JUST
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 552
- 236
Mkuu Zitto.
Mimi nimekua nikipendezwa sana na aina ya siasa yako, lakini nina maswali. Je unajisijiaje kutuhumiwa mara kwa mara na wanachama na hata viongozi wenzio wa CDM? Una mpango gani ili kumaliza mambo haya?
Pili, Kama usipopata nafasi ya kuwasilisha chama chako kwenye presidential post una mpango gani kwa mwaka 2015?
ningeuloiza kwa mtizamo hu huu na kuongeza Mh. Zito
1. kwanini umeweka mazingira ya jamii kukuona mnafiki.
2. ni lini utabadili utendaji wako kisiasa na kushirikiana na wenzako kwa pamoja.
3. kwa nini ulikubaliana na CCM kutotaja majina ya walioficha pesa ili hali kwetu wananchi kujua ni zaidi ya wahusika kushtakiwa.
4. ni kwanini huna ndoa ili hali umri umepita? au umeoa kwa siri?
5. unafikiri umeshawasaidia wananchi wa jimbo lako kiasi cha sasa kuhemea uraisi?
Ushauri: Jipange subiri 2020 utakuwa umeiva na kwa hichi kipindi jisafishe urudishe imani kw wananchi ambayo hata ukikataa imepotea.