Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
- Thread starter
- #61
Nasikia maendelezo yake ya sasa hivi yanahusiana moja kwa moja na fedha za kusaidia kampeni za CCM kuelekea uchaguzi mkuu. Kuna ushahidi.
Nasikia maendelezo yake ya sasa hivi yanahusiana moja kwa moja na fedha za kusaidia kampeni za CCM kuelekea uchaguzi mkuu. Kuna ushahidi.
MUNGU wangu wapinzani tutaendelea kuwa wapinzani milele na CCM itaendelea kuwa the majority Bungeni.GOD forbid.Something has to be done haraka iwezekanavyo to prevent this..haikubaliki kabisa.
Tatizo ni aina ya wapinzani unaowategemea kuwa msaada? nionavyo mimi wapinzani wetu wamekuwa liability zaidi kuliko msaada...
upinzani wa kweli ni kutoka kwa mtu moja moja ...kuliko viongozi wa siasa? wanaboa daily....
wanabadilika nyuso zao afadhali hata hao ccm? tunajua ni mafisadi kuliko unafiki wa upinzani
Pamoja na hayo hatuwezi kuwaachia CCM wazidi kuneemeka kwa kuiibia nchi..ni heri waendelee kuwa madarakani kihalali lakini sio kwa njia z panya kama hivi wanavyofanya..shame on them..yaani wanuza kila kitu..mwisho sasa tutauzwa hata na sisi wenyewe..
Nasikia maendelezo yake ya sasa hivi yanahusiana moja kwa moja na fedha za kusaidia kampeni za CCM kuelekea uchaguzi mkuu. Kuna ushahidi.
.Ilipouzwa jimkana grounds kujengwa Sheraton, kelele zilipigwa, lakini Mwinyi huyuhuyu akaweka gundi masikioni...na Mradi ndio ule, haujalipa kodi toka siku ya kwanza. Na Mwinyi naye bado yupo. kwanini asiitwe na wanahabari ajibu maswali tata kama haya? Au naye ni indispensable kama Mkapa? Labda yule aliyemchapa kofi alikuwa na hasira hizi.
Something has to be done kwa kweli, ingawa sijui ni kitu gani.
Ubaya wa hizi internet new forms of media kama JF ni kwamba hakuna uwajibikaji wa kiasi kinachotakiwa kwajili ya uandishi wa habari ulio ethical and objectivity is non-existent. Ulianzisha thread umekuwa kama Michael Moore, mwishoe no one will take you seriously. Hizi plot ziko chini ya Manispaa na wao wametoa lease kwa watu watakao wekeza kwenye non-permanent forms za businesses on the front, after EIA zikifanyika ili kujua jinsi yakucontrol pollution of the area. Watajenga non-permanent features za kimakuti makuti... sio on a sea cliff level tho. The aim is to provide entertainment ya drive in cinema na food areas na vitu kama hivyo kwaajili ya watu kuenjoy ufukwe. Sijui kama utekelezaji utakuwa kama ilivyosemwa, perhaps not, lakini naomba tuwe objective. This is very low objectivity, kama tupo Venezuela bwana au Saddam's Iraq.lol
Najua of course this area wahindi wamemezea mate muda mrefu, ni hawa wahindi wa cinemax wamepewa amongst a few others as far as I know. Najua lazima rushwa imetembea lakini kuna employment itatokana na haya. The only major thing is that, mazingira yasiharibiwe thats all. That area kunavibaka, ni mtaa yetu wengine tunapajua vizuri. Bora watu wapate ajira bwana. Kwani kitu gani.
Najua of course this area wahindi wamemezea mate muda mrefu, ni hawa wahindi wa cinemax wamepewa amongst a few others as far as I know. Najua lazima rushwa imetembea lakini kuna employment itatokana na haya. The only major thing is that, mazingira yasiharibiwe thats all. That area kunavibaka, ni mtaa yetu wengine tunapajua vizuri. Bora watu wapate ajira bwana. Kwani kitu gani.
.
Kiwanja cha Sheraton, kilishatolewa tangu enzi za Nyerere kwa wamiliki waitwao Complexe LTD, ndio walionunua Califonia dreamer, hayo mahoteli yote ni wapangaji tuu, kama lilivyo jengo la Haidery Plaza, kiwanja ni cha Mama Siti.
Ubaya wa hizi internet new forms of media kama JF ni kwamba hakuna uwajibikaji wa kiasi kinachotakiwa kwajili ya uandishi wa habari ulio ethical and objectivity is non-existent. Ulianzisha thread umekuwa kama Michael Moore, mwishoe no one will take you seriously. Hizi plot ziko chini ya Manispaa na wao wametoa lease kwa watu watakao wekeza kwenye non-permanent forms za businesses on the front, after EIA zikifanyika ili kujua jinsi yakucontrol pollution of the area. Watajenga non-permanent features za kimakuti makuti... sio on a sea cliff level tho. The aim is to provide entertainment ya drive in cinema na food areas na vitu kama hivyo kwaajili ya watu kuenjoy ufukwe. Sijui kama utekelezaji utakuwa kama ilivyosemwa, perhaps not, lakini naomba tuwe objective. This is very low objectivity, kama tupo Venezuela bwana au Saddam's Iraq.lol
Najua of course this area wahindi wamemezea mate muda mrefu, ni hawa wahindi wa cinemax wamepewa amongst a few others as far as I know. Najua lazima rushwa imetembea lakini kuna employment itatokana na haya. The only major thing is that, mazingira yasiharibiwe thats all. That area kunavibaka, ni mtaa yetu wengine tunapajua vizuri. Bora watu wapate ajira bwana. Kwani kitu gani.