- Thread starter
- #61
Unataka mpaka kisa jinsi walivyo achana ?
Kisa chake nilishawahi kuleta humu wakati ule nilivyoachwa 😂😂
Unataka mpaka kisa jinsi walivyo achana ?
Lakini we jamaa muongo sana😁😁Unajua kamari ni dawa
Nilishuhudia bubu anaongea baada ya kutwangwa na aviator sijui superhell kale kanakolipuka boom
Mno bro😃Chelsea ni wa kumuua
Ingekuwa wanaocheza betting ndiyo wanufaika basi kusingekuwa na betting kwa sababu wasingekuwa na fedha za kulipa washindi. Betting ni mchezo ambao wacheza kamari wengi wanakubaliana kumkabidhi mtu mmoja kiwango fulani cha fedha, kwa makubaliano kwamba achukuwe ada ya kuendesha mchezo + faida, na zilizobaki awape wacahche wanaoshinda huo mchezo. Na kama hakuna mshindi basi imekula kwenu. Kazi yako mcheza kamari ni kuhakikisha unakuwa miongoni mwa wale washindi wachacheJichanganye
sijakuelewa..unadhani niko tanzania mzee..Acha kuanza utapeli na hizo demo account zenu za makampuni ya kirusi.
Nakupa challenge moja, Kama kweli ulikua ukibet hivyo kama ulivyoweka, onyesha hapa account management ambayo huonyesha transactions zote deposit na withdrawals. Nina uhakika asilimia 100 hutaweza kufanya hiki nilichokuambia
Unamaanisha hizi au...anyway najua umepagawa na hizo hela unaona kubwa hizo sio tsh. ni IDR..INDONESIA RUPIAH UKIONA MILLION MOJA UJUE NI KAMA LAKI NA NUSU TU KWA TSH...by the way nipo Indonesia mkuu sipo bongoAcha kuanza utapeli na hizo demo account zenu za makampuni ya kirusi.
Nakupa challenge moja, Kama kweli ulikua ukibet hivyo kama ulivyoweka, onyesha hapa account management ambayo huonyesha transactions zote deposit na withdrawals. Nina uhakika asilimia 100 hutaweza kufanya hiki nilichokuambia
ushakuwa teja mkuu..Unamaanisha hizi au...anyway najua umepagawa na hizo hela unaona kubwa hizo sio tsh. ni IDR..INDONESIA RUPIAH UKIONA MILLION MOJA UJUE NI KAMA LAKI NA NUSU TU KWA TSH...by the way nipo Indonesia mkuu sipo bongo
BEZO JR
dosho12
Martrix_32
hapana mkuu nina uwezo wa kukaa hata week bila ku bet na pia huwa nabet napopata pesa yangu huwa ni nzuri kdgushakuwa teja mkuu..
Kwa hii acc management (deposits na withdrawals) hapo sina swali, it's real account.Unamaanisha hizi au...anyway najua umepagawa na hizo hela unaona kubwa hizo sio tsh. ni IDR..INDONESIA RUPIAH UKIONA MILLION MOJA UJUE NI KAMA LAKI NA NUSU TU KWA TSH...by the way nipo Indonesia mkuu sipo bongo
BEZO JR
dosho12
Martrix_32
Kumbe iko hivyo mkuu,mimi pia nlijua ni Tsh.. ni App gani hiyo?Unamaanisha hizi au...anyway najua umepagawa na hizo hela unaona kubwa hizo sio tsh. ni IDR..INDONESIA RUPIAH UKIONA MILLION MOJA UJUE NI KAMA LAKI NA NUSU TU KWA TSH...by the way nipo Indonesia mkuu sipo bongo
BEZO JR
dosho12
Martrix_32
Mkuu unadeposit Sana kuliko withdraw. Au Ni upepo mbaya ulikupitia kama kawaida Yetu wakamaria.Unamaanisha hizi au...anyway najua umepagawa na hizo hela unaona kubwa hizo sio tsh. ni IDR..INDONESIA RUPIAH UKIONA MILLION MOJA UJUE NI KAMA LAKI NA NUSU TU KWA TSH...by the way nipo Indonesia mkuu sipo bongo
BEZO JR
dosho12
Martrix_32
Kampuni gani..?Kuna mtu nafahamiana nae, analia kuwa kashinda 700k na hao Betting wamefuta acc yake, mara wanadai Sijui NIDA na nini hukoo.
Analalama hatariiii, Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huwa unabet love??
Sijawahi...Huwa unabet love???
Santo sana . Betting ni addiction kama addiction nyingine loSijawahi...