Facebook Tanzania yakumbwa na picha za ngono, TCRA kazi kwenu

Nyamesocho

JF-Expert Member
May 5, 2023
476
1,244
Katika hali ya kusikitisha kuna wimbi la picha za ngono zinatembea mtandao wa Facebook huku Tanzania na Kenya huku wasambazaji wakiwatagg marafiki kupitia profile zao ambapo inaleta aibu kama upo na mtu wa heshima katika friendlists wako wa Facebook.

Baadhi ya wananchi wanaotumia mtandao huo wamekuwa wakilalamikia hizo picha chafu za ngono na huku wengi wakishindwa kuepukana nazo kwa kukosa ujuzi wa setting za Facebook

Tunaomba serikali kupitia TCRA kufuatilia maudhui hayo na kuyadhibiti
 
Katika hali ya kusikitisha kuna wimbi la picha za ngono zinatembea mtandao wa Facebook huku Tanzania na Kenya huku wasambazaji wakiwatagg marafiki....
Fanya haya kuepuka hayo matatizo

Sikuhuzi kumekuwa na muendelezo wa watu kuwa tagged na video za ngono kwenye mtandao wa Facebook.

Jambo hili limezua sintofahamu miongoni mwa jamii baada ya kuona picha na video zisizo na staha kwa mtu mwenye heshima zake,

Ili kuepuka kuwa tagged kwa video au Picha chafu, fanya yafuatayo:-
👇🏽👇🏽

🖊️Ingia kwenye Settings ya Facebook Account yako kisha nenda Audience and Visibility halafu nenda Profile and Tagging.

🖊️Ukishafika hapo Profile and Tagging utakuta kuna machaguo mawili la kwanza linahusu Viewing and Sharing.

🖊️Kwenye 'Who can post on your profile' chagua 'Only Me' vivyo hivyo kwenye 'Who can see what others post on your profile' chagua 'Only Me.'

🖊️Pia, kwenye Tagging lile chaguo la kwanza lililoandikwa, 'Who can see posts you're tagged in on your profile' chagua 'Only Me'.

🖊️Aidha, pale kwenye option ya 'When you're tagged in a post, who do you want to add to the audience of the post if they can't already see it' napo chagua 'Only Me.'

_Baada ya hapo account yako itakuwa Safe.
 
Katika hali ya kusikitisha kuna wimbi la picha za ngono zinatembea mtandao wa Facebook huku Tanzania na Kenya huku wasambazaji wakiwatagg marafiki kupitia profile zao ambapo inaleta aibu kama upo na mtu wa heshima katika friendlists wako wa Facebook
Baadhi ya wananchi wanaotumia mtandao huo wamekuwa wakilalamikia hizo picha chafu za ngono na huku wengi wakishindwa kuepukana nazo kwa kukosa ujuzi wa setting za Facebook

Tunaomba serikali kupitia TCRA kufuatilia maudhui hayo na kuyadhibiti
Hawana habari.......ikosoe ccm uone.
 
Back
Top Bottom