Umekaa kishari shari sana mkuu.🥂Na wewe unataka? Ushanogewa?
Wow🥰🥰🥰hongera sana.Asante mwaya, Mungu alikuwa na mipango mikubwa zaidi kwa mimi kuwa na huyu wa sasa.
Yes, na yuko hapahapa.
Sasa hilo swali mkuu 🤣🤣Swali la kizushi, hao wandewa, si walipiga hyo nyenye?
Kwanini dear?Wow🥰🥰🥰hongera sana.
Hakika kila kitu kina sababu dear.jitahidi tu huyu wa sasa msiache alama ya mwandiko kuwa mnamahusiano 😁😁maana..
Naona humu ndani kuna heka heka sana ikijulikana unamahusiano na fulani maana itatafutwa kila juhudi ukose Amani ya moyo au siku mkiachana uanze kukejeliwa..Kwanini dear?
Hiyo ni asili ya binadamu haiepukiki dear.Naona humu ndani kuna heka heka sana ikijulikana unamahusiano na fulani maana itatafutwa kila juhudi ukose Amani ya moyo au siku mkiachana uanze kukejeliwa..
Ni bora kuwa low key 😁
Ni kweli.Hiyo ni asili ya binadamu haiepukiki dear.
Hata ndugu na marafiki wapo wanaokuteta na kutamani kuwavuruga wewe na shemeji.
Tutaishi humo, asante kwa maoni mwaya.
Good day
Mmh sina chura kubwa just wastani yakufunguia khangaNdio ujiulize mara 3 nimekuona wapi ulivyo na bonge la Chura
Unahitaji kupewa moyo?Tuzo nakupa wewe kwenye suala la kuwa na roho mbaya kweli unakejeli watu , unawatusi huwapi moyo wala nini jali watu wakujali
Eti vitasa😁😁😁Napenda mwanaume mpole lakini si aliyepitiliza.awe mpole,tucheke tufurahi lakini nikileta upuuzi nena nami kwa lugha ya vitasa😁
Kumekucha....
Ila ya huko PM na kwingineko jitahidi yabakie huko huko. Kuyaleta hapa public hakuna faida yo yote sis mbali na kufurahisha baraza na makundi sogozi ya humu.
Ila inaonekana umeanza kukua sasa. Songa mbele mpaka umpate yule uliyeandikiwa na Mungu wako![]()
Nimeanza kukuasawa bhana
Mimi nafikiri nimebahatika, wa kwangu nilifahamiana nae tokea 2014 baadae mambo yakakorogeka hapo katikati ila nilimrudia na mambo ni mazuri sana.
Naweza kusema kwa uhakika ndio mwanaume bora kupata kutokea ktk maisha yangu.
So yeah, wanaume bora hata hapa JF wapo pia.
Ulipigwa mikao ya Giggy Money? Hawakutifua mtaro?