Exclusive Interview with UKAWA's Edward Lowassa: I think I can be a President

Ukawa Mnataka Mdahalo Wa Lowassa Na Magufuli Uwe Kwa Kiingereza Tena Citizen,hivi Ni Waulize Wangap Wanapata Access Ya Kuangalia Citizen Au Wangapi Wanajua Na Sio Tu Kujua Bali Kujua Vizuri Kiingereza?Nyie Wenyewe Mnasema Wapiga Kura Wenu Ni Mama Ntilie Na Madereva Bodaboda Hivi Hao Asilimia Kubwa Wanajua Kingereza?

Sisi akina bodaboda na Mama ntilie hatuna haja na chochote toka kwa Lowasa, tungependa apumzike tu tumpigie kura za landslide. Ni hao wasomi na internationals ambao ni vizuri wakamsikia. Nashauri aendelee tu na makundi hayo ya wasomi.
 


Sasa nimeamini kwa 100% kwamba Lowasa kweli ni fisadi na mwizi mkubwa ambaye anastahili kuwa Segerea!

Embu angalia hata hawezi kumuangalia anayemuhoji machoni, anaona haya, sasa ni raisi gani wa nchi hawezi hata kutoa eye contact anaangalia pembeni?
Hii ni kwa wataalamu wa kusoma Body language watakwambia kabisa kwamba mtu yoyote yule ambaye hawezi kukuangalia mchoni (eye contact) huwa ni mtuhumiwa!

Siku ukimshika mwizi mtaani kwenu jaribu kumuangalia machoni halafu uone kama ataweza kukuangalia ni lazima ataangalia chini au pembeni kama vile fisadi Lowasa anavyofanya!

Ndicho ulichokiona tu???!. Anaangalia camera we GAMBA haoni???!
 
Sisi akina bodaboda na Mama ntilie hatuna haja na chochote toka kwa Lowasa, tungependa apumzike tu tumpigie kura za landslide. Ni hao wasomi na internationals ambao ni vizuri wakamsikia. Nashauri aendelee tu na makundi hayo ya wasomi.

Mkuu Don't Argue Kwa Ushabiki Hatutafuti Rais Wawasomi Au Wa International,tunamtafuta Rais Wa Tanzania.Hata Hao Wakenya Waliona Umuhimu Wa Mdahalo Ndomana Walifanya Kwenye Uchaguzi Wao Na Sisi Vilevile Ndomana Wanataka Tufanye.Its Not Bad To Them But It Wont Benefit Most Of Us Tanzanians,kwa Sababu Wengi Hatujui Kiingereza Vyema...Na Usiseme Eti Sisi Bodaboda Na Mamantilie Hauwezi Ukawa Unaendesha Bodaboda Na Hapohapo Mama Ntilie...Acha Kuongelea Wengine Wakati Wewe Hauhusiki Na Hilo Kundi
 
Tunaomba mdahalo wa Lowassa na Magufuli ufanyike CITIZEN...

Wewe ni mtoto au mjukuu au kitukuu wa mtaalamu wa carbon four in history maana hueleweki kama vile hali ya hewa hivi!au ni ile kutohowa majina?
 
Mdahalo sio mkutano wa kampeni na kupiga push ups or kutoa majibu bungeni, tunataka sikia vision na mission ya mgombea, sasa mzee wa data za kupikwa sijui kama ana uwezo wa kujibu masuala magumu ya kitaifa. Atachemka tu #TeamMwagaPombe25thOctober2015
 
Ukawa Mnataka Mdahalo Wa Lowassa Na Magufuli Uwe Kwa Kiingereza Tena Citizen,hivi Ni Waulize Wangap Wanapata Access Ya Kuangalia Citizen Au Wangapi Wanajua Na Sio Tu Kujua Bali Kujua Vizuri Kiingereza?Nyie Wenyewe Mnasema Wapiga Kura Wenu Ni Mama Ntilie Na Madereva Bodaboda Hivi Hao Asilimia Kubwa Wanajua Kingereza?

Wanaotaka Mdahalo Citizen TV wanaogopa ya TWAWEZA manake hapa Bongo hakuna Media ambayo April Makamba hajaifikia
 


sasa nimeamini kwa 100% kwamba lowasa kweli ni fisadi na mwizi mkubwa ambaye anastahili kuwa segerea!

embu angalia hata hawezi kumuangalia anayemuhoji machoni, anaona haya, sasa ni raisi gani wa nchi hawezi hata kutoa eye contact anaangalia pembeni?
hii ni kwa wataalamu wa kusoma body language watakwambia kabisa kwamba mtu yoyote yule ambaye hawezi kukuangalia mchoni (eye contact) huwa ni mtuhumiwa!

siku ukimshika mwizi mtaani kwenu jaribu kumuangalia machoni halafu uone kama ataweza kukuangalia ni lazima ataangalia chini au pembeni kama vile fisadi lowasa anavyofanya!

umetumwaa........
 
Mdahalo mdahalo... Yaani ccm wanashindwa kujua kuwa mgombea wao:
1. Hana uzoefu
2. Si mbunifu
3. Hajui Kiswahili
4. Hajui ENglish
5. Hakujiandaa kisaikolojia
6. Si mwanasiasa

Kama ccm wanataka midahalo kwanza iwepo rasmi kwenye taratibu na kanuni za Tume alafu isimamiwe na Tume ya uchaguzi..
Midahalo isiyo rasmi kama ile ya #mkikimkiki wa Maria Sarungi ni miradi ya upigaji tu na haina tija!!
 
Wanaotaka Mdahalo Citizen TV wanaogopa ya TWAWEZA manake hapa Bongo hakuna Media ambayo April Makamba hajaifikia

Mkuu Huo Ni Uoga Wao tu,mbona Azamtv Wanaandaa Midahalo Ya Wabunge Wapo Fair Tu Wale Nao Wamepitiwa Na January Makamba?Na Kwani Tatizo Ni Media Media Si Inarusha Tu Matangazo,tatizo Labda Watuambie Mwandishi Atakayekua Anasimamia Huo Mdahalo..
 
Mtu akiwamua kukutukana sio lazima akatamka waziwazi! Iweje Lowassa akatae mdahalo nchini Tanzania halafu afanye interview na vyombo vya habari vya Kenya? Kama sio kuwaona Watanzania malofa ni nini?

Atake mdahalo na nani, maana uchaguzi huu tunaenda kushuhudia kindumbwe ndumbwe kimiwa na Magufuli na Lowassa. Sasa Lowassa afanye mdahalo na mgombea asiyejua kuwa Rais wa Libya alikuwa ni Sadam Hussein, you can't be serious.

Lowassa has it's bound in his only legacy. He should not debate with Magufuli and you consider that as a betrayal but doesnt make any sense of.

We trust Lowassa and for both terms (1of 5 and the last) we shall be by his side.
#MabadilikoNiLazima2015
 
Mdahalo mdahalo... Yaani ccm wanashindwa kujua kuwa mgombea wao:
1. Hana uzoefu
2. Si mbunifu
3. Hajui Kiswahili
4. Hajui ENglish
5. Hakujiandaa kisaikolojia
6. Si mwanasiasa

Kama ccm wanataka midahalo kwanza iwepo rasmi kwenye taratibu na kanuni za Tume alafu isimamiwe na Tume ya uchaguzi..
Midahalo isiyo rasmi kama ile ya #mkikimkiki wa Maria Sarungi ni miradi ya upigaji tu na haina tija!!

Unategemea nini watu wa aina ya akina Maria Sarungi waandae midahalo kama walivyofanya Twanunuliwa ?
 
Back
Top Bottom