ELNIN0
JF-Expert Member
- Nov 26, 2009
- 4,205
- 1,573
ASANTE MKUU, habari na picha hizi zinatia huzuni sana kuona jinsi nchi wanaigawana wanavyotaka - ni kama sisi waumini tunavyoamia kuwa "watagawana vipande vya kanzu yangu ili maandiko yatimie"
Na kwa CCM wanagawana tanzania ili dhana nzima ya MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA YATIMIE kabla ya October, 2010.
Cha msingi nachojifunza hapa ni kuwa hawa jamaa hawana huruma hata kidogo, tunasali kila leo, tunawaombea dua waache mambo haya kumbe ndiyo kwanza wanatuona mazuzu, hivi watoto wetu watapata kweli sehemu ya kupumzikia?
aaaa - huu nafikiri ni zaidi ya ukatili....
Na kwa CCM wanagawana tanzania ili dhana nzima ya MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA YATIMIE kabla ya October, 2010.
Cha msingi nachojifunza hapa ni kuwa hawa jamaa hawana huruma hata kidogo, tunasali kila leo, tunawaombea dua waache mambo haya kumbe ndiyo kwanza wanatuona mazuzu, hivi watoto wetu watapata kweli sehemu ya kupumzikia?
aaaa - huu nafikiri ni zaidi ya ukatili....