jogoo_dume
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 2,204
- 1,939
Tunaomba mdahalo wa Lowassa na Magufuli ufanyike CITIZEN...
You NEVER cease to amaze me, your intellect is next none, FROM THE BOTTOM.
Tunaomba mdahalo wa Lowassa na Magufuli ufanyike CITIZEN...
You NEVER cease to amaze me, your intellect is next none, FROM THE BOTTOM.
Debate itafanyika kwa kingereza tena citizen tv au BBC maana hawa wa tanzania hawaeleweki
hata eleweka akiomgea kwa ile accent ya kisukuma yy inamfaa alinserema ndio mahala pakeSiku Magufuli akitema ung'eng'e humu ndani mtapoteana.
Mkuu Huo Ni Uoga Wao tu,mbona Azamtv Wanaandaa Midahalo Ya Wabunge Wapo Fair Tu Wale Nao Wamepitiwa Na January Makamba?Na Kwani Tatizo Ni Media Media Si Inarusha Tu Matangazo,tatizo Labda Watuambie Mwandishi Atakayekua Anasimamia Huo Mdahalo..
Eeh bwana mzee kamwagika hadi raha,sasa tuandae mbavu kuangalia interview ya Arincherema Arija.
Kwanini Kiingereza Mkuu?Asilimia Ngapi Ya Watz Wanajua Vizuri Kiingereza?Wanabodaboda,mamantilie Na Machinga Mnajinasibu Ni Wapiga Kura Wenu Wanajua Vizuri Kiingereza?
kuongea mwisho dakika 3 mpaka kesho tena.
IQ yako ndogo sana
Sasa nimeamini kwa 100% kwamba Lowasa kweli ni fisadi na mwizi mkubwa ambaye anastahili kuwa Segerea!
Embu angalia hata hawezi kumuangalia anayemuhoji machoni, anaona haya, sasa ni raisi gani wa nchi hawezi hata kutoa eye contact anaangalia pembeni?
Hii ni kwa wataalamu wa kusoma Body language watakwambia kabisa kwamba mtu yoyote yule ambaye hawezi kukuangalia mchoni (eye contact) huwa ni mtuhumiwa!
Siku ukimshika mwizi mtaani kwenu jaribu kumuangalia machoni halafu uone kama ataweza kukuangalia ni lazima ataangalia chini au pembeni kama vile fisadi Lowasa anavyofanya!
I am disappointed.
I am more disappointed by the interviewer than the interviewee. The interviewer responded to the questions which were being asked. The interviewer did not do his homework. Lowasa is running for a presidency of a country of almost 50 million people not of a college. The interviewer was supposed to ask the aspirant some hard hitting and incisive questions about himself, allegations being leveled at him, the Tanzanian economy, etc.
Kakojoe ulale ndugu.Dah Mimi napenda mabadiliko ila ukweli jamaa siku zinavyizidi kwenda ndio anazidi kuchoka
Sasa nimeamini kwa 100% kwamba Lowasa kweli ni fisadi na mwizi mkubwa ambaye anastahili kuwa Segerea!
Embu angalia hata hawezi kumuangalia anayemuhoji machoni, anaona haya, sasa ni raisi gani wa nchi hawezi hata kutoa eye contact anaangalia pembeni?
Hii ni kwa wataalamu wa kusoma Body language watakwambia kabisa kwamba mtu yoyote yule ambaye hawezi kukuangalia mchoni (eye contact) huwa ni mtuhumiwa!
Siku ukimshika mwizi mtaani kwenu jaribu kumuangalia machoni halafu uone kama ataweza kukuangalia ni lazima ataangalia chini au pembeni kama vile fisadi Lowasa anavyofanya!
Kutetemeka nikulekule hahaha
Kakojoe ulale ndugu.