yake....ni faraja kubwa sana
Kituko cha karne!
Jiji limepewa dogo mjuaji, Paul Makonda! Hatumii akili bali maguvu!ama kweli kujipendekeza kunalipa....!
Yaliyomo yamo Jiji la UKAWA (let it be) mkoa wa Makonda(ccm....) sawa na kufunga engine ya bajaj kwenye kilimo kwanza au software ya Samsung kwenye motherboard ya lenovo
Hivi wewe una hoja gani hapa?? Nimesoma mara 5 sijaona hoja yako. Au una chuki binafs dhidi ya Makonda??? Binafsi sifahamiani na Makonda kwa maana ya kuwa karibu nae ila najiuliza kwanini unamsakama, amekosea nini?? Au Ukuu wa Mkoa Dar lazima apewe Mzee mwenye mvi???? Naomba ufafanue, why unasema Makonda anajipendekeza na kwanini unasema ni mjuaji?????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom