Tanzania inakabiliana na ongezeko la maudhui haramu kama vile picha za ngono kwenye mtandao wa Facebook. Hii inaleta wasiwasi miongoni mwa watumiaji ambao wanahisi kutoweza kulinda faragha zao na heshima mtandaoni.
Nawahasisha watumiaji kushiriki kwenye mjadala huu muhimu. Je, una maoni gani kuhusu jinsi ya kukabiliana na changamoto hii?
Tushirikiane kuleta mabadiliko chanya kwenye matumizi ya mtandao.
Nawahasisha watumiaji kushiriki kwenye mjadala huu muhimu. Je, una maoni gani kuhusu jinsi ya kukabiliana na changamoto hii?
Tushirikiane kuleta mabadiliko chanya kwenye matumizi ya mtandao.