EXCLUSIVE Interview with Zitto Zuberi Kabwe at Jamii Forums [Coming Soon]

EXCLUSIVE Interview with Zitto Zuberi Kabwe at Jamii Forums [Coming Soon]

Status
Not open for further replies.
Mkuu Zitto.
Mimi nimekua nikipendezwa sana na aina ya siasa yako, lakini nina maswali. Je unajisijiaje kutuhumiwa mara kwa mara na wanachama na hata viongozi wenzio wa CDM? Una mpango gani ili kumaliza mambo haya?
Pili, Kama usipopata nafasi ya kuwasilisha chama chako kwenye presidential post una mpango gani kwa mwaka 2015?



ningeuloiza kwa mtizamo hu huu na kuongeza Mh. Zito
1. kwanini umeweka mazingira ya jamii kukuona mnafiki.
2. ni lini utabadili utendaji wako kisiasa na kushirikiana na wenzako kwa pamoja.
3. kwa nini ulikubaliana na CCM kutotaja majina ya walioficha pesa ili hali kwetu wananchi kujua ni zaidi ya wahusika kushtakiwa.
4. ni kwanini huna ndoa ili hali umri umepita? au umeoa kwa siri?
5. unafikiri umeshawasaidia wananchi wa jimbo lako kiasi cha sasa kuhemea uraisi?

Ushauri: Jipange subiri 2020 utakuwa umeiva na kwa hichi kipindi jisafishe urudishe imani kw wananchi ambayo hata ukikataa imepotea.
 
Ni tangu lini Zitto ni Muasisi wa Chadema!? unajuwa maana ya Muasisi? huu ndio ujinga uliojaa kwa watu walioijuwa Chadema kuanzia mwaka 2005.

Steven Wassira ni miongoni mwa wasisi wa Chadema na si Zitto Kabwe.

Wakati mwingine kukaa kimya ni bora zaidi kuliko kuropoka vitu ambavyo hufahamu...




Swali:una mahusiano gani na mzee wasira?

jibu: Mzee Wasira yupi? Wapo Wazee Wasira Wengi (hahaha). Ila utashi unaniongoza kuwa ni Mzee Stephen Wasira (MP) (Waziri wa Nchi Ofisi ya Raisi Mawasiliano na Uratibu); huyo ni baba yangu mdogo aliyenyang'anyana ziwa na baba yangu mzazi, Wakili George Wasira, ambaye pia ni mmoja kati ya waasisi wa Chadema
 
Ninaposema dondoo,nikwasababu unasema maswali yatakayojibiwa ni yale ya msingi.Sasa kila anayeuliza swali huwa anaona kwamba achouliza ni cha msingi(unless stated otherwise by the moderator).

Na ili kuondoa huo utata,ndiyo maana nikasema kuwepo na dondoo,ama kwa maana nyingine,u clarify kwamba atajibu maswali ya aina gani,ili kama yakijibiwa tofauti na vigezo vilivyowekwa,then tunaweza ku conclude kwamba maswali hayo si ya msingi.

Mfano labda mseme ahojiwe kuhusiana na issue za ufisadi,katiba mpya,misimamo ya chama chake,issue za kiuchumi,na pengine pia social issues(just mifano).Kwasababu utapima vipi kwamba swali siyo la kimsingi bila kuiweka hiyo misingi?

Kwa mfano swali kama anaamini chama chake ni cha kidini,linaweza lisionekane kama swali la msingi,lakini kwa wengi ni la msingi kabisa kwasababu alishasema nia yake ya kugombea urais ni ili aondoe hiyo migawanyiko na kwamba yeye ndiye mgombea pekee mwenye kuweza kufanya hivyo,and so therefore ndiyo maana nikauliza uwezekano wa follow up questions kwasababu sasa nitamwuliza atafanyaje kuuondoa huo udini?Je anadhani kama chama chake kimepewa sura ya kidini(kama haamini kuwa ni cha kidini),je nini kifanyike ili kuondokana na hilo?Maana kiukweli hata ccm hutumia hilo popote pale anapopingwa na wanachadema wenzake.Pia hata kushauriwa kwake asigombee uenyekiti last time.

Kama ulivyouliza kwamba nimesema maswali mengine yatakwepwa ama kutojibika,ni mfano wa swali la ni kwanini hakuwataja majina wenye akaunti za uswisi.Hilo nitasubiri jibu kwa hamu kubwa...

Na pia swali kama lile ambalo tumeshauliza mara nyingi,kwamba ni kwanini alimuunga mkono JK kwenye ugombea urais badala ya mgombea wa chadema given that vyama hivyo vinatofautiana sana na pia imani kwamba ccm ni mafisadi na ufisadi ndiyo umetufikisha hapa tulipo?Je alitofautiana kiasi kikubwa hivyo na mgombea wa chama chake hadi kuhamishia sapoti kwa ccm?Sanasana nisikufiche,atakachojibu ni kwamba "Siasa si uadui",sasa hapo kwangu hilo si jibu.Hilo tayari ni sawa na kutosema ukweli.

Wengine wameuliza kuhusiana na kutokuwepo kwake kwenye hizo movement za chadema,kiukweli,kuna watu wameshamjibia,especially wanaomunga mkono ndani na nje ya chama ikiwemo waandishi wa habari.Wao wamekuja na tahmini zao,na watu wanaamini hivyo ndivyo anavyofikiri yeye kwasababu hajawahi kuzungumzia wala kukubali kujibu maswali ya aina hiyo.Na ndiyo maana unakuta waandishi wamebakia kujibizana,wengine wa upande wake na wengine wenye kuona tofauti.

Kiukweli sina mashaka na uwezo wako wa kupick up maswali ama hata uwezo wako wa kujitayarisha.Nina imani kwamba mjadala utakuwa vyema kama ni kweli atajibu maswali yote.Kwasababu uliposema kuhusu maswali ya msingi,nimejiuliza kama unawasiliana naye kumwonyesha maswali uliyoya pick na kuona kama atakubaliana nayo,ama ni kwamba hajui maswali utakayoyachaguwa?Maana hapo kuna utofauti.Siyo kila mwasiasa ni mvumilivu wa kuulizwa maswali asiyoyataka,maana swali lisilo la msingi kwake anayeulizwa linaweza kuwa la msingi kabisa kwa mwulizaji na hata msomaji.

So far hadi hapa naweza kuambia kuwa all questions are welcome; na I am kind of really sure kuwa nime imply hivo katika post zilizo fuata katika kuwekea ufafanuzi. That means all questions are valid na ni msingi ili mradi tu yasiwe kama niliyo kuwa nimetolea ufafanuzi.

Hilo swali lako la kwanini hakutaja majina na kwamba una imani kubwa kuwa hatajibu; basi then Jmushi1 utakuwa umemu ‘underestimate’ sana Zitto na pia utakuwa ume ‘underestimate’ significance ya hii interview. Sijaelewa wengine wamechukuliaje hii… BUT to me nataka hii interview iwe na majibu yoote ambayo ni maswali ya wengi juu ya Zitto na shughuli zake. Siifanyi for the sake of just doing it… I am doing it genuinely kwa kutaka kupata kitu cha msingi… Na hicho ndicho kilicho pelekea mimi kuweza vile vigezo ili kuwa na mwongozo mwanana wa mahojiano hayo.

Your long trial justification of your pessimism at least gives a ‘Crystal portrayal’ ni namna gani unaona kama this interview will be a sham. I won’t agree to that… So far kwa brief time tumewasiliana na Zitto, ni muungwana, ni member wa jf hivo najua anajuwa vema members na attitudes zao dhidi yake. I can confidently say kuwa he knows what he is getting himself na that proves that he can handle himself on this.

So niseme kuwa maswali yoote ambayo yamewasilisha hapa yatawasilishwa. Na ukiangalia kwa ukaribu utakuta maswali ni yale yale yanajirudia rudia.
 
Wakati mwingine kukaa kimya ni bora zaidi kuliko kuropoka vitu ambavyo hufahamu...




Swali:una mahusiano gani na mzee wasira?

jibu: Mzee Wasira yupi? Wapo Wazee Wasira Wengi (hahaha). Ila utashi unaniongoza kuwa ni Mzee Stephen Wasira (MP) (Waziri wa Nchi Ofisi ya Raisi Mawasiliano na Uratibu); huyo ni baba yangu mdogo aliyenyang'anyana ziwa na baba yangu mzazi, Wakili George Wasira, ambaye pia ni mmoja kati ya waasisi wa Chadema
Wewe unajidhalilisha bure hapa JF, kwani George Wassira kuwa miongoni mwa waasisi wa Chadema ndio kunamuondolea sifa hiyo Steven Wassira? kwahiyo Zitto Kabwe ni miongoni mwa waasisi wa Chadema? wewe unamquote Easter lakini mimi sina haja ya kumquote Easter kwa kitu ninachokifahamu. siku hizi nasikia mnaitwa Mambulula.
 
AshaDii,

..kwa sasa sijaandaa maswali ambayo ningependa umuulize.

..lakini naomba usiimuulize swali lolote lile linalohusiana na nia yake ya kugombea Uraisi.


Hapa mkuu Jokakuu umenivunja nguvu mbona?! Maana huu ni mtihani... Kama members zaidi ya 10 wameuliza maswali kuhusiana na ugombea wa Zitto ina maana wote hao nitawakwaza kwa kutimiza tu hilo agizo lako.

Noamba niombe msamaha mapema kuwa hilo swali litawakilishwa maana hakuna jinsi ya kulikwepa. Hata hivo mkuu are you not interested kujua ana mpango gani? Tuchukulie unaamini kuwa hata akigombea hatashinda na kisha tangaza niya ya kutogombea ubunge - huna chembe ya curiosity kujua kajipanga vipi akikosa nafasi ya kugombea na hali he has been forever in politics?
 
AshaDii,sitaki niifanye kazi yako kuwa ngumu.Nitaridhika tu na maswali utakayoyachaguwa bila kinyongo.Mimi siyo anti Zitto,ila ningependa tu ajibu maswali kama akitaka,na asipotaka,kusema ukweli sina nia ya kupinga ama kuonyesha kutokuridhika,maana hata nikifanya hivyo haitabadilisha chochote.

Madhali kuna member wengine wenye maswali,basi sitaki kuwa mbinafsi.Nitajifunza pia kwa kuyasoma maswali na majibu yatakayopatikana,and so eventually we will move forward.

Sitaki kuwa negative wala kuwa kikwazo,kwasababu umejitolea kufanya shghuli hii na pia Zitto amekubali kushiriki,basi kuna wengi watanufaika.Na kutokuridhika kutatokea,lakini sidhani kama ni sahihi hilo kuwa ni kikwazo kwa juhudi zenu.

Kwasababu mimi si mwanachama wa chadema,lakini Zitto ni mmojawapo wa viongozi waliopelekea mimi kuwa mshabiki wa chama hicho,na ni matumaini yangu kuwa nitakuwa mwanachama wa chama hicho siku za mbeleni.

Kama vile ambavyo wewe husema...Pamoja saana!


Tupo pamoja mkuu... Na naomba nikuambie siku hio nitakasirika sana ikitokea hautafuatilia kwa ukaribu. Lol.

Naweza nisikubaline na mawazo yako mengi uliyo nayo juu ya hii interview BUT amini nakuambia kuwa nimekuelewa na nime elewa where it is coming from. Hivo usijali... Tupo pamoja and I hope and pray it turns out for the best.
 
Ili zote hili lionekane nila kidemeokrasia na hakuna uchakachuaji na kuwapotezea watu muda.
Zingatia hili .
1. Kabla ya muda wakufunga zoezi hakikisha unaweka maswali yote ambayo yako sawa kadri ya uhitaji wa hoja yako page ya kwanza kabisa ya tread hii.

2. Maswali yote yaliyoonekana ya kejeli nayo unayaweka ili members wawezekuyapima na kuona kweli si ya staha au la!
3.Itapendeza kama maswali utayaweka kwenye mtiririko mzuri ilikuweza kufualia vizuri maoni na mtazamo wa anayehojiwa (Zitto) (Maswali -1.Siasa,2.Uchumi,3.Elimu na Afya,4.Sheria(Usawa mbele ya Sheria,Katiba) .........

Naomba kuwasilisha.

Nashukuru saana kwa Kalix kwa maoni yako... Yoote nitafanyia kazi.
 
kwa nini asjie tu hapa wenye maswali wakamuuliza? Yaani kwa nn maswali 'yachujwe' kwanza ndipo yeye aje (kama atakuja hapa au atayajibu kisha ww utuletee majibu sijajua) ayajibu?


Haiwezekani Bht na inaweza endelea infinitely hio interview. Kutakuwa hakuna control, mwongozo mzuri wala majibu yaliyo pangana tokana na vipengele.

Haya maswali hayataulizwa kama yalivyo, itabidi yapangwe in groups ili kuweza towa majibu mfanano tokana na vipengele mfano kwa post zilizofuatana.
 
Wewe unajidhalilisha bure hapa JF, kwani George Wassira kuwa miongoni mwa waasisi wa Chadema ndio kunamuondolea sifa hiyo Steven Wassira? kwahiyo Zitto Kabwe ni miongoni mwa waasisi wa Chadema? wewe unamquote Easter lakini mimi sina haja ya kumquote Easter kwa kitu ninachokifahamu. siku hizi nasikia mnaitwa Mambulula.

JF sio sehemu ya porojo kuna Great Thinkers lete ushahidi wa Steven Wassira kuwa alikuwa mmoja wa waasisi wa Chadema.
 
Tatizo langu nilishampuuza na kumdharau Zitto, wala sina muda wa kumuuliza lolote Kijana anayejiona ni Unique na mwenye akili kulliko wengine.

Umenifanya niwe interested Matola... Kwanini unadhani anajiona unique na ana akili kuliko wengine? Unakubaliana na hiyo dhana ama kukataliana nayo? Nina maana kuwa unam mpuuza sababu anawaza/jiona hivyo ni muongo AMA sababu anawaza/jiona hivyo alafu ni kweli?
 
Mkutano Mkuu wa Kwanza
CHADEMA ilifanya mkutano mkuu wake wa kwanza katika kituo cha Msimbazi kwa siku 3 (kuanzia tarehe 15 hadi 17 Disemba 1992). Mkutano huu ulihudhuriwa na wajumbe kutoka mikoa yote ya Tanzania. Pamoja na mambo mengine, Mkutano Mkuu wa Kwanza ulichagua viongozi wa chama kama ifuatavyo:


[TH="class: text1 style5"]1.[/TH]
[TD="class: subHead1 style2, width: 234"]Ndg. Edwin Isaac Mbiliewi Mtei[/TD]
[TD="class: subHead1, width: 220"]Mwenyekiti[/TD]

[TH="class: text1 style5"]2.[/TH]
[TD="class: subHead1 style2"]Ndg. Ali Suleiman Ahmed[/TD]
[TD="class: subHead1"]Makamu mwenyekiti (visiwani)[/TD]

[TH="class: text1 style5"]3.[/TH]
[TD="class: subHead1 style2"]Ndg. Brown Ngwilulupi[/TD]
[TD="class: subHead1"]Makamu Mwenyekiti (bara)[/TD]

[TH="class: text1 style5"]4.[/TH]
[TD="class: subHead1 style2"]Ndg. Bob Nyanga Makani[/TD]
[TD="class: subHead1"]Katibu Mkuu[/TD]

[TH="class: text1 style5"]5.[/TH]
[TD="class: subHead1 style2"]Ndg. Mustafa. S. Simba[/TD]
[TD="class: subHead1"]Naibu Katibu Mkuu (visiwani)[/TD]

[TH="class: text1 style5"]6.[/TH]
[TD="class: subHead1 style2"]Ndg. Eric Rashid Mchatta[/TD]
[TD="class: subHead1"]Naibu Katibu Mkuu (bara)[/TD]

[TH="class: text1 style5"]7.[/TH]
[TD="class: subHead1 style2"]Ndg. Eric Rashid Mchatta[/TD]
[TD="class: subHead1"]Katibu Mwenezi[/TD]
 
sasa mke mwenza kuna maswali ambayo ni follow up huzaliwa utokana na majibu je haya yatajibiwa ama kuwasilishwa vipi?? nashauri ingekuwepo side thread ya kuchukua comments na maswali mengine halafu moderator aipitie na kumpelekea kwenye jukwaa husika ili ayajibu. mfano kama mm ninayo mengi sana ya kumuuliza hasa kama mchumi na mwanasiasa ambaye anaonekana kupenda kuwatetea vijana.

Mdogo wangu katika ndoa.. Asante sana kwa mawazo yako... Hii interview itaendeshwa exactly the way iliendeshwa kama ile niliyofanya na Maxence Melo https://www.jamiiforums.com/great-t...ew-with-jamiiforums-founder-maxence-melo.html or ile ya Mwali kati ya Zomba na Matola.

Zote hizo zilikuwa na side threads na kufanyika Jukwaa la Great Thinkers ambalo kila mmoja ana access ya ku participate kwa kusoma but ni wachache wana access ya kupost. Hii inapelekea kuwe na thread maalum ya ku comment members wote kuhusiana na mahojiano hayo huku wakitoa hoja na mawazo yao... Pamoja saana
 
Safi Ashadii, Mimi maswali yangu yatatokana na majibu ya maswali atakayo ulizwa siku hiyo!

Japo ningependa maswali yote haya yange ulizwa siku hiyo!
 
Zitto, uliwahi kunukuliwa na vyombo vya habari ukisema kuwa utaachana na siasa badala yake utajiendeleza kielimu ili uje kuwa mhadhiri wa Chuo Kikuu. Je, adhma yako ipo pale pale au mipango imebadilika?
 
Umenifanya niwe interested Matola... Kwanini unadhani anajiona unique na ana akili kuliko wengine? Unakubaliana na hiyo dhana ama kukataliana nayo? Nina maana kuwa unam mpuuza sababu anawaza/jiona hivyo ni muongo AMA sababu anawaza/jiona hivyo alafu ni kweli?
Nasita kukujibu swali lako lisije kudhalisha mjadala mwingine na thread kupoteza malengo yake.
 
Kwanini maswali yawakilishwe kwanza kwako kisha wewe ndio umuulize?Huoni mtakuwa mmeshaandaa
majibu?Kwa kuwa maswali yenyewe siyo yakuhitaji vielelezo toka kwa mtu mwingine,kwanini siku hiyo
asije mwenyewe hapa JF akaulizwa maswali na kuyajibu?Mbona Esther Wassira aliweza kufanya hivyo?

Majibu yako haya hapa Emmanuel...


  1. Ikiwa ni interview ya kila mmoja kumuuliza kwa wakati mmoja itachukua mda mrefu mno ambao siamini kuwa Mkuu Zitto ataweza ku spare.
  2. Kwa njia hii ya kukusanya maswali kila member wa JF hata asiye na access ya ku post jukwaa la Great Thinker (ambapo itafanyika) kwa sababu zozote anaweza wasilisha swali ama hoja yake.
  3. Mlolongo wa mahojiano utakuwa BORA na rahisi kufuatiliwa kwa urahisi zaidi na bonus ni kuwa mpangilio mzuri.
  4. Unaposema kwa nini asije mwenyewe JF? Mkuu umenisoma vema post ya kwanza? Of coz anakuja mwenyewe hapa kwani yeye ndiye atajibu maswali.
  5. Sijaona kama ni tatizo kama Mkuu Zitto anafuatilia... Tena ni bora zaidi ili hata aanze kuandaa majibu. Huu sio mtihani. Ni mahojiano ambayo tunahitaji kupata majibu yoote kuhusiana na Zitto na hoja zake zote zikiwa kwa pamoja na mpangilio makini.

Alafu tuache mzaha... Ester Wassira ni mtoto mdogo sana Kisiasa ukifananisha na Zitto. Of all people umeona yeye ndio mfano wa Zitto kutumia kuiga? Samahani kama nitakukwaza but unaelewa kweli nini hasa unataka juu ya haya mahojiano?
 
Ni tangu lini Zitto ni Muasisi wa Chadema!? unajuwa maana ya Muasisi? huu ndio ujinga uliojaa kwa watu walioijuwa Chadema kuanzia mwaka 2005.

Steven Wassira ni miongoni mwa wasisi wa Chadema na si Zitto Kabwe.

Mbona kama always wewe huwa umepanic?Ni nini mkuu?Sasa mambo ya kuijua chadema 2005 sijui yanahusiana vipi hapa?Anyways huitaji kunitajia waasisi wa chadema kwakuwa nawafahamu.Nimeuliza hivyo makusudi tu Matola na sihitaji kukueleza wewe.Nimemuuliza Zitto,sio wewe Matola.Usijifanye kujua kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiingi!
 
Last edited by a moderator:
Mbona kama always wewe huwa umepanic?Ni nini mkuu?Sasa mambo ya kuijua chadema 2005 sijui yanahusiana vipi hapa?Anyways huitaji kunitajia waasisi wa chadema kwakuwa nawafahamu.Nimeuliza hivyo makusudi tu Matola na sihitaji kukueleza wewe.Nimemuuliza Zitto,sio wewe Matola.Usijifanye kujua kwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiingi!
Zitto si muasisi wa Chadema kama alivyo Dr Slaa naye si muasisi wa Chadema. Thats it.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom