Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Well.. tunaelekea mwaka wa Uamuzi na wenye uwezo ndio wakati wao tena kuonesha nguvu yao; kwa mara nyingine tena utajiri na urithi wa watoto wetu umepigwa mnada na wenye uwezo tayari wameshagawiwa. Ninafahamu kuwa kuweka habari hizi hakuwezi kubadilisha fikra za watawala wetu lakini kwa masikitiko makubwa tunawataarifu kuwa eneo lililokuwa wazi la Masaki Beach kama wengi wanavyojua nayo imeshapimwa viwanja na wenye kugawiwa wanajulikana!!
Maskini nchi yangu! Siku si nyingi tutauza hadi kingo za pale Magogoni na kuwaachia watoto wetu matamanio tu ya urithi wao!
Tunazungumzia hilo eneo upande wa kulia wa picha.
wameona hayo majengo yako mbali sana.. wanataka mengine karibu kabisa na Tsunami!!
Unaweza ukasema tunazusha tu na lengo letu ni kupandikiza chuki dhidi ya serikali ya CCM!
Unaweza kupingana vipi na ushahidi huu?
Au huu hapa? Miaka 33 ya CCM haya ndiyo matunda yenyewe jamani? Nyerere angelia leo.
Unafikiri kuna kitu wanasubiri? well.. wachekwe?
Hivi hakuna mtu anayeweza kusema hapana katika hii serikali au ndio wote wana bei!?
Well asante ka"nzi" kwa kazi nzuri.. I owe you more this time. Malizieni ile kazi.. hatuna muda mwingi.. !!
Hebu angalieni Wamarekani walivyotenga eneo la Belle Isle hapa nje ya jiji la Detroit for almost 100 years now.. na sisi wengine tunaenda na kufaidi!! Unachoona hicho kama kisiwa ni park ya wazi na daraja hilo refu linaunganisha detroit na kisiwa hicho.. upande ule mwingine kama unavyoona ni Canada. Kuna beach hapo, kuna viwanja vya soka, barabara ya magari na baskeli, mabwawa.., bustani za maua n.k..
Maskini nchi yangu! Siku si nyingi tutauza hadi kingo za pale Magogoni na kuwaachia watoto wetu matamanio tu ya urithi wao!
Tunazungumzia hilo eneo upande wa kulia wa picha.
wameona hayo majengo yako mbali sana.. wanataka mengine karibu kabisa na Tsunami!!
Unaweza ukasema tunazusha tu na lengo letu ni kupandikiza chuki dhidi ya serikali ya CCM!
Unaweza kupingana vipi na ushahidi huu?
Au huu hapa? Miaka 33 ya CCM haya ndiyo matunda yenyewe jamani? Nyerere angelia leo.
Unafikiri kuna kitu wanasubiri? well.. wachekwe?
Hivi hakuna mtu anayeweza kusema hapana katika hii serikali au ndio wote wana bei!?
Well asante ka"nzi" kwa kazi nzuri.. I owe you more this time. Malizieni ile kazi.. hatuna muda mwingi.. !!
Hebu angalieni Wamarekani walivyotenga eneo la Belle Isle hapa nje ya jiji la Detroit for almost 100 years now.. na sisi wengine tunaenda na kufaidi!! Unachoona hicho kama kisiwa ni park ya wazi na daraja hilo refu linaunganisha detroit na kisiwa hicho.. upande ule mwingine kama unavyoona ni Canada. Kuna beach hapo, kuna viwanja vya soka, barabara ya magari na baskeli, mabwawa.., bustani za maua n.k..