Nikiri kuwa mimi pia nina maswali ya kumuuliza na hata nikipata nafasi ya kukaa naye face to face tukizungumza tu yaliyo msingi na ndani ya maswali ambayo ninayo inaweza chukua sio chini ya masaa mawili ama zaidi. Naamini ningefanya jitihada zaidi hiyo nafasi ningepata...
Kwa muktadha huo Sijajihami Mkuu... Nimeona ni kheri nitoe tahadhari mapema sababu ni mpitaji mzuri tu hapa JLS, najua ni namna gani watu wanakuwa na sumu kali wakiona jina la Zitto ama lolote lihusulo yeye. Najua kuwa bila tahadhari basi tunaweza kuwa na pages za kejeli na tusipate yaliyo msingi. Nakuhakikishia kuwa maswali yote nitawakilisha na ndiyo maana nikaona nisiwe mchoyo wa hiyo nafasi nihusishe na members pia. Hivo Tukutuku kama una swali uliza na litafikishwa...
Karibu sana.
Bramo umeniacha njia panda kidogo... Tokana na maelezo yako hayo niliyo bold na ku color yanaenda tofauti na number-pointed points zako. Niwasilishe? Maana hayo yoote ni maswali na sio ushauri kama unavyodai... Ila itapendeza tuyawasilishe hivo hivo kama hutajali kama maswali.
ZITTO,ZITTO,ZITO........NANI KAMA ZITTO(Wangapi wanaweza kukubali kujitokeza hapa kuhojiwa maswali ya aina yoyote kama zitto)
Thanx ASHDIII kwa jitihada zako,Lakini pia Zitto wewe ni kiongozi wa mfano na kuigwa kwa hili.
SWALI LANGU LA MSINGI KWAKO RAIS WANGU WA KU-MOYO
>KWENYE SAFARI YAKO YA KUGOMBEA URAIS MWAKA 2015 KAMA UTAPITISHWA NA CHAMA NI MGOMBEA GANI WA CCM AKISIMAMISHWA UNADHANI ANAWEZA KIDOGO AKAWA MSUMBUFU.otherwise,najivunia kuwa upande wako siku zote za Maisha yangu.
Mungu akupe afya njema,hata hili la kuhojiwa hapa ni ushindi wa heshima
Ni tangu lini Zitto ni Muasisi wa Chadema!? unajuwa maana ya Muasisi? huu ndio ujinga uliojaa kwa watu walioijuwa Chadema kuanzia mwaka 2005.2.Unafikiri chadema uliyoiasisi na kujitolea kwa nguvu zote kutaka kiwe chama makini ndiyo hii ya sasa au kuna mabadiliko?Kama kuna mabadiliko ni yepi na unafanya nini kufanya chadema iwe kama ambavyo ulitaka iwe?